Hakuna ubishi kwamba you are the right candidate and we will fully support you Mr President....hadi kenya waone wivu
@hakimuaabdalah177
4 жыл бұрын
Wataisoma namba.
@bettyanthoney3988
4 жыл бұрын
Hatuna wivu bali tunaomba Mungu atujalie na ss kama alivyo wajalia nyinyi magufuli tano tena na zaidi pia kwa uwezo wa Mungu AMEN🙏🏾🙏🏾🙏🏾
@richardkaswalala780
4 жыл бұрын
Tutawafundisha tarehe 28 ndio watatuelewa wanamwanza tupoje.tunataka mzalendo sio muuza nchi.magufuli oyeeee
@makulaikuku6909
4 жыл бұрын
Oyeeeee
@amiramir-tx1my
4 жыл бұрын
Baba tupo pamoja sana karibu Boma ng.ombe Hai tunakusubiri sana
@mariamuseifu3065
4 жыл бұрын
Allah akupe maisha marefu Rais wetu Inshallah 🙏🙏🙏
@sponsor7882
4 жыл бұрын
Mmh
@Melisacr1147
4 жыл бұрын
Ccm huw hawatukani wanajielewa chama cha watu wazima
@wilfredmlaki822
4 жыл бұрын
Magufuli oyeeeeeee
@naetwewaziri9907
4 жыл бұрын
Tuna kukubali Sana Rais wetu nnaimani unapita Sina jingine
@kelvinmtavangu8299
4 жыл бұрын
Lisu aisome hiyo. Watanzania tutakupa KURA zetu MAGUFULI. Magu umefanya mambo makubwa pia umewaka historia nchini na duniani kote. Hongers Baba.
@rachaelmbura840
4 жыл бұрын
Sema utampa don't include me
@claudsanga7883
4 жыл бұрын
Kwenye kuomba kura mnatuita waheshimiwa wanaichi 😁😁😁😁
@bimsaleh7076
4 жыл бұрын
Magu no 1
@kalikalisalehe3701
4 жыл бұрын
Magufuli Baba laoo
@karangwafred3835
4 жыл бұрын
Tanzania Oyeeeeeeeee😍 CCM oyeeeee✊✊✊👍 Dkt JMP Oyeeeee ✊✊✊👍
@kaitaramadan6340
4 жыл бұрын
Jamani amkeni wataweza kweli aah wapi
@salmaathuman9156
4 жыл бұрын
Wacha waisome namba eee ccm mbele. Kwa mbele lissu umeona nyomi hiyo ya magufuli ndiyo kipenzi chetu
@tereseamasawe8111
4 жыл бұрын
MAGUGULI OYEEEEEEEEEEE
@jumamasaka9162
4 жыл бұрын
Tupo pamoja uncle magu" mungu akujalie afya njema
@Tiffany340
4 жыл бұрын
Washaisoma mzee baba... Kina bi kidude ameanza kuvaa gauni Sasaivi...👌
@happykimaya2762
4 жыл бұрын
😁😁😁😁
@gloriamichael3698
4 жыл бұрын
Nimechekaje heeee jamani jamani
@mbaroukrashid6201
4 жыл бұрын
Wewe si muongeaji wewe ni mtendaji
@robertterry8909
4 жыл бұрын
Jpm namba moja Tanzania
@saleheabdalah6535
4 жыл бұрын
Umepita JPM
@kalumbugideon4159
4 жыл бұрын
Wewe ndiye Rais John Pombe Joseph Magufuli safiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii Sanaaaaaaa.
