Allah amuhifadhi shekh Abulfadhil na wote wanaolingania daawatu salafiyah East Africa na dunia nzima kiujumla....
@bilalimuhammed5218
3 жыл бұрын
Allah akuongoze siku zote uwendelee kusimama upande wa haki
@mbarouksuleiman661
3 жыл бұрын
ALLAH akuhifadhi sheikh
@hassan4k7
3 жыл бұрын
Hii Raad kajibu sheikh Kassim kielimu zaidi, sio kumsifu kwa aso nalo, ila hiii mm nilikuwa natarajia atajibu kwa ufanisi wa namna hiii, kwasab sheikh kassim hakurupuki hufanya bahthi ya nguvu , Allah amuhifadhi na aurefushe umri wake katika Manhaj ya wema waliotangulia\Manhaj ya Salaf mpka kufa kwake AAAAAMIN 👌🔥❤🔥👌👌👌👌
@hanifatanzania7258
3 жыл бұрын
Amyn🤲
@khaalidcheo5383
3 жыл бұрын
Aaamin
@bayuuofficial2042
2 жыл бұрын
Asslm alykum
@bayuuofficial2042
2 жыл бұрын
@@hassan4k7 naomb no zako wasap akhy lkareem
@galbasalim2164
3 жыл бұрын
Okay sasa sheikh Maalim ni nani kati ya hao maimamu 4 alisherekea maulidi mbona wewe washerekea maulidi kwa madhabu gani AMA MADHHAB YA MWINYIBABA
@sadyrajabu9318
3 жыл бұрын
Mna acha kufundisha watu mna anza kumzungumzia othmani
@ibrahimumtatuu762
3 жыл бұрын
Ngoja aonyeshwe vizur kwa ujahli wake ulopea an inabidi achapwe radd hasa an
@massoudfaki6744
3 жыл бұрын
nynyi mashehe sasa ndio munatufundisha au munafanyaje? tulione mutuelimishe lakini sio njia hii
@ahmedjuma2674
3 жыл бұрын
Ndio njia hii hii mana wengine tunapelekwe kama mazezeta
@abdulkareemseif1892
3 жыл бұрын
Hii ndio njia sahihi tutawajua waliopo kidini na waliopo kimaslahi
@saidsalim4292
3 жыл бұрын
shika adabu yako wewe, achana na sheikh othman maalim.
@AbuuKhayraat
3 жыл бұрын
Usishikishe Adabu Bila Ya Vidhibiti Vya ELIMU. Kama Una Hoja Za Ki Elimu kumsaidia huyo uliemwita Mwana chuoni mjibie.... Hamasa hamasa Na Ushabiki havisaidiii kituuu
@abaanahyatmughira5300
3 жыл бұрын
Said Salim siyo akili zako ni hamasa za ushabiki ulizonazo bila hoja na dalili hvyo allah akuongeze ktk njia sahih
@saidsalim4292
3 жыл бұрын
@@AbuuKhayraat Vipi utampatia hoja mtu anaeamini kuwa Masufi ni Makhurafi au Makafiri.Sisi ni watu wa taswawwuf na nyinyi ni Mawahabi, kwahio mtuache na itikadi yetu tena komeni.
@abdulkareemseif1892
3 жыл бұрын
Visa vishakujaaa kaka .huna elmu unaambulia kutukana
@saidsalim4292
3 жыл бұрын
Vipi utampatia hoja mtu anaeamini kuwa Masufi ni Makhurafi au Makafiri.Sisi ni watu wa taswawwuf na nyinyi ni Mawahabi, kwahio mtuache na itikadi yetu tena komeni.
@AbuuKhayraat
3 жыл бұрын
Hivi Alosema Masufi Makafiri ni nani? Ni wapi? Ni lini? Kwa maandiko gani? Tunaomba uje uyathibitishe haya Ki Elimu bila ya Jazba Wala Kutukana wala majigambo... Naaam
@thaqidazry5507
3 жыл бұрын
Huna lolote, km mtu akikosea kwani uislam hauna utaratibu mzur wa kumkosoa mwenzako? Jst kutafta kiki kwa kutumia jina la mwengne, shekhe wenyewe ndio kwanza jina lako naliona hapa...
@husseinhashimkombo656
3 жыл бұрын
Yeye mbona aliwasema vibaya ,tena tuhuma za uongo ktk mimbari ya ijumaa watu tofauti, mbona hakuwata yeye mwanzo?! Kua muadilifu na sema ukweli
Пікірлер: 25