Rais Magufuli aliposikia sababu za wafanyabiashara wanavyosafirisha madini "kiujanja" kutokana na msusuru wa malipo. Sikiliza mlolongo huo na namna Rais anavyosikiliza.
huu jamaa yuko sahihii sana alio yaongea hajakosea kabisaa
@stevenpaskali9590
5 жыл бұрын
nikweli kaka hongera sana
@beatuskazimily457
5 жыл бұрын
Hongera xn umefunguka
@notburgamaskini7324
2 жыл бұрын
Apumzishwe kwa amani Mungu amlipe kwa mema haya na mengi ya haki aliyotutendea
@danielyfidelis7102
5 жыл бұрын
huyu jamaa anajua njia nyingi
@wilemakunga1016
2 жыл бұрын
Allah akulaze mahali pema peponi
@akidasalim9798
5 жыл бұрын
Mh hongera baba
@fraviansweetberty8819
3 жыл бұрын
Mara ih atukusikii ata saut Jpm wetuuu dunian ama tunapta
@chumilahazard2713
5 жыл бұрын
nikwel kabisa muinjilist
@jerrywilhelm
5 жыл бұрын
Nimekuelewa mwinji
@wycliffenyamweya.w
8 ай бұрын
Ndugu mnenaji mwema tu Hadi kaongezwa muda size yake tu,heko🎉jamani naye rais aliyekuwa na maslahi ya nchi yake rohoni make apumzike Kwa amani🙏
@mohamedyeslam5194
3 ай бұрын
Jamaa ako Sawa Kwa maelezo, magufui mchaguwe huyo jamaa
@farajikilindila8907
2 жыл бұрын
Ni raisi mwenyewe msimamo Sana na mfuatiliaji hatu kwa hatu toka akiwa waziri wa ujenzi kwakwel atutopata raisi mwenyewe msimamo km huyu tena
@abuumashua4971
2 жыл бұрын
Nikweli asa ayo ndio usika tunamkumbuka sana aliekuwa rais wetu rais wawanynge rais mwenye ofu ya mungu wamemziki kwaaliokuwa anatufanyia watanzania amepambana namafisadi ametutia ujasiri watanzania wote eeeeh ulazwe pema peponi arp josefu pombe makufuli
@mawazoaliselemani8909
2 жыл бұрын
WATU wana uchungu na TAIFA
@salumabdallah5529
5 жыл бұрын
saf sana
@OchoaHomeDecor_
5 ай бұрын
Dah Mzee Magu RIP 😢 🙏
@yudamsafiri7427
4 жыл бұрын
Bila chenga kabisa
@FatnaAlly-go7yt
2 ай бұрын
Mashallah
@petromtakati2975
2 жыл бұрын
King Solomon 💯💯💯💯
@eliaslazaro2809
2 жыл бұрын
Mwinjilist Solomon nyang'hwale nakuona mtumishi.
@apboy8944
2 ай бұрын
My former president r.i.p 🙏🙏
@nehemiazakeo2746
2 жыл бұрын
Huo ndo uongozi ulivyo kuwa bora na ilikuwa hivyo kipindi hicho. yani ukiwa kiongozi bora yani hata watumishi wako huwa waminifu na kusema ukweli na kuwa na ujasili katika kazi yake kwa sababu anachokuwa akikisema kinakuwa na ukweli ndaniyake nakutekelezeka kwa halaka hivyo selikali na wana nchi wake hufulahiya matunda ya utendaji wao kwa uaminifu muzuli na kuiamini selikali na raiya kuamini selikali yake: Sijui? hii leo je, hayo yanayo semwa na huyo mubunge yana tekelezwa au ndo imebakia kama histolia? kama hivi zamani vile?
@wilemakunga1016
2 жыл бұрын
Dah jpm tutakukumbuk
@kassimloav2402
2 жыл бұрын
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
@patrickmarwa5024
6 ай бұрын
Hili swala la dhahabu hata wabunge wa upinzani awaongei hili swala ni kupewa bahasha tu.
@kassimloav2402
2 жыл бұрын
Uongoz Wa maguli hakuna kiongozi anayesema vijisent au helaya chai maliuma unasema hela ya chai vijisent ni aibu
@feisal6592
2 жыл бұрын
Suluhisho ni machine tu
@kassimloav2402
2 жыл бұрын
Hapa maguli anaitendea HAKI kiti Cha urahis wapigaji mabeberu wazawa wanashikina na wanje ya nchi hapa anapata ukweli
@amanifataki1714
2 жыл бұрын
Magu tinao wengi ila wamebanwa na matajiri wa nchi hii ila tukimuomba mungu kwa pamoja hanaga roho mbaya.
@emmanuelsanga34
2 жыл бұрын
Wazalendo was kweli
@hamidmkwizu6379
2 жыл бұрын
Mungu aku
@fidelislugusi5361
Жыл бұрын
R.i.p Jpm
@CANAANTZ_TV
4 ай бұрын
Haleluyaaa Jipatie vitabu vya maombi ya kiroho bureee Kwa njia ya WhatsApp 1=Maombi ya kuvunja nguvu za kichawi zinazoshambulia maisha yako 2=Maombi ya vita vya kiroho Bonyeza picha kushoto mwa comment hii tutakutumia bureee Kwa njia ya WhatsApp 2=
@abdillahkinande1057
3 ай бұрын
😅 😊
@mosesmzakwe7774
Жыл бұрын
HIVI HUYUU JAMAAA ALIKUWA MWINJILISTI KWELI ALIKUWA AMEVAA KIVULI CHA UINJILISTI? HAKIKA ALIKUWA MTUMISHI MWEMA.
@davykisabo875
3 ай бұрын
Hahaha sahihi jamaa ni mwinjilisiti sahihi Mimi jirani ukitaka hata namba yake nikupe umsalimie
Пікірлер: 38