@matildamkombachepa4320
4 жыл бұрын
Wewe ni Rais wangu
@princedennisemmanuelsanaya2130
4 жыл бұрын
Hapa kazi tuu
@neemapeter7362
4 жыл бұрын
Daah mr President 10 acha kuombaa kura cc ndo wew utuoneee urumaaa raisiiiiii 1000000000 wetu
@nuruabasi5503
4 жыл бұрын
Allah akujalie umir mrefu amiin 🙏 🙏
@mjerusikipago299
4 жыл бұрын
Tuna Kuamin baba kaz iendelee
@buthaymaahmad557
4 жыл бұрын
Tundu na mzeee wa ubwabwa , wa chauma mpoo mtaisoma mwaka huu JPM tembo wa CCM
@abubakarymkwizu81
4 жыл бұрын
Safiiii
@kirupyseleman582
4 жыл бұрын
Ni arusha au mwanza
@johnladisilausi8052
4 жыл бұрын
Apa ni mwanza
@boscoberneto6905
4 жыл бұрын
Arusha dongo soma vzur
@gracejohn886
4 жыл бұрын
Kote kote baba anapendeka
@tullahtweve8852
4 жыл бұрын
Mungu amtunze mh John Pombe Magufuli
@YasinBilla
4 жыл бұрын
Mkuu wa nchi ya Tanzania na the only inspired president among the world's presidents. Go on Magufuli.
@geoffreyengatkinson
4 жыл бұрын
daaah, sasa tuseme nn kingine, arusha na kilimanjaro zote ndo kama ivo tena
@jenipherkavusha1661
4 жыл бұрын
Wataisoma
@luismusisi9158
4 жыл бұрын
Sawa baba uje utuogoze vema asante
@makulaikuku6909
4 жыл бұрын
Mwanza nimewashim wallah magufuli oyeeeeee
@vickyshami2916
4 жыл бұрын
Safi sana
@ngwanafabian9668
4 жыл бұрын
CCM kutumia wasanii hawajaanza leo. Anayekubalika anakubalika.
@makulaikuku6909
4 жыл бұрын
Kweli
@mussamakungu7209
4 жыл бұрын
kazi na dawa!
@allyntunda963
4 жыл бұрын
What a president
@beatuskazimily457
4 жыл бұрын
Mr president
@friminamkenda7405
4 жыл бұрын
Wakipewa nchi watawezana kweli na vile wako na ujinga watawezana! Lisu ni okonko
@jedidahbintidaudi8241
4 жыл бұрын
Magufuli akazane sana na kampeni zake anazofanya. infrastrurctures alizojenga alifanya kitu kikubwa sana sana tena sana. Ila akiendelea kuongelea haya kwenye kampen zake ata loose touch na connection na watu. Kampen Manager wake anatakiwa apeleke watu wake sehemu mbali2 ili kuskia wananchi wanataka nini; utaskia mishahara, kodi, masoko ya mazao yao, medical insurance n.k
@jescamaye2038
4 жыл бұрын
Hivi kweli kuna rais kama magufuli? Magufulii ooyeee
@richardkaswalala780
4 жыл бұрын
Taharifa imewapata.na wataisoma namba
@justinkisinza336
4 жыл бұрын
Hata tuliobaki nyumbani ni wengi kuliko hao walio uwanjani tunaomsaport rais magufuri
@salimmapunda7393
4 жыл бұрын
kuna kipumbavu lissu kilikuja manza kikasema kimeikamata mwanza
@janethomary6877
4 жыл бұрын
Baba in diamond tuuuu
@kaniogachief6151
4 жыл бұрын
Kichwa cha habari kinasema Arusha edit weka mwanza magu hoyeeeee
@samsonmwijage1869
4 жыл бұрын
'arusha donge'
@masoudkipara5053
4 жыл бұрын
Ccm tujitokeze tukapige kura wooote tuone km vyama vyao vya kihuni vtapata ata asilimia 10
@joojombi2341
4 жыл бұрын
Mbna yupo Mwanza wala Arusha
@ukhtyruqyah7860
4 жыл бұрын
Mafufuli oyeeeee
@valenakomba4453
4 жыл бұрын
Wasikusumbue akili hao Magufuli, hawana nyimbo kabisa. Yaani maana yake wamefilisika siyo tu kiakili, bali kimawazo pia. Mtu anayeongea kama amekula mavi asikutie hofu ni kichaa huyo. Anatafuta kukutia hasira tu, sababu a najua wewe ni ndo nguzo ya maendeleo ya Watanzania.
