#topnews #samia Moja ya mambo makubwa ambayo yamewafurahisha wanasimba na watanzania kwa ujumla jana katika siku ya kilele cha simba day ni kauli ya Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania daktari samia suluhu hasani kuhusu ujenzi wa Viwanja viwili vipya na vikubwa vya mpira hapa nchini,
tumekuandalia viwanja vikubwa 20 vya michezo Afrika n Moo bin yusuph
#stadium #mwanza #daresalam #simbaday #sports
Негізгі бет Ойын-сауық RAIS SAMIA KUJENGA VIWANJA 2 VYAKISASA VYA MICHEZO, Hivi hapa viwanja 20 vikubwa vya Afrika
Пікірлер: 6