Acha kuhukumu watumishi wa Mungu,Mungu ndiye anaye wajuwa,wellcome pastor Ezekiel in Tanzania
@monirangerera7155
7 ай бұрын
Love you pastor Ezekiel
@wakywenaky3674
7 ай бұрын
Karibu sana Tanzania ,MAN of GOD
@agneselia9000
7 ай бұрын
Ameni jina la BWANA litujuzwe karibu baba Tanzania 🇹🇿
@AnastaziaPeter-ue7pd
7 ай бұрын
Karibuu saaaaaaaaaaan baba yangu wa kiroho pastor ezekiel na mungu akulinde kwakila jambo
@DorcusAlex
7 ай бұрын
Karibu sana tunakupenda
@lazaruswasike
7 ай бұрын
Amen pst Ezekiel,sisi kama wakenya twakubaliana na wewe kupeleka ujumbe wa Mungu Tanzania
@threebrothers..
7 ай бұрын
Mimi NI mkenya na ninaita ezekiel nabii WA uwongo,nikimpima na vigezo vya bibilia,huyu sio nabii WA mungu
@vellyshayo6790
7 ай бұрын
Welcome man of God in Tanzania
@OliverFabian-t6n
6 ай бұрын
Ameen🙏 barikiwa Baba.
@JosephIkera
7 ай бұрын
Karibu paster tz tunategemea mungu atatendaiujiza na binafsi anitendee na mimi amini
@Marymami-qp2su
7 ай бұрын
We love Kenya, Tanzania pia...
@christinemeri8189
6 ай бұрын
AMEN AMEN AMEN in JESUS MIGHTY NAME
@happymwakapala3425
7 ай бұрын
The man of God karibu
@greysonmalila1296
7 ай бұрын
Tunakusubiri 🇹🇿🇹🇿🇹🇿 my spiritual father❤❤❤
@EzzyK438
7 ай бұрын
Huyu mchungaji kanikosha kweli. May God keep him as a world's treasure 🙏
@naseriannamelok7146
7 ай бұрын
Amen be blessed
@DorcusAlex
7 ай бұрын
Tunakupenda sanaaaa paskaribu tanzania
@marthanatumwa
7 ай бұрын
KARIBU BABA YETU WA KIROHO,TUNAKUPENDA SANAAAAAAA,SANAAAAAA❤❤
@JacklinekaimuriGitonga-ru2dz
7 ай бұрын
May God bless you daddy
@MaryDunstanngalomba-f4t
7 ай бұрын
Amen pastor❤❤❤❤❤
@hategekimanamariespeciose5701
7 ай бұрын
BURUNDI pasta utakuja rini tunakuitaji Baba❤❤🎉🎉😢😢🎉
@LoishieMollel
7 ай бұрын
❤❤❤❤❤We love tz.kenya we love Ezekiel we love gospel
@atanasiokessy3756
7 ай бұрын
Amen mtumishi wa mungu karibu mtumishi Tanzania
@hategekimanamariespeciose5701
7 ай бұрын
Nawapenda sana
@nuruhabibasally
7 ай бұрын
Mungu akusamehee samuel maana wew na ezekiel kwa mtazamo n mawaidha yupi anapotosha watu wew kama injili yake haikuridhishi tulia kwenye unaridhika na hubiri kile cha kusaidia wengine hatuamin binadamu tunaamin Mungu
@AnastaziaPeter-ue7pd
7 ай бұрын
Umemjibu vyema
@annaelimallya4942
7 ай бұрын
Karibu Sana TZ
@elizabethjackson3865
7 ай бұрын
Amen mtu wa Mungu
@stellajohn8486
7 ай бұрын
Kalibu Sana tz
@MosesMwangi-ni7hm
7 ай бұрын
Fanya kazi Fanya ya bwana
@BarbaraPatience-qt9cc
7 ай бұрын
His Calmness
@mshaimariam2955
7 ай бұрын
I you don't know any servant of God pls don't put a curse in your life be careful. He is a blessing to my life I'm out side the country I'm living abroad. Keep your attitude.
