NIMEKUTANA NAYO HAYO MAANDAMANO, LAKN MKUU WA MKOA MH PAUL.MAKONDA, AMEKUJA NA KUONGEA NA MANENO YA BUSARA YA MH MKUU WA MKOA WAMEKUBALIA KUONDOKA BARABARANI, BIG UP MKUU WA MKOA KWA MANENO YA BUSARA.
@@HildaMmary-p7h kweli kbsa Amin barikiwa kwa wazo hilo tumlilie mungu??
@JohnAmbrosi
4 сағат бұрын
Tembo akiuawa wanafika mala Moja ila binadamu hana thamani😢😢😢😢😢😢 r I p tanzania
@NajmaNoormohamed
28 минут бұрын
aise ni kweli
@dancerboy2686
5 сағат бұрын
yan watoto kwa wakubwa wanapotea alaf hakuna msaada ni noma xana
@chrysanthushakaunga6560
5 сағат бұрын
Intelligencia kubwa aliyosema mama samia hawa wanapotea ingejulikana ni nani kukomeshwa
@JosephevansLyimoo
5 сағат бұрын
Hii serekali imepoteza muelekeo hapo mbeleni patakua noma
@christinewomanoffaith5479
5 сағат бұрын
Hali inatisha
@StevenTambi
4 сағат бұрын
Samia must go
@KhamisChaz-td4nz
4 сағат бұрын
Kila siku watoto wanapotea wahusika wakubwa ni WAGANGA wa kienyeji na serekali inajua hili waganga wafuatiliwe kwa kushtukiza kuna kitu hapa sio bure Juzi mganga kakamatwa na mafuvu mwingine makaburi na yule mtoto aliyekutwa morogoro baada ya kupotea dar alisema alipelekwa kwa mganga ila sijaskia hukumu ya kifo wakati wao wanaua watu kwa nin serikali inawalinda kuna nini hapa
@abedysteven4930
4 сағат бұрын
Mama jiuzuru nchi imekushinda Kila cku utekaji na haufanyi chochote!! Unawapa watekaji kibur!!!😭😭😭😭
@rajabukipara3008
4 сағат бұрын
MSENGE kwel wew😂
@AmmarSadik-x5u
3 сағат бұрын
@@rajabukipara3008msenge mwenyewe hujielew nyangau kubwa
@muksinimbaruku1233
3 сағат бұрын
Umekosa hoja mpka utukane?@@rajabukipara3008
@MngwaliAllykizangwa
3 сағат бұрын
Mama anahusika nn
@jumakhamis226
2 сағат бұрын
We ni KENGE mama anahusika vipi
@user-cv7vm1mx9d
4 сағат бұрын
Ushirikina umezidi tanzania watoto wanachukuliwa makafara
@abedysteven4930
4 сағат бұрын
Naikumbuka cku Ile rais wa Tanzania alisema kuwa wakitekwa wanatolewa Figo nlishangaa sana baadae akasema kifo n kifo tu haijalishi amekufeje nlimshangaa sana rais wa nchi hii!! Kwa kweli rais hatuna tunamuomba mama ajiuzuru mana 2napoelekea nchi inamshinda xaxa!
