Duuuu,,, tulikuwa tunakaa sebuleni na baba tunasikiliza kipindi, hapo marufuku mtu kupiga kelele,, mmmh!! Mungu nimwema
@estakapufi7582
9 ай бұрын
😂😂jamani tulikuwa muda ukifika tunaenda nyumba ya jilani kikundi tunasikiliza kwa umakini
@elizabethmhinas7414
10 ай бұрын
Mambo yazamanina michezo nimizuri Kwakweli hd Raha pwagu napwaguzi nawakimbuka sana
@fatmasalim8293
9 ай бұрын
Mashallah nimekumbuka utoto subhanallah
@clementkivegalo2604
10 ай бұрын
Kweli siku zinakwenda kasi sana.
@frankmaganga8350
9 ай бұрын
Kiukweri😂😂😂😂😂😂😂safi asee
@kasozimatovu5810
10 ай бұрын
Wish GOD can rewind life to become enjoyable like those days,!!! Everything was enjoyable free of jelousy, envey, hate, lies, stupid claim of GOD, LOVE to some peoole, multipartsm,
@emmanuellugina796
2 жыл бұрын
Nazitafuta hizo audio za Pwagu na Pwaguzi# Nice Kumbukumbu
@josephkulija293
Жыл бұрын
Hao ndiyo walikuwa wasanii kweli kweli. Tulipenda sana kuwasikiliza.
@gibsonjosephat6352
Жыл бұрын
Du! Inanikumbusha mbali Sana.
@zulachama1067
10 ай бұрын
Zilipendwa ❤❤❤❤
@MaryamSimai-b9f
9 ай бұрын
Zamani ni zamano
@magesamatiku7506
10 ай бұрын
Zamani tamu sana.❤❤❤
@ShkiruIsmail
4 ай бұрын
yakale ni dhahabu
@dinermafuru4433
9 ай бұрын
Dah kweli nishazeeka😂😂😊
@margarethpolepole7438
9 ай бұрын
Enzi zetu za mwaka 47 tukiwa Nationalist Uhuru Mzakendo na Radio Tanzania
@kilimanjaro77international26
10 ай бұрын
Hawa ndio ze original komedi
@reubenmwidima
Жыл бұрын
Asante sana mkuu
@MussaMbinga
7 ай бұрын
Enzi zetu
@marrypius576
Жыл бұрын
Dah kipindi hicho hata sijazaliwa😂😂😂
@farumain
11 ай бұрын
Ya kale dhahabu
@abdiomarmohamed1103
Жыл бұрын
Magoma hayo 🕺🏽💃🏿🫵🏽😁🥊😅
@hassanibakari9667
Жыл бұрын
hakika zakale sinapendeza na zina mafunzo makubwa sana
@patrickkasonso
10 ай бұрын
Miaka hiyo..dah!
@sammobio3488
6 ай бұрын
Aliepiga hizo ngoma
@carlsonndossi9271
4 ай бұрын
Marehemu Mzee Morris Nyunyusa huyo, alienda mpaka kwenye maonyesho ya sanaa Japan Mwaka 1970..
@olgertz3407
Жыл бұрын
Sijawahi sikia zaidi ya Kupata kusikia Hadithi ila inaonekana ni Drama nzuri 😂😂
@farumain
11 ай бұрын
Nzuri kuliko
@abuialmarjibi979
2 жыл бұрын
Wahenga tupo
@margarethpolepole7438
9 ай бұрын
Wasanii hawa kama wako hai Kuwasaidie hao ni maskini
@hassanjuma3703
11 ай бұрын
Umenikumbusha sana
@farumain
11 ай бұрын
Karibu muhenga!!
@johnambrose7223
10 ай бұрын
Tulikuwa hatulali mpaka saa nne ifike
@abdalakombo1595
Жыл бұрын
Watutumie na picha za polo na chakubanga .na bushiri.
@richardmagoti5280
Жыл бұрын
Mm ni mpenzi mkubwa wa pwagu na pwaguzi. Naomba maigizo mengine humu
@mrsdeborahurio
9 ай бұрын
Daah! Umenikumbusha mbali sana😂😂😂😂😂
@abdiomarmohamed1103
Жыл бұрын
Old is Gold 😂
@RamadhaniKibenga
10 ай бұрын
😂😂😂😂😂
@khamissaleh921
10 ай бұрын
Hapo no TV ILA DUNIA NZIMA WANAZO HUKU KWETU ILIKUWA NI HARAMU
@hilalkhalfan1452
9 ай бұрын
Tz ilikuja tv kabla ulaya. Upo wapi wewe
@rosemaryfrancis9577
Жыл бұрын
nilikua nasikiliza na bibi yangu usiku tukiutafuta usingiz
Пікірлер: 46