Serikali ya Tanzania,inakwama sana,inasahau kwamba nchi hii INA watu wa maisha tofautitofauti,inadhani watu wote wanashibishwa na rushwa na pesa za kutapeli.Ninaamini kwa Arusha hatutakagi upumbavu,lazima kieleweke
@andrewIzdory-sk4cu
Жыл бұрын
Ccm mbele kwa mbele, Mmeipenda wenyewe.acha muisome namba mpaka mpate akili.
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Wewe tuliza mshono
@OmanJalan-g9j
Жыл бұрын
😂😂😂
@sulemanmndeme8961
Жыл бұрын
Napenda kuishairi Serikali, iteremke huku chini ijionee iache kukaa uko juu. Wananchi wanataabika kwa maslahi ya wachache. Km mkuona sawa, endeleeni kukaa uko juu....
@omaryjuma8002
Жыл бұрын
Nakubali sana watu wa chuga kama kenya 🙌🙌🙌
@jasintherjovinary6213
Жыл бұрын
Wewe kama una nafuu na maisha haya nyamaza kwani hawana haki ya kuandamana.
@OG_20
Жыл бұрын
Kuna siku kitawaka nchi nzima .....raia tumechokaaa
@anselmoonolius
Жыл бұрын
Mi nachekaga tu si mnasema mna mama 🤣🤣 Mshaambiwa mamaaenu anafuga wezi bado hamuelewe na bado hamjasemaaaa🤣🤣🤣
@auntdorah9141
Жыл бұрын
Watu wa Arusha hawaburuzwi! Wanazijua haki zao, biashara ina mambo mengi, nauli, mchana ule na ulipe 4000! utarudi nyumbani na nini? na kule familia inasubiri!! Biashara ni ngumu sana cku izi...na hata ukipata hela sio ya mfukoni, ni tayari ilishatumika. Kama ni kutumia meza basi kungekua na maelewano.
@beemali9741
Жыл бұрын
Kiukweli wakubwa wanakula kwa nguvu zetu wanyonge bila ss hawatoboi
@ngotosilasi2099
Жыл бұрын
Selekali nayo imezidi kila sehemu nishida siju niunyang'anyi
@simongwandu7392
Жыл бұрын
Mzimu wa ........unaitesa nchi
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Tumechelewa sana….sego wa Magufuli, tumechelewa sana
@LidyaAlbat
Жыл бұрын
Inabidi tuu iwe hivyoo....Tanzania usenge mwing unaendelea ..Mama samia kazi kutembeza matako kila kona ya nchi hajali chochote kuhus wanachi
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂
@GodfreyShirima-t2n
Жыл бұрын
Mimi mwenyewe nimelala sero juzi Kwa sababu leseni yangu imeisha tena imepitiliza mwezi tuu nimelala sero kama jambazi Yani
@hashimuuhehwa1320
Жыл бұрын
Hii inatakiwa iwe Nchi nzima mpaka Wananchi wawe wanasikilizwa
@Missionary_work
Жыл бұрын
ARUSHA NAOMBA KIWANJA.
@shakilamasoud2983
Жыл бұрын
Hapo saa hiyo unatakiwa kuwahi airport ndege isikuache. Unafika Tengeru barabara imefungwa. Jasho la nywele litakutoka😢😢😢
@manaseliberatus1347
Жыл бұрын
HII SIYO KUSAIDIA WANANCHI NI KUWAMYONYA DAMU KABISA, BORA HATA IWE 1000
@ashuramhandoashuramhando6798
Жыл бұрын
Hi Nchi ya hovyo sana 4000 mchezo nyo hata buku kwa siku sitoi sisi Dar Ilala tunalipia sh300 kwa siku watu wanajali Matumbo Yao tu 😏😏😏
@cheiknamouna2058
Жыл бұрын
Tukubaliane tu Arusha iwe na serekali yetu wenyewe hakuna kuzubaa dili la mtu hilo limebuma
@hadiaali5517
Жыл бұрын
Huyu dada anasema hatutaki kujiuza anaakikili na ubinaadamu mama yetu samia awasaidie hawa wamama ❤ nawapenda wanawake wanaokula jasho la halali
@christinenyagiro6662
Жыл бұрын
Kama ni kuleta meza kwa ajili ya kufanyia biashara, Kama ni kwa ajili ya wafanya biashara siyo sawa kuja kuongea na watumiaji kuwa tunataka kutengeneza meza mpya za kidumu kwa sababu ni za chuma. Pia ingewabidi kuja kujua size. Hapa kuna vitu zaidi ya bai tu 1. Size ni ndefu sana kwa wengine, wengine ni fupi kwao. 2. Bei hata hajali kuwa wengine ndiyo kipato chao kwa siku, lakini wanataka wawalipe. 3. Kuja bila wao kujua kilichokuwa kinaendelea kulazimishwa kutumia hizo meza unata au utaki utatumia au utapigwa na 4. Wakawaletea poli na bunduki na mabomu. Hivi hii Inchi tunaenda wapi? Polisi tumieni akilibjamani kuna mfanya biashara gani anayelazimishwa kufanya biashara? Mimi sielewi tunaenda wapi? Kwani siku hizi polisi ni kama kitu cha kuchezea? Nini watawala tafadhali tuna watoto wanajifunza nini kutoka kwenu.
