Huyu mbabe wa dunia aliyesimamia nywele za wazungu bila maji akazawadiwa kifo ndio rais pekee aliyenifanya nihifadhi hotuba zake zaidi ya mia NNE nikajifunza yakwamba "kiongozi mwenye msimamo duniani asipokuwa mzungu ni dikteta"
@gabylove4602
Жыл бұрын
Umesema kweli baba
@amonphilip5902
4 ай бұрын
Trueeee
@user-sh3tr8cm1v
3 ай бұрын
Uyu wazungu na wasaliti baina yetu, walimmaliza...
@charlesmillinga992
2 ай бұрын
Hakika kaka
@user-sn1ke4su9n
12 күн бұрын
P0a @@gabylove4602
@Muchoma
Жыл бұрын
Shida ya African ni wa africa tu ! 😢😢😢 RIP BAba najia uchungu kila siku , na misi mutanzania so sad 😢
@dalali_professionalwa_dodo8330
2 жыл бұрын
Tunaomba kujua huyu mama kama yupo hai..hii siku alijiskiaje...half hapa bado walikuwa hawajamjua vizuri mwendazake...shenzi sana hawa....na uskute hii hali imejirudia sasa hv...huyu baba mungu amuhifadhi huko aliko...kilikuwa chumaaaa
@majumbatv1116
Жыл бұрын
Ameshafariki alikua anakaa tabata mke wa jjjj marangu
@dalali_professionalwa_dodo8330
Жыл бұрын
@@majumbatv1116 mungu amlaze mahali pema na tunamuombea kwa mungu amsamahe dhambi zake... Mungu amrehem.
@israelkisaila8401
Жыл бұрын
Alifàriki kwa kuumwa? Au kwa kihoro cha tukio hili?
@edwardnamakonde156
Жыл бұрын
Ni mafisadi tu wanaweza kutuambia kuwa huyu alfuwa hafai kabisa.
@bennie7239
Жыл бұрын
Taarifa za habari zilikuwa za moto sanaaa; Rais alikuwa mchapakazi..
@jumaakida5951
2 жыл бұрын
Huyu alikuwa rais mfuatiliaji!! Hakika amepita sijui kwamiaka yaribuni kama atapatikana mtu kama huyu muadilifu na mzalendo
@fakiinajummwe9972
2 жыл бұрын
Atotokea Kwa kizazi hiki
@mpabwas5916
Жыл бұрын
Mungu hutoa kwa namna inavyompendeza tusubiri Maamuzi ya Mwenyezi Mungu mwingi wa rehema
@flova7022
Жыл бұрын
Jaman Kuna wanawake Wana adabu mkono tu na goti kuchuchumia daah l wish all now days girls be like these mamas
@frenziangella6676
Жыл бұрын
Siwezi kumlaumu MUNGU ila kila jambo linamakusudi yake lakini tunaumia sana
@jumahassan273
Жыл бұрын
Mungu bado yupo nasi tutapata tu rais mwengine atakuwa kama wew baba ila kwa sasa atuna kiongoz wa kuendesha kazi zako ila yupo aliyekalia kiti tu na kula kuku na mrija
@machoguhameri7757
2 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la Amani
@starworldengineering9523
Жыл бұрын
Duh magu mungu akulaze maali pema
@eliakimyesse6086
2 жыл бұрын
Lala pema peponi kamanda,
@johnmichire7809
9 ай бұрын
Huyu rais ana akili sana,yaani arrival and departure passengers wanaweza tumia scanning machine moja
@mialanomangobo9356
2 жыл бұрын
Poleni kumpoteza jembe huyo Hona ukaguzi wake sehemu nyeti
@stevenmundi3142
Жыл бұрын
Akitokea rais mwenye kujua vitu kama magu mniite mbwa niko lape👉 nimekaa
@user-sh3tr8cm1v
3 ай бұрын
Haha, yani wewe
@robertchuri3222
Жыл бұрын
Lala salama mjomba magu yote maisha tu tumeshindwa kukutumia mungu ameamua kukubeba lala salama
@issayasosolo6033
Жыл бұрын
Kwa Nini tusiendelee kukumbuka Kazi ya Magu yatupasa, Ukiwa mwizi hata majibu yako nayo yatakuwa Ni ya wizi tu, Majibu yamekuwa sifuri kabisa pumbavu zao!