@MaryWainaina-j5u
7 ай бұрын
Watu Wa Mungu wanapotea Kwa kukosa maarifa
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Kama mtumishi wa Mungu nitaongea ili kubadilika, unaposema jambo lazima utaje dhambi ya ntu ili abadilike je ni wapi kumemkosea Mungu, ukweli utaambiwa tu maana hats Youana mbatizaji akiuwawa kwa kumwambia Hello dhambi zake hivyo sitishwi na kitu chochote.
@IbrahimSokoine-b2c
7 ай бұрын
Kariba mtumishi by Ibrahim
@RobertsonNandime-eo9fp
7 ай бұрын
AMEEEEEEEEEEEN ❤❤❤
@dozenleonard6339
7 ай бұрын
❤❤❤
@sikitugeorgette
7 ай бұрын
Amen Amen 🙏
@laurentraphael5470
7 ай бұрын
Pastor Mckenzie best friend. Occultic leaders
@Churchofecclesia
7 ай бұрын
OCCULTIC LEADER ya familia yako, fool
@GloryAdrianGloryadrian
7 ай бұрын
Ushatua teyariiiiiiiiiii nakusubiri kwahamu
@Reginajohnson19884
7 ай бұрын
Kaja kuuwa Tanzania pia
@Marymami-qp2su
7 ай бұрын
Amen..
@oliviabarrack231
7 ай бұрын
Halleluia 😊
@QueenethNcube
7 ай бұрын
Bwana Yesu asifiwe sana Nabii mwingine Nabii Utukufu kwa Bwana 😂😂😂 ni mdogo wake Nabii Mkuu 😂😂😂
@threebrothers..
7 ай бұрын
Pastor Ezekiel nabii WA uwongo,watanzania someni bibilia muweze kuwafahamu,
@ameedamilja7992
7 ай бұрын
I hope Pastor Ezekiel hana elements za Yuke pastor mwingine aliyeua watu na Njaa akiwadanganya wafe njaa wataemda ku.wona Yesu.
@Reginajohnson19884
7 ай бұрын
Walishirikiana wote wafuasi wa shetani
@naomnyaboe8163
7 ай бұрын
Ukweli kabisa sisi wote tunafanya kazi Kwa yesu christo lakini tuko office difference.
@roselynealima3618
7 ай бұрын
Nawaombeni mjifunze kujiombea Mungu pia anasikia sio lazima uombewe sai ni kubaya anyway much love from kenya ❤
@Churchofecclesia
7 ай бұрын
Endelea kujifanya unajua kila kitu
@ChumanaSusi
7 ай бұрын
Kwani ukanena hivyo 🇰🇪?
@SleepyCoyote-vf8vy
7 ай бұрын
Uko sawa bro, mwenye ana uwezo wa kuponya aende hospitali wagonjwa wako huko tuwachane na hao wa kuletwa madhabahuni
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Veronica umetoa wapi tena hii
@ANETHKANSHWI-op8ow
7 ай бұрын
Aje mwanza
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Roho mtakatifu anasema mungu wako ni tumbo lako , kama sivyo umevutika na nini na Ezekiel
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Ili mtu asemehewe ni lazima ajue dhambi ndipo atubu ndiyo maana Yesu akisema katika kitabu cha Luka 13:3 kama msipo tubu mtaangamia nanyi hivyo hivyo kwa hiyo ili mtu apate msamaha wa dhambi unapaswa kutambua dhambi kisha utubu. Tatizo yako nikufundwa mafunzo ya mwanadamu ambayo anajitungia kichwani badala neno la Mungu kutoka Biblia, tafuta kanisa ambalo litaweza kusaidia kukua katika maarifa ya neno la Mungu badala mafundisho ya kutungiwa na mwanadamu, madhara yake ndiyo maana watu walipelekwa mlimani na outta kafara, ukiongozwa na hekima ya wanadamu badala ya Mungu utaangamia
@norahfrank
7 ай бұрын
Mkutano utakuwa wapi???