@muhammedbakari2867
Жыл бұрын
Toweni pesa hizo watu waupige mwingi pesa hazijawatosha mtanyonywa mpaka tongo..acha ubwege kwan Hali mashaur sio serikali hiyo mipango inasukwa ikulu kama hamjui..endeleen na ujinga wenu..sasa mpka askari wamondan halafu mnasema meza zimeletwa na mtu binafsi.. toweni pesa hizo kwenye uchaguz mkawape kulaaaaaa...
@magokola2376
Жыл бұрын
watanzania wameanza kuelewa kataa kodi za kisenge hakuna kupelekwa pelekwaaa
@Brasolebasoto
Жыл бұрын
Nchi imeozaaaaa hiii r.i.p magufuliii
@kassimualli1755
Жыл бұрын
Msenge wew
@jgraciousjo8429
Жыл бұрын
@@kassimualli1755kakosa nini mpaka unamtukana hapa ni mawazo huru so toa oja yako matusi ni kiwango cha akili 😏
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@jgraciousjo8429sindio hapo sasa ukiona hivo jizi hilo ndio halipendi kusikia hata jina la magu
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
@@jgraciousjo8429 uhuru wa kusema ilikuwa hatupati. Afazali saivi TUNASEMA
@abdyissaabdi108
Жыл бұрын
Nilisema Jana Askari wa kibongo wanaota vitambi TU na kutisha watu na mabomu nchi ya kipumbavu sana hiii😅😅😅🤔🤔🤔🤔🤔🤨🇹🇿😭😭😭
@mimiraia2531
Жыл бұрын
Ni jambo la ajabu Askari kufuga tumboooooo
@Elfordobokegillo-ne4jo
Жыл бұрын
Nchi ya kipambavu???ina maana naww Ni mpumbavu kukaa ndani yake,,
@jumabeja956
Жыл бұрын
NCHI YANGU TZ KILA SIKU WAFANYA BIASHARA WANABANWA TU KAMA MASKIN HATUTAKIWA TZ BASI TUFUKUZENI TUENDE HATA RWANDA 🇷🇼 TU
@OG_20
Жыл бұрын
Tulishaambiwa twende Burundi ndugu yanguuu sisi ni ving'ang'anizi 😅😅
@BaltazarNyaky
Жыл бұрын
Alisema mtamkumbuka sana
@hilalkhalfan1452
Жыл бұрын
Hatumkumbuki kwasababu ata uhuru wa kusema tulikuwa hatuna, saiv TUNASEMA tu rahaaaaaaaaaaaa, wera weraaaaaaaaaaa mamaaa aendelee kutuachia tuseme. Magufuli alimpiga paka huku kamfungia chumbani na yeye humo humo, mama anampiga paka lakini mlango kaacha wazi 🤣, alau apate pa kuchomokeaaa🤣🤣🤣
@chiefndatu1895
Жыл бұрын
Kuna arusha na mbeya hii mikoa itaikomboa tz na ujinga flan flan ivi!!!🚴
@donaldmartin-ps2ig
Жыл бұрын
Naaam kuna Arusha kuna Mara saluti kwenu
@mrs.belindastephenmagula9858
Жыл бұрын
Chuga oyooooooooo.
@verdianabanabi2205
Жыл бұрын
Mhh hii nchi ya tanzania
@johnmushi8739
Жыл бұрын
Bado hamjasema, mpaka msemeee, badoooo mtasema, mpka msemeeee😂
@japhethcharles5791
Жыл бұрын
Safi sana ,wananchi wamekataa kwa vitendo .Chuga oyeeeeeeh😂.
