Nyinyi Huwa mnatuletea picha za watu lakin hamsajili wachezaji mnatuumiza mashabiki
@WejaBoy-uu2qm
14 күн бұрын
sy mtandao ni kwel kabsa
@mgenifilm
26 күн бұрын
Noma Mzee
@HuseniYasinimbeho
2 күн бұрын
Sajilin ata wachezaji 100 maana mnatuumoza sana izo swaga zenu
@DottoMketto
3 күн бұрын
Sana mugunda anaweja😊
@EveryTobias
8 күн бұрын
Juma mgunda aendelee kuifundisha simba Yuko vizuri
@halimalachpat1927
26 күн бұрын
Mmeshindwa kuhusu Feisal?
@ThomasMatiko
16 күн бұрын
simba nitimu kubwa.viongonzi wasimba munakula mbaka penati kweri mungu anawaona.
@DottoMketto
3 күн бұрын
Hatari san
@MarryRichadi
24 күн бұрын
Mkisajili kwel Simba itakuw noma
@ShabanIddy-wh3mp
23 күн бұрын
Mpaka tuwaone wote wanatajwa. So maneno ti
@user-ff1it9og8y
25 күн бұрын
Siyo kweri kwa uongozi tu uliopo huo ni danganya toto wao wameiuwa team ya simba Mangungu Try again Imani kajula na huyo mwana mke wameiloga wenyewe Simba acheni kutudanganyia picha tu kizama kisha wanaishia kusajiri wachezaji wazee wenzao hawana busala viongozi hao kwanza ni wakariiiii utazani waongoza famly zao watoke tu
@NorbatMabulah-lc4qq
24 күн бұрын
❤❤
@DominicoBraisoni
24 күн бұрын
Dominic braison simba ifanye usajili mkubwa
@PaulNgalya-sr9eo
15 күн бұрын
Tàbia zenu hizo za kurusha taarifa za uongo mitandaoni hamjui watu tumevurugwa ni upumbavu tu, ngoja tusubiri kama ni kweli!
@DottoMketto
3 күн бұрын
Sana mugunda anaweja
@ClementMChenya
3 күн бұрын
6:25 6:27
@user-jm8qz7yp6r
26 күн бұрын
Hawana ukweli viongozi wa simba
@aminaomary5567
24 күн бұрын
Na uongozi mzima utoke wachaguliwe wengine ndipo simba itafanya vixuri.
@raphaelkomba364
26 күн бұрын
Olewao tuwaone wengine hatutashabikia
@mustafamohamed-y1i
4 күн бұрын
Nikweli au mnatudanganya 2
@renardabel
23 күн бұрын
Mnatidanganya kwa manwno na picha za wachezaji wenyekiwango pia mnasajil wachezaj ambao hawana sifa kulingana na tim wanayo sajiliwa. Kama hamnambinu tafuten watu wanaojua mambo ya usajil siyo kututia aibu Kila msimu tumechoka kuzomewa jaman
@ZachariaMashauri
6 күн бұрын
Ukweli nd iv
@williamspatricky
23 күн бұрын
Kwann mteseke jaman kilibuni jangwani nafas bad ipo
@JumaKatwanga-jq4gh
16 күн бұрын
Jamani acheni kutudanganya mitandaoni mnasajiri mitandaoni sio ndani ya club
@JosephineMushi-yq6us
4 күн бұрын
Fikirieni Mara mbili kumuacha chama clatous
@RashidiKibiriti-or1yi
14 күн бұрын
Mshaanza uwongo wenu daah wabongo hatari
@ZachariaMashauri
6 күн бұрын
Vp n wachezaj wangap ad sas walio sajiliwa
@user-yz6ds9hn9l
21 күн бұрын
Kama wataendelea kuwepo hao viongozi basi MO anawakumbia hao viongozi wapigwe risasi wafe
@IbrahSeleman
24 күн бұрын
Hv mnajua sisi Mashabiki ni nan gan tunaumia kuhusu Team yetu?? Halafu kila siku mnatudanganya tuu
@SaidMuhamed-pe9kv
14 күн бұрын
Wanatukera sana hao viongozi wa simba
@EmmanuelFesto-yy9kl
24 күн бұрын
Da kbxa bro
@muyongahassan2188
22 күн бұрын
Niuongo kwauongo hamna wapili wenu jamani tunawajuw tumewazoea maneno mengi sana bira.vitendo
@user-pt4qj4qh3r
25 күн бұрын
Ntaanz kushabikia had nimuone mayele na manzoki uwanjan
@JOHNKAZUNGU-uq7ts
25 күн бұрын
Sajilin tu maan hatujakubali
@Edwardskivuyo
25 күн бұрын
Tetezi ya manzoki viongozi mliwekaga wapi?
@GodfreyYuza
21 күн бұрын
Haina noma Simba ifanye yake Simba day hat wao viongoz wanaumia San na Hali hy
@Rukaiya-lt3hm
24 күн бұрын
Siamini hadi niwaone kwenye simba day
@Girbertrubeni
14 күн бұрын
Magungu aondoke anaiua club ya simba spot club
@MaridoamudetuloleMafuzoamudetu
16 күн бұрын
Akuna lolite apo
@HagaiMoses
25 күн бұрын
Safi sana
@johntendwa7856
25 күн бұрын
makusu mundele hawezi kitu ni Ikpe mpya.
