Kwa kweli mungu akutie nguvu mh Makonda unatatua matatizo ya wanyonge!
@user-mr8vl9cy8i
6 күн бұрын
Mungu akubariki sana kiongozi wetu shujaa wetu. Kaza buti songa mbele
@jalinachilala8465
6 күн бұрын
Shikamooo kaka makonda ❤❤❤❤kazi njema
@StellaMwasha
5 күн бұрын
Ubarikiwe mnoooo mtumishi wa haki
@user-fp9ei8gg8s
6 күн бұрын
Muheshimiwa makonda Nakuaminia ww nizaid ya kazikaz Ww ilitakiwa uwe rais wa tz tunakutaka sana watanzania Ujekua kiongoziwetu wa taifa❤
@user-zi1gp6dc2q
6 күн бұрын
Mie nawambia uyo makonda ni mtume katumwa namungu tunakuomba mama samia makonda uyu umlete kila mkoa akae miez sitasita ili anyooshe Dunia mama
@chusseboywcb2808
5 күн бұрын
Mwandishi niboya Askal anae chuana na makonda yukwapi chanel zinashindwa kukua sababu ya uongo boya mwandishi
@Tanzaniabongo111
5 күн бұрын
Hivi ndivyo viongozi wanavyo pasawa kuwajibika kwa wananchi wake mungu amuongoze ktk kazi zake
@valenakomba7686
6 күн бұрын
SASA HUYO MENEJA WA BANK NAYE, . WATANZANIA YAANI UNAFHULUMU MPAKA MZEE? . MUNGU AWALAANI KWA KWELI.
@user-bz5ti6op6z
6 күн бұрын
Makonda MUNGU azidi kukulinda,
@MsafiriMsafiri-dm9pb
4 күн бұрын
Poul mungu ampe nguvu mamlaka zaidi na muda zaidi uyu bro mana hua hatuduma watu kama sisi
@user-nt3tx6cq8i
4 күн бұрын
Kila kiongozi awajibike, hongera mhe.Makonda Mungu akutunze.
@juliusjoseph6320
10 минут бұрын
Yani wananchi wanashida Sana ..😢😢.Mungu ayupo
@paulmaganga9700
6 күн бұрын
Jembe Makonda
@MauBonde
6 күн бұрын
Huyu jamaa tunafanana misimamo kuhusu utamaduni wa mwafrika ila kuna kuna busara na uchunguzi kwa sababu hatuko utawala wa Nyerere,kila kitu kiko wazi kupitia technology uongozi ni wito,mimi nashangaa viongozi wengi wa taifa wanakimbilia fedha ,kuna kifo,namkubali huyu jamaa kupinga ushoga afrika ila mambo mengine anahitaji mafunzo ya kiutawala zaidi......
@user-mr8vl9cy8i
6 күн бұрын
Una wachapakazi wawili slaa na makonda tu wengine ni vichomi tu
@user-mr8vl9cy8i
6 күн бұрын
Mama samia fukuza wakuu wote wa mikioa hawana jipya
@AbdalahAlly-pw4dt
6 күн бұрын
Hongeramkuu nakuwaminikwaziyako
@femidayahaya9293
5 күн бұрын
Hv mama samia uliwaza nini kuturudishia bro makonda..ukwel kabisa kupitia makonda umepata kupendwa hata ww mwenyewe ukituletea watu wenye hofu ya mungu hata taifa unaloliongoza litampendeza MUNGU kwakwel japo misukosuko ni mingi ila tutacmama tu imara
@aboudasilver6541
6 күн бұрын
Huyo ni zaidi ya makufuli
@maliyusiosika9457
5 күн бұрын
Uko vzr
@ShiningLightChurchTz
4 күн бұрын
Tanzania tunatakiwa kuwa na viongozi kama hawa,sio wanasiasa
@ausog3696
3 күн бұрын
AFI sana
@bogate156
2 күн бұрын
CONTENTS ZA VIDEO HAZINA UHUSIANO NA MICHWA CHA HABARI...HUU UJINGA WA KUTUMIA TAASIS NYETI ZA ULINZI WA NCHI KWA AJILI YA KUUZA HABARI INAPASWA KUKANYWA...KUKEMEWA....
@JackobKyaro-zi7uj
2 күн бұрын
Ikitokea unaulizwa swali taja wakuu wa mikoa ya Tanzania ,watu wataishia kutaja huyu mwamba MAKONDA tu kwa kujituma kwa kaz nzur au vipi?
@fardoshnassor7847
6 күн бұрын
💔
@user-pz1qn7re3b
5 күн бұрын
Mimi naomba ugombee Urais mwaka 2025 tumekufatilia sana mitandaoni upo vzr tupo nyuma yako makonda
@user-xk7vy4gb6g
6 күн бұрын
Makonda jembe jeshi
@VeronicaMsenga
5 күн бұрын
Lazma nikaonane na MH Makonda walah
@zachariaobama8616
4 күн бұрын
Huyu mwambq akigombea urais atapitq moja kwq moja
@nsiamasawe4578
6 күн бұрын
Bank haizulumu mtu. Tabia za wateja kupeana namba za siri wanaibiana wenyewe.
@GreysonMheni-ln9rm
6 күн бұрын
Kwahyo hizo walizorudisha wao benki ndo walipewa namba za Siri au unamaanisha nn
@sarahpallangyo4076
6 күн бұрын
Na alikua muajiriwa
@user-oy9wr2zc6x
5 күн бұрын
Sasa kama wanapeana namba za Siri, hizo walizorudisha zimetoka wapi?na alivyosikia yupo kwa makonda amempigia simu asiongee kwa nini? Kama watu wanaibiana wenyewe?
Пікірлер: 41