@huldamichael4445
7 ай бұрын
Wapi mkutano utafanyika
@annacyril5832
7 ай бұрын
Biafra, kinondoni, Dar.
@mariakomba2468
7 ай бұрын
🙏🙏🙏🇹🇿
@shivobs4485
7 ай бұрын
Tuna muhitaji MBEYA
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Haha ina maana haukuione link wakati serikali ya Kenya unamkamate kwa tuhuma ya kushirikiana na Makenzi kutoa watu kafara mlimani, ngoja nitume tena
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
John kama sio matepeli kitu gani ambacho kumevuta kwa Ezekiel kama sio hela zake Alizo nazo, tunapaswa kuvutika na neno la Mungu pekee na sio mali
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Dada Rachel kama serikali ya Kenya ilikuwa na wasiwasi naye na kumtuhumu kwamba alihusika kuwapeleka watu mlimani na kuwaua huko kwanini usihoji hilo, anatakiwa aongelee hilo kwanini serikali ya Kenya limshitumu kwamba alishirikiana kuwaua watu mlimani,
@AnastaziaPeter-ue7pd
7 ай бұрын
Pastor ezekiel hamlazimishi mtu kufuata injili yake ni sisi wenyew tunatafuta chanel yake,tunaamua kutazama kwa hiari yetu wenyewe,kisha unasikiliza mafundisho alafu unachagua mwenyewe je uendelee kufata mafundisho yake au laaa
@ChristinaWallasch
7 ай бұрын
Susi hatufungi mpaka kufa,
@antonykamau7711
7 ай бұрын
Wacha.maneno tafuta neno mungu akusaidie unajua wewe sio mungu
@Reginajohnson19884
7 ай бұрын
Mashetani wanajuana
@ChumanaSusi
7 ай бұрын
Usimlinganisha na Makenzi mwenye kuuwa wafuasi wake mia 800 kwa shamba lake kwa kuwambia wasikule chakula
@Jurbeg
7 ай бұрын
Amen Amen 🙏🙏🙏🇹🇿
@AgnessNjeri
7 ай бұрын
Hizo bango hamjaweka moshi maeneo ya himo
@mako331
7 ай бұрын
Yani ukristo umeingiliwa na ujinga sana, chungeni huyu jamaa sana ana ukora mwingi, mtaibiwa nyie mpaka mkidanganywa miujiza mpaka mchoke
@WilsonKogo-rz7fw
7 ай бұрын
Na mbona mikutano yako mingi wamama ni wengi?
@samwelmatemu8873
7 ай бұрын
Unafanyika mkoa gani
@HappyPhilly-oq4bs
7 ай бұрын
Dar
@samwelmatemu8873
7 ай бұрын
@@HappyPhilly-oq4bs thanks
@claudiajames2003
7 ай бұрын
Si ndio huyu ilisemekana kushirikiana na yule mwenzie aliezika watu wengi au??