@halimalachpat1927
25 күн бұрын
Huyu Feisal mmemshindwa?kila mara uongo
@KaisiBruber
22 күн бұрын
acheni kuongopea jamii
@KaisiBruber
22 күн бұрын
kama ni kweli bas poa
@Jrmontaiza
16 күн бұрын
Simba ni kubwa sana MTAELEWA UKUBWA WAKE ☑️
@WejaBoy-uu2qm
14 күн бұрын
kwel
@WejaBoy-uu2qm
14 күн бұрын
kwel
@AgnesMichael-kw1ry
21 күн бұрын
Kwakeli kama watatoka vidudu mtu kama mangungu na kinamatola Kwa kwel Simba watatisha
@VenanceNtakabile
21 күн бұрын
Ni kweli swala la manzoki ni bla bla tu
@husseinmpuruti1372
25 күн бұрын
Wazee tena viongozi watoke tu hawana jambo miaak 3 hola mo nae aondoke ubahili sana aje mwekezaji mtu wa mpira siyo huyo mhindi mbonawahindi wantak kufanya simba kama yao?
@BahatidawaChendela
21 күн бұрын
Sonaa 2:11
@ClementMChenya
3 күн бұрын
Nimaneno2 paka tuone
@SilvanoOmbay
22 күн бұрын
So kweli uongo mtupu ibomoeni kabisa mwakan nafac ya 8
@salehemlawa
24 күн бұрын
Acheni Uwongo Amna Viongozi hapo
@anithawidambe7543
26 күн бұрын
NYIE HUO NI UONGO TUU. HUWA MNAWSHUSISHA WACHEZAJI BORA KISHA MNAWAACHIA WANACHUKULIWA. MNGEKUWA MNAWAHUSISHA NA MNAWACHUKUA SIMBA INGEKUWA MBALI SANA SIMBA NI POROJO TUU
@OuseineAhmed
25 күн бұрын
Huoniuongo mpakatuone MM peter gatu du
@user-de9yj6nn3b
26 күн бұрын
Unauhakika na maneno unayoyasema????????
@NelsonFabiani
25 күн бұрын
mwalim wajabu ebsoni yatano 2:19 2:19
@khalidfundi2600
26 күн бұрын
Angalia wachezaji wengine makusu ameisha kiwango tuleteeni salif diarrasouba wa asec ni bonge la kiungo
@yasini6027
19 күн бұрын
Haswa ndio kusudi lakucheza ligiya mabingwa duniani
@user-ul9cn8mt3s
22 күн бұрын
Ninyi viongozi wa Simba dhambi mnayotufanyia ss mashabiki wa Simba ya kutusajiria machezaji mandunducha dhambi hi haitawaacha itawatafuna Hadi makaburini kwenu
@timothyramadhani2786
26 күн бұрын
Uongo mtupu midia mnatudangaya
@dicksonngasapa7007
19 күн бұрын
Kwani mnataka kucheza kombe la Dunia? Au mnamtafuta yanga ,sio kwa usajoli huo dah
@khalidfundi2600
26 күн бұрын
Una uhakika na u
@SwalehekomboKombo
25 күн бұрын
Ndio
@BahatidawaChendela
21 күн бұрын
Sili
@LukaIsumaily
21 күн бұрын
Tusubiri tutakapo mwona ndipo tutaamini
@DaudiOnesha
26 күн бұрын
msituongopee
@user-ul9cn8mt3s
22 күн бұрын
Waongo wakubwa ninyi
@ernoldmligo110
25 күн бұрын
Hakuna lo lote. Uongo uliokomaa.
@rahimumushi8736
25 күн бұрын
Hamna kitu hapo uongo mtupu
@SophiaJapheth
25 күн бұрын
Simba tupen laha wanasimba
@Issa-vd8xo
26 күн бұрын
Mh ngoja tuone
@meshackmoses96
21 күн бұрын
Tetes za manzoki ni propaganda msitudanganye ss siyo watoto wadogo
@ClementMChenya
3 күн бұрын
Fei toto kwel atakuj
@NelsonFabiani
25 күн бұрын
mwalimu wa jabu ebsoni yatqno
@PatrickMangula-jp9ey
4 күн бұрын
Hakuna lolote niujingatu
@SalumKigoda-br5sg
26 күн бұрын
Old
@faustinemakoye8565
25 күн бұрын
Huo uongo
@SwalehekomboKombo
25 күн бұрын
Poa
@michaelkomba5020
26 күн бұрын
We muongo mayele aliwatembelea Simba misri na sio Morocco
@SwalehekomboKombo
25 күн бұрын
Nani kasema
@cyprianboniphace-oz5lw
18 күн бұрын
Hii mitandao sio ya kuamini huyu anasema hivi yule anasema vile,tusubiri dirisha lifunguliwe.
@halimalachpat1927
26 күн бұрын
Mmeshindwa kuhusu Feisal?
@SilvanoOmbay
22 күн бұрын
So kweli uongo mtupu ibomoeni kabisa mwakan nafac ya 8
Пікірлер: 87