Aurelius Joseph Njelekela Mkazi wa mji mdogo wa Peramiho Halmashauri ya wilaya ya Songea mkoani Ruvuma ameshinda Tuzo mbili ambazo ni mshindi wa kwanza katika mkoa wa Ruvuma katika ufugaji bora wa samaki na ameshinda Tuzo ya mshindi wa pili katika ufugaji bora wa samaki na kuku Nyanda za Juu Kusini
- 4 жыл бұрын
PERAMIHO YATOA MSHINDI WA UFUGAJI BORA SAMAKI NYANDA ZA JUU KUSINI ATOBOA SIRI YA KUSHINDA TUZO
- Рет қаралды 1,205
Пікірлер