RAIS MAGUFULI AKATAA KUWANYONGA WATU 256 - "SIWEZI kuwa MUUAJI"
RAIS wa Tanzania, John Pombe Magufuli, amewapunguzia adhabu wafungwa 256 waliohukumiwa kunyongwa na kuagiza wapewe kifungo cha maisha gerezani.
Wafungwa hao ni wale waliohukumiwa kunyongwa katika uongozi wa muhula wa kwanza wa Rais Magufuli. Rais Magufuli ametangaza uamuzi huo leo Jumatano tarehe 9 Desemba 2020, katika hafla ya uapisho wa mawaziri 21 na manaibu waziri 23, iliyofanyika Ikulu ya Chamwino jijini Dodoma.
“Leo ni siku ya Uhuru, najua katika kipindi cha miaka mitano mpaka leo natakiwa niwe nimenyonga watu 256 waliohukumiwa kunyongwa, sijanyonga hata mmoja, na wale 256 kwa mamlaka niliyopewa, nawapunguzia kifungo cha kunyongwa, sasa wafungwe maisha,” ameagiza Rais Magufuli.
⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP:
⚫️ ANDROID:bit.ly/38Lluc8
⚫️ iOS:apple.co/38HjiCx
⚫️ VISIT AMAZON: www.amazon.com...
⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI?
⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE ( +255 784 888982), ( +255 713 837506)
⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com
⚫️ OUR PLAYLISTS:
⚫️ HABARI MPYA DAILY:shorturl.at/mnux2
⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: bit.ly/mikasa_y...
⚫️ GLOBAL RADIO TV: bit.ly/255globa...
⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: bit.ly/exclusiv...
⚫️ Subscribe Global TV bit.ly/globaltv...
Негізгі бет RAIS MAGUFULI AKATAA KUWANYONGA WATU 256 - "SIWEZI kuwa MUUAJI"
Пікірлер: 115