@mashakambugi6730
Жыл бұрын
Kazi kwetu wataalam kuangalia upya huu tunaouita Ubunifu wa vyanzo vya mapato kwa kuangalia namna ambavyo itatuepusha na kero kama hizi.
@hillyminajtv1257
Жыл бұрын
Nimesikia magret France mfanyabiashara wa toko la tengeru😅😅😅😅
@MiriamAbdallah
Жыл бұрын
Hahahaha kiswahili Cha chuga
@Abdihassan-nl7ho
12 күн бұрын
Kazi ipo
@lailalaila8206
11 ай бұрын
Watu wa rusha nawapenda sna sio waoga kabsaa kutetea haki yako ndio vizuri wasitunyanyase hao mbwa serekari wanatupelekesha sana ssi ndio tunaripa kod wanabana kila semu makato tozo kibao ujinga mtupu meza si mtoe bule izo kod mnazochukua si zawananchi
@geeva99
Жыл бұрын
Wanaingilia biashara za watu za nini, soko likijengwa nicomplete meza tena!??
@demicratia4071
Жыл бұрын
ARUSHAAAAA
@OhongoihondeIhondeohongoihonde
Жыл бұрын
Watu wananyanyaswa we unasema wanareta vurugu izo meza zimeretwa Kwa utalatibu
@ndorobotv9161
Жыл бұрын
Hatar sana
@edmondnduwimana769
Жыл бұрын
Raise wa Tanzania angaliy vizuli wasaidizi wake kama hawafanyi vizuli awatoe maana wanamuharibia mbona kipindi Cha magu havikuwepo kwa sababu kama hufanyi vizuli saa hiyo huna kazi
@lugelosanga5798
Жыл бұрын
Mama enu Samia mtajiju nae endeleeen kua konndoooo
@elardmassawe5513
Жыл бұрын
wameyatimba waje kujiajiri wajue awajui
@joycekweka5416
Жыл бұрын
Alikuwa anapita anaenda kwenye kikao 😂😂 😂
@kakorejrboyz6447
Жыл бұрын
KILA MTU AFANYE KAZI YAKE
@fadhilimoshi5754
Жыл бұрын
Ila watanzania acheni tabia za kujikomba kila kitu mama samia hakuna wakuu wa mikoa wa wilaya kata na kadhalika? Jifunzeni kutumia ngazi hz co kila kitu Samia
@dismasmtui729
Жыл бұрын
Haya ni mapungufu yanayosabibishwa na mfumo kutokana na katiba mbovu. Haiwezekani kila kitu raisi akatatua yeye kwa sababu wako watendaji wa chini wanaotakiwa kutatua mambo kabla hayajaleta malalamiko.
@jakobongwara3038
Жыл бұрын
Viongozi Hawa kweli wananjaaaoo
@JohnMwankina-sb6zb
Жыл бұрын
Maisha haya tumeyachagua wenyewe ccm mbele kwa mbele
@saidomary6414
Жыл бұрын
😮😮😮😮
@joycekweka5416
Жыл бұрын
Biashara yenyewe ni mtumba (reject) mpk uuze uone hiyo pesa ya kulipia huo ushuru inatoka wapi? Tandikeni chini.
@isaacmollel345
Жыл бұрын
Serikali ndy hao.dawa kuiondowa.ccm madarakan
@SADICKITHOMAS
Жыл бұрын
Tz michosho sana
@mussaelisha3733
Жыл бұрын
Kila sehemu Ni kilio heee
@ahmedkagambo4964
Жыл бұрын
Nivyema ukafanyiwa utafiti kila mtu akawa na eneo lake akapewa na kulitunza mwenyewe ushuru ukawa ni wa usafi tu
@alphoncekagezi4950
Жыл бұрын
Mkurugenzi wa harmashauri anapaswa kujitathimini. Mteuzi wake pia anapaswa kufahamu sio kila anaemteua ni mwenye maadili na utii kwa aliemteua . Wateuliwa wengine wana chuki na anaefanya uteuzi.