@rajabukipara3008
4 сағат бұрын
Ko rais ND Anatela WATOTO We Faraah 😂
@chusseboywcb2808
3 сағат бұрын
Hatuna raisi pale
@lazaroletion
3 сағат бұрын
Pole jombaa, nimeona pia waandishi wakizuiwa na wamezuia kweli😮😮
@jesusismyeverything1630
5 сағат бұрын
Hatari sana
@cheiknamouna2058
3 сағат бұрын
Hawawasikilizi nyie maana mnaaiabudu sana ccm kama Mungu mtu wenu na wanajua hata wasipowasaidia bado mtawachagua tu hiyo ndiyo shida yenu kubwa msipojitambua mkabadilika bado hali itazid kuwa mbaya polen😢
@IssayaOlodi-tc3zs
5 сағат бұрын
Ushauri tuwalinde watoto wetu maana hii hali imekuwa mbaya
@malcomg1004
3 сағат бұрын
Mama samia tunakupenda sana na tunakukubali,ila mama umekua mpole sana,ndani ya serikali yako ku a watu wanakuhujumu ki uongozi.bebu amka mama utoe matamko mazito katika kila sehem panapolegalega mama
@bonvivant3704
3 сағат бұрын
😅we unachekesha kweli… she doesn’t care😂😂😂
@btechie04
5 сағат бұрын
Au na hizi ni drama au basi😢😢
@SuhaylahSuhaylahAdam
4 сағат бұрын
Acha tuu
@clauschaula2050
3 сағат бұрын
Hivi Watanzania Mbona hatuoneani huruma.Unaua mtoto wa mwenzako,wa kwako yupo hai.Mungu kisikie kilio chetu.
@Fatima-v9k6f
4 сағат бұрын
Wanawatowa😢fijo mungu tunusuru waja wako
@AlHamra-k4u
4 сағат бұрын
Hii nchi inatakiwa iongozwe na mwanaume km magufuli lkn mwanamke ni ngumu huu utekaji mauaji, ubakaji, ulawitiji vitazidi kuongezeka. Siku zote nyumba anayeweza kuongoza ni baba tu
@VailethHerman
3 сағат бұрын
SI dhani kama ni sababu
@osmanmohammedosman5493
4 сағат бұрын
Kunasiku Tanzania nzima itaingoa barabarani bila sauti ya chadema watu tumechoka na hayaatukio
@mayungarichard7443
3 сағат бұрын
Wamasai wako vizuri sana wanajitambua Tz hatuna polis, mbaya zaidi hawawezi kutulinda lakini na wao wanajiingiza kwenye utekaji
@AsheryMahenge
5 сағат бұрын
Wa mama kwel nikiumb jasil
@narutonaruto4303
5 сағат бұрын
Subhannallh 😢😢😢😢
@AnithaThadeo-n2i
5 сағат бұрын
Kina mama hongereni,alaf nyie wababa,au bas
@INNOSENSIALIWEWA
5 сағат бұрын
Ndio wamama ndo wenye kujua thamani ya mtoto 😭😭
@noelbryson7840
4 сағат бұрын
HII NCHI TUNAKWENDA PABAYA SANA..😢
@musamusa6213
5 сағат бұрын
Shida sana hii nchi haya sasa wanasiasa mnatusaidiaje haya mambo!?hebu watanzania tusaidiane haya mbambo kila mmoja awe mlizi wetu chadema acheni kuchochea maandamo tunataka mtuhizize wote tusimame pamoja kupapamba na majangili
@bintmrisho3526
3 сағат бұрын
Tarh 23 maandamano haya yote yatajulikana
@hawaelymaricca7602
5 сағат бұрын
Mungu aingilie kati.