@lawrenciamkolwe4875
4 жыл бұрын
Daa baba mheshimiwa uje nakwetu
@jescamaye2038
4 жыл бұрын
We kamua mzee mgufuli watanzania woote wenye akili lazima kura zooote zimwagwe kwakoo mzee
@mutalemwagabrie9791
4 жыл бұрын
Mwanza hii mbona😏😭😭😭ccm kirumba hii hata Mimi nilikuwepo😭😭😭
@jescamaye2038
4 жыл бұрын
Maana wapinzani wenyewe wanakalia kubwabwaja tyuuuuuu
@ikulunimahalipatakatifu7642
4 жыл бұрын
JPM ni shujaaa wetu wazalendo wote wa TANZANIA..
@jacobmark5140
4 жыл бұрын
JPM wape makavu
@makulaikuku6909
4 жыл бұрын
Arusha au mwanza mmeanza lini uongo tu
@mutalemwagabrie9791
4 жыл бұрын
Nina ona uongo wameanza Leo kweli😄😄
@mariamthomas2545
4 жыл бұрын
Arusha Dongo kwa wapinzani
@floraamos2860
4 жыл бұрын
Kama huna swaga kalale Magiguli rais waTz,wapinzani miguu juu,chali.
@juliethhouseofdesigns147
4 жыл бұрын
Baba usijichoshe kama kuna mtanzania aoni yanayofanyika basi atatakiwa aombewe Hakuna nchi apa duniani imeendelea bila kuwa na vyanzo vya uchumi , hospital, mabwawa ya umeme barabara njia za reli ndege na vinginevyo na hivyo ndivyo vinatoa huduma kwa jamii na ajira pia, kwahiyo anayesema kwanini umejenga barabara na daraja alitaka ujenge kasino ama? Kwa uliyoyafanya miaka 5 ,hatujawahi ona wezi walizoea kutuibia kisha wanakuja kutudanganya umeingia tumejua mbivu na mbichi wanaamua kutengeneza matukio kutafura huruma za umoja wa mataifa bila kujiuliza uko wanakotafuta msaada hawana shida zao tena wakuache na watuache watanzania na Tanzania yetu
@youngstonetz7590
4 жыл бұрын
Mangu arusha
@ayoubsanga7405
4 жыл бұрын
Watto hao
@patrickherman1906
4 жыл бұрын
Sawa
@bimsaleh7076
4 жыл бұрын
Wivu tu ovyoooo
@ashampore6070
4 жыл бұрын
Achana na vibaraka hao uchaguzi ukiisha watarudi ubelgiji,sio wazalendo,wachafuzi wa siasa,wamezowea siasa za maji taka,hovyo,hawana jipya kutwa kulalama hawana zuri kila jambo kwao baya,mtaisomaaaa nambaaaaa ccm juu .
@hegatz2263
4 жыл бұрын
Habari ndugu yangu unaesoma hii comment naomba unisaidie kusubscribe account yangu kwa kugusa picha yangu Apo juu 🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏🙏 new project coming soon
@neemagewe717
4 жыл бұрын
Mimi Nampa kabisa wapinzani mtuache
@joojombi2341
4 жыл бұрын
Okay sorry nimeelewa now
@humudyjuma9096
4 жыл бұрын
Ucjar dady mi5 yako hyo
@shawnmichaels1893
4 жыл бұрын
Baba usipanik...kweli siasa hahahahaaa noma
@jescamaye2038
4 жыл бұрын
Hakuna mpinzan baba
@vicentelias491
4 жыл бұрын
Ni Arusha au mwanza
@elishakyamba8210
4 жыл бұрын
Daaaah!
