abuu mu'awiah hassan bin awadh manhaji yake ipi mimi simjui na wala sijawai kumsikia na hata kumsikiliza ? naomba kufahamishwa, atakayenifahamisha shart awe salafi asiwe hajawilah tafadhali
@ahmednurhussein3872
Жыл бұрын
Sis ni masalafy alhamdulillah na hatukujui wala hatuna haja ya kukujua mana naona siku zote kimya ila fitna tu imekufufua
@jumanneissa7118
Жыл бұрын
Jamaa liongo hili
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Wamegeuka mapapa razi wanakulana wao kwa wao sasa
@user-yj5on8cz3e
Mpk mtakaporudi katika usalafi wa kweli muache ujadida
@mashaurimvungi2232
Жыл бұрын
Kakosea kweli lakini wewe pia umepinda ndio maana hutambuliki umekaa vichakani
@aboumuqbil2529
Жыл бұрын
Yaani maneno ya mtu mwenye kutafuta elimu tu basi usiyalinganishe na huyu kijana, naona sauti kama ya mrehemu nyundo
@user-jy2lo6gl9u
Endeleeni kufyatuana mawahabi,
@sheikhomarabeid3246
Жыл бұрын
Hakusema sheria hazitekelezeki bali kauli yake ni sahihi mtume sallah llahu alaihi wasalama kasema ..zina inamafungu manne na hapana budi mtu itamsibu moja ni zina ya machoo....
@mwalimuyussuph6469
Жыл бұрын
manhaji ya huyu mtu ni yapi?
@user-yy6vy4xu2s
Allah akuhifadh Abuu Muawiya.
@kichachu6391
Жыл бұрын
العجب من هؤلاء القوم أن المخالف إذا كان من جماعتهم يلتمسون له ألف عذر وإن كان من غيرهم وإن احتمل أمره ألف صواب يحملونه على أسواء المحامل إذا لم يكن صنيعهم اتباع الهوى فما أدري ماذا يكون؟
@abdulkarimmussa8795
Жыл бұрын
Wewe kichaa
@lilianmakwati5228
Жыл бұрын
Kimeumana
@wazirihamisi6484
21 күн бұрын
Jirongo hili sana
@Abutwaibah001
Жыл бұрын
Hawa jamaa hawana adamu hata kidogo kisha wana jifanya nyisha na wema walio pita.
@saadatualdaaraeni1369
Жыл бұрын
Yaani kumbe na nyinyi muna uchungu na kutukanwa wana wachooni????
Пікірлер: 66