Ingekuwa vibaka na wahalifu wanasakwa namna hii kila siku nchi yetu ingekuwa shwariii.
@adelinelyaruu3036
3 сағат бұрын
WHY NOW😢😢😢
@Mimi.Official
2 сағат бұрын
Aki police wa Tanzania mnachekesha..😂😂basi ukiwaona wamevaa nguo za police utafikiri wanaishi vizuri ,nenda kwao ukajionee maajabu😢
@davidsamson8292
Сағат бұрын
Wanashindwa kuwapata wateja ila ku deploy nguvu kazi kama hivi wanaweza
@thamani5842
39 минут бұрын
Wahalifu ndo ao wanotaka kufanya maandamano
@fatmafatu1128
18 минут бұрын
@@thamani5842wahalifu ni police dio vibaka ndio watekaji ndio wauwaji
@MfaumeMndele
4 сағат бұрын
Wanatisha watu kwa ajili ya kuzui maandamano ya kesho hawa police wanafikili wananchi bado hawajitambui
@patrickmuna2582
3 сағат бұрын
Hivi kwanini huwa mnatufanya hatunazo, kwanini hadi msubiri Maandamano ya chadema ndio muanzishe Vitisho? Mara usafi mara doria, Dahhh mungu ibariki Tanzania
@juliuszakayo6771
4 сағат бұрын
Inaoneka Hawa polisi wa Tanzania wanaomba amani kupote maana hakuna wahalifu watatafutwa hivyo nikuwatisha wananchi tu hawana jipya Ila YAJAYO yanafurahisha
@KassimHanga-xr7rb
3 сағат бұрын
Matumizi mabaya ya Kodi za wananchi wakimaliza tunataka watujuulishe wametumia billion ngapi
@AlexJohn-e3r
5 сағат бұрын
Wapuuzituu hao
@oscarcharles9624
3 сағат бұрын
yani mnaogopa chadema 😂😂😂
@SholeBigsaund
4 сағат бұрын
Niupuzi tuu sikuzote wanakuaga wapi
@saidrakwe8727
4 сағат бұрын
Askar wanafanya doria 😂😂😂😂 Subir nikalale…. Kwani vibaka si ukiwaona tu unawajua
Wamependeza lakini mbona watu wanapotea huku wakiwa makini hivyo hilo ndilo swali kubwa lakujiuliza
@callykeron
3 сағат бұрын
Nawachukia Sana laiti ningekuwa Israel ninge wauwa wote
@HanifaOman-oo4pl
43 минут бұрын
Maashaallah. Safi sana. Wasiyojulikana muwakanate wote. Allah awape nguvu naawape Afya
@AlhajiIssa-jb9hr
27 минут бұрын
@@HanifaOman-oo4pl Kakojoe ulale mama
@istambulahmed6664
3 сағат бұрын
Safi ASITOKEE MTU WA KULITISHA TAIFA LETU
@PaulMsema
Сағат бұрын
Mungekuwa hata watekaji mnawasaka hv,mungekuwa safi sana
@MOSESIMCHUNGUZI
4 сағат бұрын
HIYO NGUVU INGETUMIKA KUWATAFUTA WALIO MUUWA. MZEE ALLY KIBAO INGEKUWA SAF SANA,OOLISI KUWENI MAKINI WATU RAIA WANANGIVU KULIKO CHOCHOTE,
@helencyprian8745
3 сағат бұрын
Yaani ujinga uliokithiri
@YusuphuAyubu-n7u
4 сағат бұрын
Mmmh vibaka this round wanawindwa na bunduki!!! Kazi wanayo
@mathayomwashambwa1238
3 сағат бұрын
Vitisho vya kisaikolojia, Mfalme Sulemani aliomba hekima na kufanikiwa kuitawala dunia na maadui waligeuka marafiki wa taifa la Israel..ivi hekima ya wazee wetu wa heshima hawasikilizwi tena? Jamani tunajua UJUMBE huo unaelekea wapi...hayaaa
@ndukulusudikucho_
4 сағат бұрын
Safi saaana Jeshi letu la POLICE , Kamanda Yuko vizuri Saaana
@DeogratiusAndrew-zi7zv
3 сағат бұрын
Safi nini sasa mpaka yatangazwe maandamano ndio doria?😊
@MrP-n2c
4 сағат бұрын
Vibaka wanafanyiwa doria na bunduki pamoja na askari zaidi ya 100
@daudimchileg307
3 сағат бұрын
Saizi hatuogopi, kama mauaji yataendelea hapo apana, ogopa siku tukiingia hata ambao sio wanasiasa
@nestor384
3 сағат бұрын
Hawa jamaa kuna umuhimu wa kutafta watu wenye elimu nzuri hasa ya sheria si kuunga unga!.. Jeshi hili linapaswa kuwekewa sheria ambayo itaweza kucheck accountability ya chombo hiki Huku ndani kuna mpaka wahuni wanaotesa raia Kwasasa ukikutana na polisi unaanza kuhisi usalama wako uko mdogo sana!
