Uko sawa afande,ila kuna neno umesema la msingi sana. Kwamba watu walipata ajali na kupelekwa hospitali kutibiwa na wakapona ila kwa vile hawana vitambulisho,ndugu zao hawajulikani. Mimi nina maswali mawili kwa ajili ya Bunge,je hawaoni haja ya kutunga sheria ya kuwapa watu vitambulisho kuanzia anapozaliwa?. Je,hao watu waliotibiwa wakapona na hawajui ndugu zao,wana akili timamu? Kama hawana akili timamu, serikali (bunge),ilitunga sheria gani kutatua changamoto za aina hiyo?
@aronmilinga7303
6 сағат бұрын
Dk moja t ilikufaa hun cha maan, ndo kiongoz wew au
@GodfreyZacharia-mc7sy
2 сағат бұрын
Mm naomba tanzania inipeleke urus nikapambane na ukrain
@Joppa555
6 сағат бұрын
😮😮😮nyie machifu mnawezaje kisikiliza hizi watu asee😮😮😮😮😮
@mussakimaro5588
5 сағат бұрын
sanaa sana bongo
@sais2460
45 минут бұрын
Mpaka Wazee wasiosoma wanamshangaa kwanini Amepewa Hiyo Kazi.
@mangashajunior242
5 сағат бұрын
Machifu toeni laana kwa watu wasiojulikana....
@MtanganyikaTanganyika
4 сағат бұрын
Porini wanapelekwa na watekeji mtu hawezi enda kwenye pori lenye simba mwenyewe sio kweli siku yakikukuta ndio utajua ujui
@MOSESIMCHUNGUZI
5 сағат бұрын
POYOYOPOYOYO,ANAONGEA NINI HUYUU
@Mjeda-q1m
5 сағат бұрын
Sativa alipotea au
@christinenyagiro6662
4 сағат бұрын
Hawa Machifu kama ni machifu kwani hawaoni uovu unaotendeka? Vijana wanatekwa kilana inaongelewa waziwazi wao machifu hawafuatilii
@evaemil856
5 сағат бұрын
Watu wanajulikana wakapotea kwa kuchukuliwa na wasiojulikana wa usalama wa Taifa, Hao je?
@davidjohn8908
6 сағат бұрын
Mh!!
@evaemil856
5 сағат бұрын
Hana kumbukumbu si vyombo vya habari vipo, so anatangazwa tu bado salama za vidole si zikichukuliwa itajulikana ABC
@christinenyagiro6662
4 сағат бұрын
Acha kukwepa swali jibu hawa wanateka na pilisi kwani huko nyuma hayo unayosema hayakuwepo? Lakini wanaotekwa polisi au usalama wa taifa na silaha watu wakioneka na uniform za polisi, walioitwa na polisi kwenda kuchukuwa pikipiki nao tuseme nini? Sativa aliyetekwa na kuteswa kisha kutupwa katika msitu mbona hukugusia. Wakina Mwamboka na wanaotekwa na kupotea kabisa?
@josephatkajange8714
2 сағат бұрын
The man is talking nothing!
@daudimchileg307
7 сағат бұрын
Mbowe aliwataja watu kwa majina, ahojiwe aliyapataje? Ndio tunayotaka sisi tusio wanasiasa.
@elvisoscar9912
2 сағат бұрын
Ayajakukuta kaa kimya acheni unafiki
@LangiMwampamba
22 минут бұрын
Jamani mbona mnakamata watu kwanini wanao tajwa msiwachukue watoe ushahidi Ili utata uishe mwenye makosa ajulikane na aliyetupwa katavi aseme alipoteaje kutoka dar kwenda katavi alafu sheria ifuate mkondo kwani hapo panaugumu gani
@lugelosanga5798
7 сағат бұрын
Eeee wanavua samakiiii
@StellaKaluwa
5 сағат бұрын
SI kweli waliopotea wanajulikana SEMA polisinaua watu kwakisingizio vibaka inamaana vibaka nadio wanauliza na POLISI hawapelekwi mahakamani siuseme tu
@ThomasAlute
7 сағат бұрын
Duuuh hatari sana yaani mtu amepotea anavua samaki kweli kuna askari polisi ni wa ovyo sana
@NixonJohnson-zn8nk
6 сағат бұрын
Sio hovy tu kuna askari ni stupid kuliko mbwa
@NixonJohnson-zn8nk
6 сағат бұрын
MTU aliwe na Simba kwa kushushwa kwenye bus were unalipwaje mshahara wewe wa hivyo
Пікірлер: 25