@laurentraphael5470
7 ай бұрын
Ndio mwenyewe
@yt-tk6uy
7 ай бұрын
This con is now working with Tanzanians,...mtampa hizo pesa zenu ndogo
@evansogutu4167
7 ай бұрын
Kupiga ukunga ndio Nini tafathali
@pendokihongosi48
7 ай бұрын
😂😂😂kelele
@fahadfaraj6474
7 ай бұрын
Kupiga nduru
@naseriannamelok7146
7 ай бұрын
@pendokihongosimayowe48
@faustinaurio3703
7 ай бұрын
Nduru
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Wachungaji wa Tanzania ni matapeli, wenyewe wanaangalia hela hawaangalii neno la Mungu, kama mtu hana hela hawezi kufanya mkutano,Mungu awasaidia watanzania maana wanatumikia hela sio Mungu, inabidi pia Ezekiel awe makini kwamba anapendwa kwa ajili ya fedha sio kwa ajili ya huduma Itakuaje mtu ambaye anatuhumiwa pia kuwapeleka watu mlimani na kuwaua huko, je anataka kuleta hiyo roho chafu kwa watanzania. Watanzania muwe makini
@ChumanaSusi
7 ай бұрын
Unachesha sana ndugu. Ati ametuhumiwa kufanya nini? 🇰🇪
@Jurbeg
7 ай бұрын
MiMi ni mtanzania lakini pastor Ezekiel nimtumishi wa MUNGU alie hai nawala sii muuaji Amen 🙏🙏🙏😢
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Hakuna mtu ambaye anakipimo cha kumpima mtu kwamba huyu ni mtumishi wa Mungu huyu sio mtumishi wa Mungu. Kipimo ni neno la Mungu, Tatizo ambalo naliona na watumishi wa Tanzania kuvutika na hela Ezekieli na sio neno la Mungu. Ezekiel alituhumiwa kuwa alikuwa pamoja na mtu ambaye aliwapeleka watu mlimani na kuwaua huko, lakini kama aerikali ya Kenya iliona hana hatia, basi vema ila umakini unahitajika
@Jurbeg
7 ай бұрын
@@samuelmwakasungula178 mMa naloli kyala akusaje Mundu gwa JESU 🙏🙏🙏🙏
@marynanjala5334
7 ай бұрын
Never judge, may God forgive you
@ramseyngwejela499
7 ай бұрын
😮 Ezekiel aliwauwa watu mlimani? Una ushahidi wowote wa kuthibitisha hilo unaloliongea? Acha kushiriki dhambi za watu wengine. Be careful unapotoa comment yoyote ktk mambo ambayo hujayathibitisha wewe mwenyewe. Acha kueneza uzushi na uongo. Give us evidence.
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Kazi wetu kama wahubiri ni kuhubiri uovu, unauchaguo kutubu na kuendelea na uovu.
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Umempendea ni ni Ezekiel kama sio tapeli wewe kutoka hela, zake maana umesikia alitoa hela nyingi kwenye mkutano Kenya. Mlikuwa wapi kuambatana naye kabla ya kutoa hizo hela, umelogwa na hela. Wewe ni Yuda akiyensakiti Yesu kriato
@EvaMguss
7 ай бұрын
Sio tapeli mfatilie ezekiel ni pasta wa ukweli Mimi ni mtz lakin hiyo ndio mathabahu yangu nimeponywa magonjwa makubwa nimefanikiwa mengi lakin kubwa nimejifunza neno la Mungu sana na zaidi ambayo sikuyajua Toka mdogo ukweli sio Kila mtu ni WA kumbeza nakushauri kwa upendo tu
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Sila ujue kwamba watu wanapaswa kuvutika na neno la Mungu, na sio miujiza. Mungu atawakataa siku ile ya mwisho, Yesu amesema katika kitabu cha Matthayo 7:21, wewe umekuwa shabiki wa Ezekiel kwasababu umevutika ne hela zake, na sio neno la Mungu na unahisa naye. Bora ukateseka kwa ajili ya neno la Mungu kuliko kuteseka kwa ajili ya Ezekiel. Kumbuka kwamba wajinga ni wengi, hawaishi wajinga,
@LaehMaloba
7 ай бұрын
Wacha mungu akusamee.hujui kile unaongea
@LaehMaloba
7 ай бұрын
Wacha mungu akusamee hujui kile unaongea ndugu .
@samuelmwakasungula178
7 ай бұрын
Mungu atakuhukumu wewe ambaye unavutika na watu kwa ajili ya mali wala sio neno la Mungu. Yesu akisema usipotubu na wewe pia utaangamia vilele Luka 13:3 tambua Mungu hatamsamehe mtu mwovu mpaka aweze kutupu. Umejaa fundisho la mashetani mtu hawezi kusamewa pasipo kutubu, Watu wawili walikuwa wakiteseka pamoja na Yesu msalabani mmoja alimtukana Yesu Kristo na mwingine aliomba msamaha, Yesu alimsamehe alio omba msamaha,
Пікірлер: 128