Penda sana mkuu wa mkoa❤❤Mungu akuepushe na kila mbaya ❤🙏🙏🙏
@bsmonline8482
Жыл бұрын
Hiki Kichwa kamaa Kamaa Kinafaa kuwa kamaaa wa nchi hivi. Tukaenda fresh kama nchi au nyie mnaonaje wenzangu
@ananiachelesi1486
Жыл бұрын
Yaani ingewezekana ingependeza
@zephaniamwangu9857
Жыл бұрын
Aisee nakupenda sana mkuu wa Mkoa unasimama sana kwa wanyonge, hongera sana sana huu ni Mkoa wako mkuu zidi kuutengeneza baba!!!!
@user-vr2ne3lq5u
Жыл бұрын
Tutapata wapi kama wewe, unatuondolea jonzi la aliyetuondoka, hongera,Mungu Akujalie Neema tele.
@FadhiliMgalla-ds9fx
Жыл бұрын
Mama kweli umetuletea mkuu wamukowa anaye ifaa dar Safi Sana mkuu
@AbuuLubawa-lh5gg
Жыл бұрын
Chalamila Nakupa kula ya Good💯✍️👍👍👍✍️✍️✍️✅
@ahmedronga7583
Жыл бұрын
Jamaa kama jamaaa
@stevenkyando7364
Жыл бұрын
Safi Sana Chalamila naona unafuata nyayo za Magufuli piga kazi baba tetea wanyonge
@geraldmakalala6091
Жыл бұрын
Huyu tangu zamani nampenda sana
@eddopaul18
Жыл бұрын
Kiongozi na nusu🔥🔥
@daudimchileg307
Жыл бұрын
Hawa ndiyo watu wakupewa nchi. Siyo kazi iendelee afu hatuoni.
@henrykombe7335
Жыл бұрын
Huyu ndio RC sasa
@jonasngolyama8618
Жыл бұрын
🔥🔥🔥👏
@selemansombe4177
Жыл бұрын
Safi sana
@user-bx3ko9ft5t
Жыл бұрын
Kichwani ziro
@saidseif4753
Жыл бұрын
Chalamila,, busara tupu,,,
@davidsika5292
Жыл бұрын
Mkuu wa mkoa una akili za kipekee
@ernestboniface1849
Жыл бұрын
🔥🔥🔥🔥🔥🔥
@daudichoghoghwe5035
Жыл бұрын
Hapa ni kazi ya lisu ndioilio watoa mafichoni wezihawa
@annandunguru2678
Жыл бұрын
Mkuu angalia na Hawa DAWASA utendaji wao hauridhishi kabisa hasa wilaya ya Temeke, Tandika wanakata maji na hakuna maelezo Wala taarifa
@abdirizakibrahim1975
Жыл бұрын
Akija karikooo usiku mtaa wa skuskuu kuba baa inaitwa P one kelele za mziki kuwa juu zimerudi palepale na hata kupelekea hoteli palace kufungwa kwa ajili ya sauti kupita kiasi na kuwakera wageni
@supa7077
Жыл бұрын
Jamaa ana siasa anaiwexa siasa
@DoreenShuma-tj4rp
Жыл бұрын
saf
@TimotheoMsafiri-ig5wz
Жыл бұрын
Mbopo mojAa iyooo
@jamilahjamilah4157
Жыл бұрын
Mheshimiwa nanda majohe kichangani kunawananchi wanatesaka sana watu wameuziwa eneo wamekaa zaidi ya miaka kumi na minne leo wanawafukuza kama ubwa tena baada ya kufa diwani wakata ya majohe ambaye yy alikuwa anajua ukweli wa eneo hilile
@Hfarahani52
Жыл бұрын
Mkuu wa Mkoa Commender Chalamira kama haya yote unayoyasema uta yatimiza bc ww utakuwa True Mzalendo Kwa Jitihada Zako Unazozifanya na Ukizitimiza Bc Dar itakuwa Dubai ya Pili.
@lowasakitwiyan7758
Жыл бұрын
Jamani watanzania tutapigwa mpaka lini😭😭😭😭
@eliasjohn116
Жыл бұрын
nikimuona chalamila namuona Magufuri.
@zephaniamwangu9857
Жыл бұрын
Kabisa kaka hata mimi namuona hivyo hivyo kaka!!!
@bsmonline8482
Жыл бұрын
Hii kichwa Ficm kama vipi 25 si mseme tuu alipo Chala na sisi tupo😅😅😅 kama kawaida yetu
@supa7077
Жыл бұрын
Unamjua huyu au Unamsikia? 😂
@amirlehao8945
Жыл бұрын
Shida huyu kigeugeu saana
@ananiachelesi1486
Жыл бұрын
Kigeugeu
@thomasgabriel588
Жыл бұрын
Mwamba rudi mbeya
@walterkisaro-9168
Жыл бұрын
Bandari vp simamia ukweli
@furahamandai6628
Жыл бұрын
Kaka upewe uwaziri tuu wanasheria kinondoni shida sina
@hamishatibu1007
Жыл бұрын
watu kama hawa huwa hawadumu
@sallkazi9319
Жыл бұрын
Sijamuelewa kabisa ,inawezekana nitakachokiongea kisiwafurahishe ! Wananchi oyee
Пікірлер: 46