@Oboss_billharvester
3 сағат бұрын
H a vibaka ngoja Kesho tutakutana tu kesho navua nguo zote mamae😢, kesho lijitu litakufa,
@PiusLutumo
3 сағат бұрын
Good job Kamanda wetu.
@FadhiliDolla
3 сағат бұрын
Gachi acha unafki uo usalama baada yakuskia maandamano ya Samia must Go mtajua amjui maanamano yapo pale pale😂😂
@EliasMwita-q3x
4 сағат бұрын
Ck zote mulikuwa wp mpaka msikie mandamano ndo muweke ulinzi wakati niwajibu wenu kuweka ulinzi Kila ck!!!
@BabMuniwe-pg7el
3 сағат бұрын
Hii kitu sio poa ko mnaatisha watu ili kujichukilia uhasama na polisi
@philemonsnyanda9450
3 сағат бұрын
Hivi vitisho ni swala la muda tyuu
@RamadhanAthuman-d4c
3 сағат бұрын
Kisa chadema kusema wataandamana kila kona mmemwaga asikali shikamoo mbowe
Hizo show na hayo mafita wangetumia kusaka majambazi sio kutisha wananchi
@Mjeda-q1m
3 сағат бұрын
Aibuuuuuuu wanatembea huku nafsi zinawasuta watu wanatekwa wanauwawa nanyi mpoo Dunia inawaona mnatumia masilaha kupambana na wasio na silaha zozote duu
@raphaelmacha1173
4 сағат бұрын
Kwani kuna vita ya wenyewe kwa wenyewe? Acheni kutisha watu hatuko miaka ya 60
@MOSESIMCHUNGUZI
4 сағат бұрын
MIKWARA MIKWARA.MIKWARA😢😮😅
@helencyprian8745
3 сағат бұрын
Hovyo kabisa mngefanyq hivyo siku zote utekaji, mauwaji yangeleta taharuki? Tunajua mnalenga nn
@jerome3143
4 сағат бұрын
wanateseka hawa jamaa maagizo yanawTesa sana na miemuko ya kujionyesha kwa watawala
@BozaDizamile-u1d
3 сағат бұрын
UOGA Uo Hakimbi Mtu Kesho Tumechoshwa Kutishwa
@BARAKAJOSEPH-j4u
3 сағат бұрын
Kafanye doria kongo
@AzizMasenga
26 минут бұрын
Nakupongeza sana maandishi wa Habari kwauizum Bendera ya Act wazalendo.
@SaimonMwashinga
3 сағат бұрын
Shika wahalifu sasa ndo tutakuelewa
@ChancellorFelix-vm5yp
5 сағат бұрын
Dah! Izi nguvu wanazotumia police wangetumia kudhibit mafisadi na waletaj wa mikataba hewa kelele za Maj na barabara mbovu zisingekwepo
@nabimanyafesto5014
3 сағат бұрын
Hakika
@EricUbalijoro-x1l
4 сағат бұрын
Mlaaniwe maandamano ni haki kikatiba
@MustaphaSeleman-z7c
5 сағат бұрын
😭😭😭 mchi hii mungu yupo
@emanuelsinyinza
44 минут бұрын
Polisi wanatakiwa kufanya kazi kila siku hakuna haja ya kuwa na ulinzi shlikishi.wanatosha vijana wetu. Kamanda safi sana makamanda wengine waige mfano wa sumbawanga.