@richardmalley68
Жыл бұрын
Endelea kupumzika kwa amani mwamba na shujaa wa Afrika
@rosemongi5273
Жыл бұрын
Mpaka sasa bado ningali na maumivu ninapo tizama kazi zako baba pumzika kwa amani,mwenyezi mungu tukumbuke tena tunakuomba ameeen
@hashimally
Жыл бұрын
Musa shegh dar
@emmanuelntalima1717
Жыл бұрын
Huge Loss of a true Hero..😔🤨😪
@anastaziabenedict7775
Жыл бұрын
Mrrtþtttþ¾eedèŕrŕŕrŕe
@emmanuelsitayo1977
Жыл бұрын
Hivi ndivyo mambo ya nchi yetu yalivyo. Inasikitisha mno. Hakuna anayesema ukweli, taaluma haitumiki na haku dhana ya uwajibikaji kabisa
@zainabubalama8869
2 жыл бұрын
Huyu mwamba alikuwa chuma
@kingmwaxoh6420
2 жыл бұрын
chuma hasaa
@evancykashaga6576
Жыл бұрын
Daaa uyu jaaaaa niatareee sana pumzika kwa amani jembe
@daudpaulo2867
Жыл бұрын
Rais Wa Dunia JPM pumzika kwa Amani
@ndikumanaismail5419
5 ай бұрын
Allah akuhifadhi mzeh wetu
@user-uq2mo7mw2l
3 ай бұрын
Naasikiliza 3/2024 kama angekuwa hai huyu mtu hadi leo tz ingekuwa mbali sana
@safarirockerz2781
Жыл бұрын
R I P DADY.. you’ll always be in our hearts..
@chidiomari.65
Жыл бұрын
My President forever R.I.P Baba
@stanslausbereghe3819
Жыл бұрын
Kweli baba, nchi yetu na wananchi wetu tunaibiwa, hivi kwann watanzania dhambi yetu ni kubwa? Hali ni mbaya Tanzania yetu. Pumzika kwa amani. Mungu akuondolee adhabu ya mauti.
@edmundbarongo8649
Жыл бұрын
Great Loss, Mungu utulinde.
@user-ct4jp1ux1z
3 ай бұрын
RIP JPM we really miss you. Mambo haya unaweza kuta yamerudi tena!!!
@kelvinmugini6793
2 жыл бұрын
genious
@azadiunatishamumyloveungab6614
8 жыл бұрын
bba ahsante kwa kazi
@motivational_leader
Жыл бұрын
Nakukumbuka sana magu 😢
@ishipalemypasco2567
2 жыл бұрын
Hilo lizee la nyuma mbona kama museveni wa uganda
@jairosjulius3466
Жыл бұрын
Ahahaha mwenyewe nikajua museven
@deswaggz6185
Жыл бұрын
Nimerudia mara mbili mbili, kila nikimuangalia mama dah n aibu
@bonfaceomuhande6332
6 ай бұрын
That's management indeed.everyone must be accountable for his docket
@usetobe.1067
Жыл бұрын
One in a million..Rest easy Buldoza
@tillionsmon6131
Жыл бұрын
Tutakukumbuka babaetu,Pumzika kwa AMANI baba.
@fredythomas1848
Жыл бұрын
R.i.p jpm🙏🙏
@tatutumbi4640
Жыл бұрын
Pumzika kwa Amani Baba. Umetimiza wajibu wako. RIP. 😭
@anthonynjoroge968
3 ай бұрын
😢Rest well ....Your Excellency Dr John makufuli ,u were a no nonsense leader,
@sisye1
2 жыл бұрын
Kama drama vile.. Sema ukweli
@clementmusa7799
Жыл бұрын
Mungu acha aitwe Mungu
@fadhilimbilinyi274
8 жыл бұрын
Ifikie hatua sehemu nyeti zijulikanike pia na wakuu wa mikoa kumsaidia rais, kama isingekuwa kusafiri na ndege maana yake hiyo ingekuwa njia ya panya...Tanzania tuamke hadi viongozi wa chini sio mpaka mawaziri au wakuu wa mikoa...na ni vyema kuthibitisha kwa uhakiki...mpaka rais afanye haya...lol...inaweza kuchukua muda mrefu kukua kiuchumi kwa mwenendo wa kumtegemea rais, viva rais na uwe na afya njema siku zote za uongozi wako...