@kekiplus1andonly
4 жыл бұрын
KUPAMBA KEKI BILA VIFAAA kzitem.info/news/bejne/z6imp6SbpX2EZX4
@deboradaniel7929
4 жыл бұрын
Viva Magu
@samwelmajoa4408
4 жыл бұрын
Fiesta oyeeeeee
@lawisaloyce7572
4 жыл бұрын
Wasanii wanasababisha fiester moja.
@samelychesham3309
4 жыл бұрын
Arusha mwanza
@samsonmwijage1869
4 жыл бұрын
arusha dongo, yaani kurusha dongo si Arusha mji.
@amosmoses7800
4 жыл бұрын
Kwako Mh.Magufuli Mheshimiwa mimi kula yangu utaipata iwapo tu utajibu masuali yangu haya - Kwavile wewe ni msema kweli. Na unadai unamuogopa Mungu : ___ 1. Uliahidi milioni 50 kila kijiji. Je! Ututajie kijiji Angalau kiMoja ulizowapelekea. 2. Utuambie hizo ndege. Ni nani alieizinisha ununuzi? Na zimenunuliwa kwa Kiasi gani. Na hadi muda huu zimeingiza faida Kiasi gani. Utuambie sababu za kuzuiliwa ndege zetu mala kwa Mala zikienda nje. Mbona zinaMADENI $ 133 milioni ? Utuambie wanaozipanda hizo ndege ni akina nani? 3. Utuambie Uwanja wa Chato wa kiMataifa ulijengwa kwa Kiasi gani. Nani alieizinisha . Na hela ya ujenzi imetoka wapi? Na kwanini Uwanja huo ujengwa kijijini CHATO ? 4. Utuambie zile Trilioni 1.5 mfuko wa hazina ya selikali zimepotea wapi? Au zimetumika vipi ? Na kwanini Ukamtumbua CAG Mzee Musa Asadi? 5. Mh.Laisi Utuambie kwanini vyombo vyako vya Dola vimeshindwa kuwatambua Na kuwakamata " KIKUNDI CHA WATU WASIOJULIKANA " .? kilichokuwa kinawanyonga Laia zako. Wengine kutekwa. Wengine kupigwa lisasi. Kama bado kipo inchini . Unawakikishiaje laia zako usalama wao? Ili Mo Dewji aondokwe Na hofu. 6. Utuambie wale " mafisadi wawili wa ccm " walioekeza nje ya inchi. Uliwachukulia hatua gani? Mbona hatukukuona ukifatilia miHela yao iyo kwenye Account za nje ya inchi? 7. Mh. Laisi unapoongelea COLONA. Kila kwenye kampeni zako. ivi ni Wapinzani ndio walioileta ? Na Je ! Imeondoka kwa Nguvu za mungu wa Chato au Mungu Mkuu wa mbinguni baada ya maombi yaliofanywa kanisani Na misikitini? 8.Mh Laisi ulidai uchaguzi huu utakuwa wa haki Na hulu. Mbona tayali tunaona wagombea wengi tu wa ccm Na wale wa upinzani wakienguliwa ? 9. Mh.Laisi uliahidi Utajenga mashule na MaHospitali hadi wilayani. Ni hospitali ipi iliojengwa hadi muda huu? 10. Mh.Laisi ulisema inchi yetu ni tajili sana. Mbona laia wako wanaishi maisha duni. Hela haionekani. ? Tunaowaona wakifaidika ni vigogo vya ccm / vigogo vya selikali na watu wa usalama taifa. Wanaozi kujenga majumba ya kifahali kila sehemu Bila ya wasiwasi. 11. Kwanini unawatumia wasanii kwenye kampeni zako zote.? Utuambie hiyo mikataba uliofanya na wasanii. .wanalipwa na hela za nani? 12 Mheshimiwa Laisi. Eti kama tunaitaji kuanzisha Kiwanda Tuanzie na CHELEHANI ngapi ? Suali la mwisho Muheshimiwa 13. Wanasema Ulitembea na shemegi yako. Je ! Ulizaa nae ? Au ulikuwa ukipita pita juu juu tu? KULA YANGU MHESHIMIWA NI KWAKO. UKINIJIBU VISUALI VYANGU IVO. BWANA YESU ASIFIWE ! CCM OYEEE !!!!/
@yegedegede5722
4 жыл бұрын
Yaani wajinga utawajua tuu maswali yao ya kijinga jinga
@robertelias114
4 жыл бұрын
punguza ghalama za matibabu bac Maguuu, eti kumuona daktari mpaka utoe hela kwani hawalipwi mshahara
@gilbertgallus2877
4 жыл бұрын
Haaaaaah!