@oscarcharles9624
3 сағат бұрын
Jeshi la polis mnachekesha
@yonahizza-o8z
3 сағат бұрын
Nihuzuni, niabu duh! Ili iwaje sasa
@mukupakizabi3357
2 сағат бұрын
Hiyo ni dalili yakutia hofu chadema wasifanye maanda mano yao yakudai haki nasiyo doria za kusaka waalifu sasa jiulize sikuzote hakukuwa na walifu? Kwahiyo wanavaa ma Sare kwakuwa wako tayari kivita 😂kupambana na raia 😂😂
@ShadrackMasija
3 сағат бұрын
IMARISHENI usalama soja
@ahmadifataha6677
4 сағат бұрын
Wakistaafu kazi yao huwa maisha ya mtaani hawayawezi kabisa wanakufa kwa stoki tuu maana wamezoea vya bure
@NeemaSamueli
4 сағат бұрын
Sawa waho wapo kazn wanapewa amri xo kila m2 anazingatia ugali wake
@saidrakwe8727
4 сағат бұрын
Wale watekaji sasa wanaweza wakapatikana 😅
@RomanMwinyi
2 сағат бұрын
Dar kuna shida watu wana tekwa tuna taka ulinzii kama uwooo ili tu wapate watekajiii
@ayubu-channel
3 сағат бұрын
Wanangalia usalama au wanavuluga usalama 😁😂
@jumakisailo8496
53 минут бұрын
Heh...! Kumbe nchi yetu ina polisi wengi hivi..!!? Walikuwa wapi jamani..🙄🙄🙄
@JofreySanga-lu8pn
4 сағат бұрын
Hiyo Sasa ndio taharuki mbona kuliko maandamaano??
@mpefu_4936
4 сағат бұрын
Vibaka wapi na watekaji wapo kamata weka ndani
@JohnMhogo-hd3fs
5 сағат бұрын
Kz yakufanya naona hazipo ktk kitengo chao naona
@tatizojoseph8702
Сағат бұрын
Wadafanya doria Leo kweli ? Wakati maharamia yameteka watu wameuwa watu!! Tanzania yangu!!! Baadae yawatu kupotea ndio unaona vitandawili kama hivi!!! Nasubiri kwa hamu sana walio mteka kibao na kupoteza maisha yake.. washikwe!!
@babusadala5732
26 минут бұрын
Mngekuwa Kila siku mnafanya hivyo basi nchi ingepoa ila ..,?😢
@MathewsSikazwe-up4qd
12 минут бұрын
hivi mapolice ni watanganyika kweri? mbona kama hakiri zenu aziko sawa, watu wana tekwa kila siku alafu nyie mna fanya maigizo, hatari sana nchi zakiafrica zinamazoombi nasio binadamu.
@VisentJohn-r3r
3 сағат бұрын
Kawaida ndio inchi shida ipo wap
@NestorSimbi
36 минут бұрын
Hizi nguvu zote mngezitumia kusaka watuhumiwa nchi isingekuwa na hata mvuta bangi
@EliaHiluka
45 минут бұрын
Kwann hawakufanya hayo siku za nyuma baada tu yakusikia maandamano ya. Cdm ndipo wanajitokeza barabarani
@RaibebeBebe
36 минут бұрын
Kumbe jeshi lá tz ni Kwa ajili ya kuwalinda viongozi wa CCM na chama chao Kwa hali hii ni bora chama kimoja maana vyengine havina haki viongozi wao wanatekwa
@SamwelMasai-e9d
3 сағат бұрын
Munakuwaaga wp
@ZaitunAbdallah-ol1bb
3 сағат бұрын
Watatoka hiyo sio dawa
@petergeorgekafumu
53 минут бұрын
Ni upuuzi tu, siku zote huwa mko wapi. Mmesikia maandamano ya amani, mnayawekea flavor za fujo. Aibu sana. Mjifunze kwa majeshi mengine
@florencejohn6427
Сағат бұрын
Itafika muda hata mtakimbizwa wenyewe na wananchi. After all, wananchi wanajua mnakoishi huko mtaani. Wakiamua siku moja watawazuia hata msitoke milangoni mwa nyumba zenu
@rodrickkimaro-fb5tn
4 сағат бұрын
Ongereni
@MuradAbdul-u2c
4 сағат бұрын
Mhh, minapita2
@DenisonTheonest-yj3mk
Сағат бұрын
Ivi hamuoni haya kuwa na jeshi la kishamba la namna hii mnazidiwa na asikari wa campuni ya J4s Tanzania ombeni msaada kwa J4S wawapatie hawa vibaka training ya mafunzo ya using of force,human right, haya majamaa zilo
@ibrahimlaizer5012
Сағат бұрын
Kwanini ulinzi huu usiwe siku zote? Naona hii ni kutisha wananchi ambao kwa hakika watanzania tumechoka na utekaji wa police
@allymaimuna8688
4 сағат бұрын
Nguvu ya soda
@EliaHiluka
29 минут бұрын
Hii 🎉🎉🎉🎉🎉 police 🚓🚨 ya msisimko kwelii he aisee maajabu y musa na filauni
@mpefu_4936
4 сағат бұрын
Tulindeni tusitekwe kaka zangu
@anselmoonolius
Сағат бұрын
Mbwa koko tu hao cjui wanamtisha Nan kutwa kucha watu wanatekwa na wenyewe wapo Leo hii wanaingia road kuwakingia kifua watekaji
@norobo205
2 сағат бұрын
Ulinz huu ungetumika tangu mwanzo kusingekuwa namatukio ya watoto kupotea
@CalistiNicetas
4 сағат бұрын
Huyo mama anakazi.