@elizabethswai7777
Жыл бұрын
Hakika Tumechoka hasa watu wa chini⛏️⚒️wacha viumane,Umeme ,maji pesa ni 😎Mama nchi ishakushinda,wakubwa wanakula bata na mapesa lukuki,Siye ndio hivyo 😭😭
@Grace-l9l8y
Жыл бұрын
Serekali mbn mnakuwa hvy
@samirymwita7162
Жыл бұрын
Jaman Kuna waziri mkuu Kuna naibu waziri mkuu Kuna waziri Kuna mkuu was mkoa Kuna katibu tawala mkoa, mkuu wa wiwalaya, Kuna katibu wa wilaya, mkurugenz afsa mtendaji mwenyekiti wa mtaa hao wote siwanamsaidia rais? Jmn mbn hii nchi Kila kitu raisi hao wanachukua mshahara Kwa kazi gani?
@colletatesha5265
Жыл бұрын
Hao waliopeleka meza ndio kweli wanachafua serikali
@bensonjohnsony8124
Жыл бұрын
Serikali inajua kuwapnga wanyonge
@rashdiyange7758
Жыл бұрын
Ila kwann polisi wana iogopa arusha jamani haaaaaa
@MiriamAbdallah
Жыл бұрын
Chuga Haina mbambamba
@samuelmakara
Жыл бұрын
Polisi wameanza kupoteza ladha
@happinessmosala2217
Жыл бұрын
Arusha Arusha😅
@melanialeonard4031
Жыл бұрын
Na bado mtasema tu
@knight6757
Жыл бұрын
👀
@cleophacephelician6739
Жыл бұрын
SASA KAMA 4,000/- NI KODI YA MEZA MOJA MBONA PESA NYINGI HIYO KWA SIKU MOJA? MEZA HIZO NAONA NI ZA CHUMA NA ZA KUDUMU HATA MTU AKILIPA 1,000/- KWA SIKU SAWA TU.
@abednego3876
Жыл бұрын
😅 bongo bwana useng kila mahali.
@directorimmah_vfx3043
Жыл бұрын
Sema Tz nzima Moshi ndo mkoa wakiume yaaan wao wakiamua wameamua yaan
@charlesphilipo3533
Жыл бұрын
Wewe unapajua Tengeru??,,au wilaya ya Arumeru iko mkoa Gani??
@yustinrockboy4091
Жыл бұрын
Walahi tena
@rutakihama3523
Жыл бұрын
Moshi sio mkoa ni Wilaya 😅😅
@bcozhenry2698
Жыл бұрын
Hata hivyo Moshi sio mkoa😂😂😂 na hapo ni mkoa wa Arusha
@happysarakikya3629
Жыл бұрын
Moshi na Arusha ni vitu viwili tofaut,
@SiyonRafaelMbise-pz1ew
Жыл бұрын
Bei chipu
@yohanekopilato-wn3lo
Жыл бұрын
Arusha ni Nchi nyingine matukio hayaishi, mara bodaboda, daladala, bajaji shida ni Uongozi amaa!!!
@josephmturi6936
Жыл бұрын
Bado hamjasema hadi msemee
@karolikisaka8991
Жыл бұрын
Waache kulalamika.dawa ni kujiondoa ccm na pia katiba mpya,ccm ni cancer
@wizlonoug
Жыл бұрын
Wanjeraa nakuona nawewe umeletewa meza
@rogerabdallah439
Жыл бұрын
Mama yako nani wewe we andamana tu kama Mama yako ungeishi vizuri wali usingepambana
@jgraciousjo8429
Жыл бұрын
Kwakweli inasikutisha ukisoma comments unagundua watanzania wengi tuko nyuma kifikira na kielimu wengi tuna comment kwa mihemuko na kuto fikiria...hapa watu wanapaza sauti zao kwa but mtu anaongea ujinga pasipo ata kufikiri😏
@HAWAJUMA-vh5vr
Жыл бұрын
Ila huyo Chali bhn et mabomu na mabasitolaa😅😅
@chademaelfhasmolell
Жыл бұрын
Acha inyeeshe tuone panapo vuja kataeni CCM na mambo take yote
@chusseboywcb2808
Жыл бұрын
Arusha mnamadini sanaa nawakubali vichwavyenu vinamadini🙏🙏🙏🙏🙏
@samwelmapunda1532
Жыл бұрын
Serikali iongeze jitahid kuchoma mashamba ya bangi.
@geraldlyimo2859
Жыл бұрын
Ngojeni amri kutoka juu mtakiona cha moto?
@charlesmwambinga4355
Жыл бұрын
Chugastan...