@mfarijikibinga9281
Жыл бұрын
daah, RIP JPM
@FaridaIbrahim-ym6jy
3 ай бұрын
Rest in peace
@Joseph-lu4yj
3 ай бұрын
Ahsante Jpm hata maisha yangu yamebadilika kwa misimamo yangu niliyo copy kutoka kwako
@user-vn9yi3dj4q
7 ай бұрын
Mungu amrehemu jpm, ndio maana walimmaliza kwa kutenda ukweli jamani
@waswajumbe1075
Жыл бұрын
Magufuli rip 😭😭 ulikuwa rais Wa nguvu
@ishipalemypasco2567
2 жыл бұрын
Sema ukweli 😂😂😂😂👍👍👍
@papangoda229
Жыл бұрын
Ulinidanganya sindio
@bizzosela6186
2 жыл бұрын
😭😭😭R.I.P
@LengaiSaruni
5 ай бұрын
Baba umejitaidi Sana ila mungu kakupenda said
@ntegrity277
Жыл бұрын
Kwani hyo mwanamke ni WA Nini? Kuna watanzania smart kuliko huyo Muongo
@fedrickmaganga2693
Жыл бұрын
Good job
@isayakiyeyeu6295
Жыл бұрын
Tutakukumbuka milele😭😭😭😭
@basitv2299
Жыл бұрын
We miss u baba
@alexmpoke2610
2 жыл бұрын
Duuh huyu mwamba huyu!RIP.Tunapoongoza watu lazima kuwashirikisha staff wote kuanzia ngazi ya chini.Sasa hivi Domestic pia wanakagua Daresalaam wakati wa kufika
@huguetteomari3198
2 жыл бұрын
Kwa kweli Kuna watu mungu aliwapa hakili ya kuhongoza lchi na kufatilia kweli kweli, pumzika kwa Amani aliekuwa Rais mkamilifu mwenye busara ndefu,
@huguetteomari3198
2 жыл бұрын
Kila siku nikiona video ya ayati mangufuli huwa na humiaka kwenye rohoo Sana ,
@tedroyc9897
Жыл бұрын
You went too soon ,Much love from Rwanda
@mpabwas5916
Жыл бұрын
Tumepoteza chapakazi na mfuatiliaji mzuri
@chrissamani7921
Жыл бұрын
Mising you so much my przdt😭
@rehemashabaniameen
10 ай бұрын
Ndomana madawa yalikua mengi sana nchi
@user-wg1hw5kj2o
4 ай бұрын
14:23 MR PRESIDENT YUKO NA QUESTIONING MIND 😎😎
@PrissilaHussein-og3cg
9 ай бұрын
Huyu mama Muongo da watanzania kwel tubadilikeni
@FilbertKalembe-fy4oq
11 ай бұрын
Mpaka arepot pot kweli inchi hii ndomana masikini hatufanikiwa wiz mtupu
@paulkarani559
8 ай бұрын
4:16 mhudumu wa uwanja 'Ni arrivals'...4:19 Rais maghufuli 'Arrival!kwa hivyo unataka kusema staffs wote huwa ni arrival'?😆😂😅,..Rais maghufuli ulikuwa kiongozi wa pekee sana,endelea kupumzika kwa amani 😢🙏🙏
@pascalntandu1217
Жыл бұрын
R.I.P daddy;hii nchi watu wetu uaminifu hakuna;kwa mfano kwa bahati mbaya nikawa raisi wa hii nchi mtatafuta pa kwenda wajinga wajinga wote.
@priscamrekoni3451
10 ай бұрын
😅😅😅 eti utafagia wote 😅
@lutahmwesi8525
Жыл бұрын
😭😭😭 Daaaaah!!rest in peace.
@ismailmasoud6001
Жыл бұрын
Duh.... yaani ni watendaji wa serikali ni Mtihani sana, sehemu kama hii ulinzi wa kitoto namna hiyo..!..duh
@patrickmarwa5024
Жыл бұрын
Kuna mambo unapo angalia naona kama na angalia tamthilia hapa
@nuruabasi5503
Жыл бұрын
😭😭😭
@user-zd7iw3my3y
9 ай бұрын
😢😢 r.i.p Jpm
@jumahassan273
Жыл бұрын
Mwamba uyo
@frankmwinuka6298
Жыл бұрын
Kweli mjomba huyu alikuwa na maswali kama tacknic
@nsanzetito1453
Жыл бұрын
Kasim atafanya kazi badae
@richardtungaraza7509
2 жыл бұрын
Huyu mwamba dah
@thabitabas7539
2 жыл бұрын
r i p magu mis you
@fidelislugusi5361
Жыл бұрын
Tumekumiss sana dah😭😭😭😭
@saidsalum4602
Жыл бұрын
Tutakukumbuka baba
@manigajr5127
Жыл бұрын
Huyu wiki mbili huyu mwez huyu miez m3 ila hiiiii bongo nyoso
@omarybakari1681
Жыл бұрын
Wabongo waongo sana
@emmanuelhema186
Жыл бұрын
Machozi yamenitoka baada ya kumsikiliza Mwamba wetu aliyetangulia mbele za haki
@user-wg1hw5kj2o
4 ай бұрын
Mwaka mmoja bado ni mgeni 😂😂😂😂😂😂😂 7:00
@eriminahchai8489
Жыл бұрын
Kazi safi sana makofuli
@FabriceKihanga-de7rp
8 күн бұрын
Jembe 😢😢😢😢😢😢😢😢😢
@FilbertKalembe-fy4oq
11 ай бұрын
Elimu siyo uelewa haya majitu sijui vyeti vya kugushi
Пікірлер: 202