@FadhiliDolla
3 сағат бұрын
Watulinde
@JofreyMsigwa-ok7hv
4 сағат бұрын
Vilaza mbwa hawa
@alexanderchacha8585
2 сағат бұрын
Acheni kutisha watu tuleteeni magaidi wanaoteka watu nawatu wasio julikana wajulikane tumechoka mbwembwe zisizo tuhakikishia usalama wetu watu wanapotea mkokimya 😢
@RamaBakari-o8b
15 минут бұрын
Zimepita gari za polisi km zote hapa rukwa
@SubiranTimo
4 сағат бұрын
Yaan mkamate watekaje
@erwineponda9015
Сағат бұрын
Kwani mngewaruhusu waandamane halafu mkawapa ulinzi nini kingepungua? Mbona mnaleta sintofahamubisiyo na sababu?
@ChristineElias-bn4dw
Сағат бұрын
Mim binfsi sijaona cha maana wanachokifanya ngonja sis tusubilie maandamano yetu
@FadhiliDolla
3 сағат бұрын
Watuletee wanaotuteka
@SuolFat
Сағат бұрын
Je watanganyika watawatwanga ndugu zao risasi
@MohamedKitenge-o9j
Сағат бұрын
Naomba kila mwezi chadema waandae maandamano
@mhenitv
Сағат бұрын
Ngoja paendelea kuvuja Tutajua namna ya kuziba
@DominikiChristian
Сағат бұрын
Police awajui kazi zao sema wana nchi wan wazalau sana
@UPENDOMLELWA-x2b
39 минут бұрын
Kwani Hawa askari alikuwa wapi siku zote paka watu wanatekwa kwanini usitafute walifu na watekanji
@WilbertMalula-vv7ml
2 сағат бұрын
YAANI CHADEMA INAWASHIGHULISHA KWELIKWELI
@innocentpaulchillu1512
16 минут бұрын
Good job
@RamadhanAlly-cf7du
2 сағат бұрын
Hakuna kitu wangekuwa wamejpanga kukabliana na uwalifu watu wasnge tekwa
@DenisonTheonest-yj3mk
Сағат бұрын
Hakuna jeshi hapo makada ya chama tawala watu wenyewe yamepigika hapo yalipo mifukoni mwao ukame,hamjui mlitendalo umasiki mpaka kiama
@IssaRajabu-my5ig
2 сағат бұрын
Tungekua tunalindwa hv Kila siku tungeuwawa, uku ni kunyamanzishwa kimya kimya kwamba kuwatia hofu wanaotaka maandamano ya amani ili ukwel usisemwe tunaijua hyo😂😂 mlikua wap muda wote
@OdiloMagungu-uf5is
Сағат бұрын
Ni ujinga tu yani hayo yoote ni kuwatisha CDM waiogope ccm
@ebrahimosman5477
Сағат бұрын
👍
@fadhilimoshi5754
Сағат бұрын
Mbona police wanakuwa km mbwa wa tajiri wanaishi kwenye mabanda km mbwa acheni tuwatetee
@AliAhmed-m1o2u
4 сағат бұрын
Safi sanaaaaaa hii nchi inatakiwa iwe km hivi hongereni makamanda ❤❤❤❤❤
@GodfreyOsward
3 сағат бұрын
Jaji Sinde Warioba, Hatukujenga amani kwa kuzunguka na bunduki nchi hii, amani yetu tuliijenga katika kuamini katika UTU.
@LeodegardRutakyamirwa-hg9hu
Сағат бұрын
TUNATUMIA GHARAMA NYINGI KWA KUOGOPA MDOMO
@EliaHiluka
31 минут бұрын
Maajabu ya musa ukishangaa ya musa utaona ya filauni wanatumia kodi zetu kuleta vitisho siyo bunduki zimenunuliwa kwa kodi zetu wanazitumia vibaya wanadhani hasira za wananchi zinatulizwa kwa mitutu hawajui kuwa wanazidi kupandisha hasira kwa wananchi watanzania?
Пікірлер: 158