@PatrickLembeli-d5z
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂 eee hatutak
@ashuramhandoashuramhando6798
Жыл бұрын
Huyu mwenyekiti ni Mrangi huyu nimeona akili nyingi
@husseinmkanga7794
Жыл бұрын
Mpumbavu tu anajuaje kama samia hajuwi kinachoendelea .
@EnickoAlfredy-di7oe
Жыл бұрын
Hii ni chuga
@karimkassam571
Жыл бұрын
Hivi kwa nini wasipigwe
@vincentcharles4385
Жыл бұрын
Hivi nyie mashoga mliozaliwa na baba hanisi na mama kahaba huwa mna akili kabla ya kuongea,au akili au mikundu inakuwa inawawasha
@nduwimanaelias
Жыл бұрын
HIVI HIYO ELF 4000 UNAITOA KILA SIKU AU MARA MOJA TU??
@thomasjohn2554
Жыл бұрын
Kila sik
@allyflavour8005
Жыл бұрын
Wananchi wapeww elimu kabla ya kufanya haya itasaidia
@joelykibona662
Жыл бұрын
Hata watoe elimu bro kitu hatutaki ni tozo kuwa nyingi nakubwa maisha magumu afu mtu unamtoza unavyo jisikia
@StephanoCharles-nq8tf
Жыл бұрын
Arusha, mbeya,mwanza...huwa hwapendi hujinga huu kbisa
@Mzena4343
Жыл бұрын
Mi nilijua wameandamana kupinga mgao wa umeme kumbe meza kweli bangi mbaya😢
@highvoltages4169
Жыл бұрын
Bangi ipo kwako,
@f.a6043
Жыл бұрын
Kero ya umeme ni sehemu ya kero nyingi zilizopo bangi ni hio yakwako inayojua kero moja tu ya umeme kumbe ziko kero nyingi sana tafakari
@lucianagodson437
Жыл бұрын
We mpumbavu wa akili kweli, hapo n bangi gan??
@MejjatScott-mf2vi
Жыл бұрын
Amosi8:8
@twaibumikidadi7377
Жыл бұрын
Mama watu wako wanakuoiga vitaa kuwa makini sana na biongoz wako
@hamadsheni8997
Жыл бұрын
Mnataka kuweka vitu chini?kuna wakati mleta jeuri.mkiachwa unasumbua.
@ruthsawida8507
Жыл бұрын
Duuu hii nchii yesu rud uchukie walio wako maana watu wenyewe vipato vidogo tunatweswa sana
@emanuelleopod3949
Жыл бұрын
Naona sasa Mmama wa watu mnataka kumharibia aisee dah, Bi Mkubwa anajengewa chuki kumbe watu wake wa huku chini ndo wanawaza kwa kutumia mapumbu
@JamesMassay-Sulumo
Жыл бұрын
Terrible
@hamzakimaro3764
Жыл бұрын
HALMASHSURI IMEFANYA KAZI NZURI,KUPANGA BIDHAA ZA CHAKULA CHINI KWENYE UDONGO KUNAHATARISHA AFYA YA MLAJI
@godlistenJohn
Жыл бұрын
Tatizo siyo meza tatizo kiasi Cha pesa kinachotozwa
@m2pc
Жыл бұрын
Miaka yote wazee wetu wamekua afya zao zilikuaje kwani kama wamefanya kwajir ya afya waeke Bure Sasa SI serikar
@felcRaphael
Жыл бұрын
Huyu hamza kama haumfaham ni chwawa la CCM kuweninaye makino
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
Pigeni mabomu hao wapuuzi
@vincentcharles4385
Жыл бұрын
Kuma la mamaako msenge mmoja unaepakatwa na babako huku mamaako anashangilia pembeni,shoga mmoja wewe,mkundu unakuwasha ee
@salumjumaruhaga2513
Жыл бұрын
@@vincentcharles4385 we sijui kama hauna kunde kwa jinsi navyo kuona kunde unayo
@wazirikilasa5395
Жыл бұрын
Msenge mkumbwa ww
@bakariamour1024
Жыл бұрын
Sio hawaburuzwi wamempata mtu sahihi mpoie ila siku zao zinahisabika ,iko siku watapaza sauti kumsifia Rais Samia wakati uo ameshastafu sasa ndio tutaona kama watarukaruka kama ivi barabarani ,mbona tupo kama tuhai nyinyi subirini mbona
Пікірлер: 146