@HusnaSalum-p1q
5 сағат бұрын
Kwan Tanzania vipi mbona potea potea imezidi jamani 😢😢😢
@ElizabethDaudi-b6v
4 сағат бұрын
Jamani, 😱😱 imefika huku kwetu tena😢😢,mungu tusaidie😭😭
@user-ng6yt2od7l
4 сағат бұрын
🇹🇿😭😭jamanii kipindi cha Magu hii ilipungua jamanii sii uko tuu ata uku uarabuni Jana Kuna mtoto kachukuliwa na na watu wasio julikana walikuja kama gari la shule wakabeba watoto mpaka Leo hawajulijani waliko Mungu tusaidie
@OZUMBAB7BARACK
5 сағат бұрын
Poleni
@AbdullahJabu-k9n
3 сағат бұрын
Acheni roho mbaya sasa mama anahusikaje apo Nyinyi Kila kitu munamlaumu tu rais acheni izo bana
Nafuu arusha tunasikiaa watot wawil simiyu meatu ni hatar watot wanatolewa figo na gar zinatembea bil hata plate namba n watu wanapotea wakubwa kwa watoto tunasikis
@AfrcanBoy
4 сағат бұрын
Mh
@AfrcanBoy
4 сағат бұрын
Hiii nayo kwenyee mbaya ni mbaya tuuuu
@azzaalmalki41
5 сағат бұрын
Duh
@LaurentLushingemasanja
4 сағат бұрын
Kwanini kwenye utawara wa mama tu ata kama mauaji yapo lkn imezidi😢😢
@chikusangalala7759
2 сағат бұрын
Duu sasa Tanzania inatisha
@MangiKivuyo
2 сағат бұрын
Bado nauliza Tena Tanzania vp jaman
@johnshuma1615
5 сағат бұрын
Mkuu wa polisi na waziri husika wangefanya uungwana na kujiuzulu tu
@FrankNzombo-k3j
5 сағат бұрын
Sema viongozi tulio pewa na mwenda zake sio mlio wachagua na hii ndo shida ya watoto.wa masikini tu ndo wanaumizwa mbona kijana alie potelea mlimani serikali inafanya garama kubwa kumtafuta ila watoto wetu tunapambana wenyewe
@christinewomanoffaith5479
5 сағат бұрын
Aiseee
@dorismkongwe4140
4 сағат бұрын
Arusha tena
@EmmanuelNyinyigwa-m1o
4 сағат бұрын
Kwa nini haya yanatokea kipndi cha uchaguzi
@JofreyNagabona
3 сағат бұрын
Ila arusha jamani matukio mbn hayaishi kila day
@BarakaOchuu
4 сағат бұрын
Aondoke nchi imemshinda
@PrinceHendry-hp8vv
4 сағат бұрын
Sasa serekali apo inaingiaje jameni
@hanifamziray277
3 сағат бұрын
Ss huo si uchawi
@mohammededy7086
4 сағат бұрын
Asa watoto wenu wanapotea muanashndwa kujilinda munalaum serekal sas endelean kuandaman mpaka kesho fungen barabara
@exaverysimon1064
5 сағат бұрын
MTASEMA SERIKAL NDO IMEWATEKA EM KAMA JAMII TUNAPASWA KUBADILIKA MAKE HAYA MATUKIO YANAFANYWA NA WATU TUNAO ISHI NAO
@marrymacha4531
5 сағат бұрын
Ishu sio serekeli kuwateka. Ishi ni ajira tuliowapa hao askari yaani kutulinda na mali zetu.
@dancerboy2686
5 сағат бұрын
@@exaverysimon1064 ww nakuona ni nyumbu sasa ngja atekwe baba yko au mama yko au mtoto wko ndo utajua umhimu wa serikali
@user-cv7vm1mx9d
4 сағат бұрын
@@marrymacha4531ulinzi anaanzia ngazi ya familia kijiji mpaka juu
@getujackson5346
4 сағат бұрын
@@exaverysimon1064 wew simiyu gari zinatembea unaambiwa bila plate namba n polis wanaon jeee hapo tunaish nao Kwan rais wetu hatoi tamko
Muda mwingine inabidi tufikiri ' utekaji upo kati ya vyama hivi vya Sasa ' kwasababu ya kutafuta properganda za kuzungumza
@selemankishema5780
4 сағат бұрын
Sasa watoto wamepotea mateso wanapata wengine inahusu nini kupotea na kufunga barabara? Serikali huu wimbo wa chadema mkichekanao angalieni mtatufikisha pabaya,mnaishi na maushirikina kutafuta mali mnaisingizia serikali upumbavu upumbavu tu
@AbdullahJabu-k9n
3 сағат бұрын
Acheni roho mbaya sasa mama anahusikaje apo Nyinyi Kila kitu munamlaumu tu rais acheni izo bana
Пікірлер: 79