@mojafaster96
4 жыл бұрын
Ni mwanza sio Arusha
@anordperestalent8113
4 жыл бұрын
Nani amesikia wananchi wakiwa wanaombwa kura wanaitwa waheshimiwa
@wangwemseti7592
4 жыл бұрын
Ayo tv unafeli wapi ninaimani na tv yako lakini leo umetukosea watazamaji wa Ayo tv habari ya mwanza unatuambia Arusha
@mutalemwagabrie9791
4 жыл бұрын
Kweli baba hata Mimi nimesikitika aisee😭😭😭 hii tv isha anza kubadilika😏😏😏😏
@swedikago6124
4 жыл бұрын
Tatizo shule tuliza akili soma vizur
@tolutolu2970
4 жыл бұрын
Burudani oyeee
@elineemamsuya8057
4 жыл бұрын
Hahaaaaa Yule mwingine alijaza
@amanipaulo8690
4 жыл бұрын
Tusisahau tarehe 28 kitunze
@charlesmwisera7175
4 жыл бұрын
Show za wanamuziki co kampeni
@linnamlay3643
4 жыл бұрын
Usiombe kura prezdaa waombee madiwani na wabunge tuu,wewe hayupo wa kukusogeza.Asokuelewa asage chupa anywe ajifie zake kuleeee
@salimnangawe6984
4 жыл бұрын
Acheni uongo magufuli hajawahi kanyaga chuga
@buthaymaahmad557
4 жыл бұрын
Chuga yetu ni chadema JPM alishasema haendi sehem Kuna miyeyusho ya gongo, 💚🇹🇿 JPM 💪 jeshiii Tanzania oyeeeee viva Maguful
@hasanainkhalid5367
4 жыл бұрын
Usimtaje yeye ukimtaja tu atakulipua
@khadijaswetu6452
3 жыл бұрын
daaa
@dr.brightbenard565
4 жыл бұрын
OK mkulu
@abdallahmuttaq7306
4 жыл бұрын
Kuna mmoja tokea afungue kampeni zake huko lindi mpka leo hajaenda mkoa mwingine
@Johnmasanja27
4 жыл бұрын
😂😂🤣🤣 huyo anagombea ubunge 😂😂🤣 tena leo tunae kwenye Dakika 45 ITV
@buthaymaahmad557
4 жыл бұрын
Membee
@dismasmmasi2657
4 жыл бұрын
Wamefwata wasanihi baba
@enockniko5834
4 жыл бұрын
Wafanyakazi wa serikali wote mnawalazimisha kuja AF wew mwongo unasema maendeleo hayana chama
@patricknyiti5303
4 жыл бұрын
Wasafi wavunja rekodi ..sio Magu
@yusufuvea5311
4 жыл бұрын
Unatombwa ww
@abdalahfarida2074
4 жыл бұрын
Maliza watu wacheze muziki. Kumbe unajua CHADEMA wako hapo.
@erickmsilu6308
4 жыл бұрын
Kila mikutano lazima wawepo wa vyama tofauti kusikiliza sera
@amankhalfan4798
4 жыл бұрын
Hivi rais hajui kuwa watu wamejaa kwaajili ya wasanii au?
@thegreatsource2953
4 жыл бұрын
Tulia weweee
@mbarikiwambarikiwa3988
4 жыл бұрын
Km unahisi kwa hyu ni wasanii Subiri tarhe 28 uone
Пікірлер: 181