Naongea kwa kutoka moyoni katika maisha yangu sijawahi kumpenda Rais katika Nchi ya TANZANIA kama nilivyokua nikimpenda Rais Magufuli pumzika kwa amani baba etu🙏🙏🙏😭😭😭😭😭😭
@josephjohnmagesa8256
3 жыл бұрын
Wangap wamekuja baada yakusikia kifo chake
@hamissahamissa105
3 жыл бұрын
Yani tunamuombea mungu akupe maishamarefu raisi wetu magufuli mtetezi wa wanyonge
@alexxsanga4845
3 жыл бұрын
Tutake nn tena kwahuyu Raisi
@marygregory7566
3 жыл бұрын
Ooohhhh pole mpenzi uliyemuombea raisi maisha marefu
@magambojohn5712
3 жыл бұрын
@@marygregory7566 Daaah jmn apumzike kwa amani
@salmaathuman9156
3 жыл бұрын
Tutake nn Tena kwa huyu rais 🙌🙌👌
@naivashaazori6233
3 жыл бұрын
Kama huna shkuran kwa huyu rais wetu basi hutakaa ushukru tena mungu akubariki baba
@josephjohnmagesa8256
3 жыл бұрын
Ulikua raisi wa haki,mkweli,mpenda kazi,mpenda maskini dah mungu akupumzishe mheshimiwa magufuli
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
Kazi yao ilikua matusi na sio kuomba kwa ajili ya wananchi
@allymamlo252
3 жыл бұрын
Kweli
@emmanuelbonifase1114
3 жыл бұрын
@@allymamlo252 100
@zablonnyanda6095
3 жыл бұрын
Dah?! Huyu jamaa ana akili sana aisee! Japo kuna watu eanampinga sana Ila watampenda tu!
@zainabumbondei8635
3 жыл бұрын
Maskin kumbe hapa alikua anaaga wananchi wake kweli MUNGU katuwekea fumbo kwenye kifo INNALILLAH WAINNA ILAYHU RAJIUN ALLAH akuweke sehemu inayostahili pumzika kwa amani baba etu
@Jax20022
3 жыл бұрын
Rais wetu ni the best!!
@michaelmrema5233
3 жыл бұрын
Naamini mungu atatenda miujiza nandoto za wengi zitatimia pale magufuli atakapoongezewa muda.
@rajabuhamisi2769
3 жыл бұрын
Kabisa
@rezegerezege691
3 жыл бұрын
Kabisa kabisa
@zainabumbondei8635
3 жыл бұрын
@@rajabuhamisi2769 hapo kwenye kuongezewa muda ndio mafisadi walipoamua kumuumiza mana walishajua yatatendeka kweli yakuongezewa muda
@saidiissa8729
3 жыл бұрын
Mweshimiwa rais kiukwel toka uje morogoro kwenye soko kuu na leo tena upo hapa stand mkuu dar kiukwel unachokizungumzia juu ya wananchi wanyonge kiukwel yanatusaidia sanaa n
@devothaeustace7051
3 жыл бұрын
Mungu akupe pumziko la milele tutakukumbuka Daima,😭🙏🙏
@allymamlo252
3 жыл бұрын
Nipo Mbozi huyu jamaa hua ananiliza kwa anayofanya kwa furaha jamani
Kiukweli kifo hiki,utazani upo Rais wangu,jamani sina la kusema
@victorialucas4476
3 жыл бұрын
Dah! Mwanga wa milele ukuangazie pumzika baba
@michaelmrema5233
3 жыл бұрын
Mheshimiwa wamesahau kukuambia kuwa kuna daraja tishio lililopo kibamba kibwegere kuvukia kwakinega kuja mkoa wa pwani. Hili daraja limetundikwa kwenye mti wamkuyu kwakutumia wayawaya tu. Mbaya zaidi huo mto unamamba wakutosha kabisa.
@alphonceushaki357
3 жыл бұрын
Milladi Ayo mbona umekuwa adimu sana siku kadhaa ivi
@tadayaugustine2694
3 жыл бұрын
Raisi ndio huyu
@zainabumbondei8635
3 жыл бұрын
Unaniliza ww baba jamani 😭😭😭😭😭
@sikitujuma4866
3 жыл бұрын
Baba mungu akulinde kama ukonga viongozi walikua bomu kama uyo waitara hamna kitu maeneyo ya bichi pemba kitunda tumepata tabu kudai mtaro
@happinesszabron6811
3 жыл бұрын
Baba yetu kweli ndo umeondoka hatutakusikia tena jamani
@babashuayb4926
3 жыл бұрын
Rest in peace Mr president
@patriccharles1562
3 жыл бұрын
Wapembe nuksi duh 🕵️🕵️🕵️
@sikitujuma4866
3 жыл бұрын
Masikini tuna fuga vikuku vinazama maji yakijaa tunaomba yavutwe tunapewGari la zima moto tununue dizel na posho ya dereva na wasaidizi wake
@hamedabashir9
3 жыл бұрын
Woyoooo👌👌👌👌👌👌👌
@davidmweri6716
3 жыл бұрын
Rais John Pombe Josephu Magufuli Mungu akulinde sana saaaaana naakuzidishie akukinge na mabaya yote,
@rukabobugalama2722
3 жыл бұрын
Magufuli kiboko lao
@gidiongidy9252
3 жыл бұрын
Kumbe walinzi wake ndo walimmaliza rais wetu . Muangalie vzur walivyokua wakikonyezana tangia hapo hakurudi jukwaani tena
@getrudamkulu9319
3 жыл бұрын
Dah jamaniiii Leo hii eti umeondoka jamaniiii mbona mapema jamaniiii ulikuwa una mengi ya kututendea dah moyo umeumaaa jamaniiii pumzika kwa amani baba umevipiga vita vilivo vizuri mwendo umeumaliza Mungu akurehemu na akupumzishe kwa amani
@arafaomari1832
3 жыл бұрын
Woyoo
@giftpaul2559
2 жыл бұрын
Raisi bora shujaa wa Africa
@chomasongidion6047
2 жыл бұрын
Watu walikuelewa Sana Sana.utakumbukwa daima.wewe nimshindi na umeshavishwa Taji la ushindi
@happyshija5418
3 жыл бұрын
Hii stend iko wapi jaman
@rehemakamendu7439
3 жыл бұрын
Mbez mwisho kimara
@abdallahsaid8157
3 жыл бұрын
MashaAllah!
@kijaziwakijayo6833
3 жыл бұрын
Yaani me napendekeza ata nchi hii itwe Magufuli tu. Mitano tena
@rezegerezege691
3 жыл бұрын
😆😆😆😆😆😆
@simbawateranga7020
3 жыл бұрын
Mmmmmh😷😷😷
@EbondoSounds
2 жыл бұрын
😭😥😥😢
@mariumkirungi3699
3 жыл бұрын
Rip baba
@dannykyungay6527
3 жыл бұрын
RIP
@musaguga
3 жыл бұрын
Maendeleo hayana chama ila usisahau siku moja ina masaa 48
Пікірлер: 61