Jaman biahalamlo yetu inazalaulika kwel daa et yanafaa kwenye halimashauli za zaman duh kama umesikia hiyo gonga like
@michaelassam5789
5 жыл бұрын
Mzee kwa kuvunja matofali huyu. Hajambo 😂😂😂😂
@fadhiliswidhun9779
5 жыл бұрын
Rc kama mwanri safi kabsaa mtendaji boraa
@nyamwizajoseph6241
4 жыл бұрын
safisana mkuu ajira za watu kuja na memo matokeo take mambo hayaendi. wafundishe mkuu
@dutchsafari7562
5 жыл бұрын
Ohooooo !!!wazee wa workmenship nimechelewa leo ila sio kesi role model wangu Kanikosha na hzo punchlines hapo chini ◇◇◇ Mwanri:Utakwenda kusugua na msasa Sijui utaupata canada sijuiutaupata wapi msaada nikikukuta unatindua wakati ukuta umeshapigwa rangi umeshapigwa plasta kazi hunaaaaa.... Aseee nitakata mikono ya watu hapa bila mpangilio halafu itakua kesi nyingine hapa
@emmanuelmushi312
5 жыл бұрын
Soma iyooo
@peterkailembo4101
5 жыл бұрын
Piga kazi mzee, time ya Watanzania kuwa Proffessionals, we kwenye ramani mahesabu tofauti na hali halisi
@annamwendo5577
5 жыл бұрын
jaman tubadilike maisha ya mteremko kwa sasa hakuna
@jumawisi3694
5 жыл бұрын
Mkuu wa mkoa ,I appreciate utendaji wako wananchi wa wilaya mfano nzega na igunga kwa mkoani hapo wanashida juu ya bei ya pamba, pamoja na hayo yote unayodhamana kubwa kama kiongozi waweza shughurika na hilo pia,otherwise kaz njema mkuu
@mkalimussa1846
5 жыл бұрын
kama watapatikan viongoz kam haw 5 tu hapa Tanzania bas tutaendelea mar moj
@saleheinnocent7636
5 жыл бұрын
Pesa yote imetumika hakuna iliyozid wala iliyopungua hapa!! imetosha nge...ngee Alaaa😂
@chrismutisya
5 жыл бұрын
Shida ya Afrika ni utepetevu katika kazi. Ndio maana nchi zetu zitabaki kuwa zinazoendelea. Ukipewa kazi, jamani wajibika kwa ajili ya maendeleo ya nchi yako.
@isackdaniel5790
5 жыл бұрын
President to be, Utapita kwa kishindoo!
@barakamweta9958
4 жыл бұрын
Washalamba tayari hela hawo. Kazi IPo
@abednego3876
5 жыл бұрын
Daaaadeki rc piga finga hao
@moemussa5212
4 жыл бұрын
TUNDURUUUU
@robinsonmaleo37
5 жыл бұрын
Mainjinia wa igunga watapata tabu sana.
@slaustv6129
5 жыл бұрын
Yan zote nge nge !!!!!!!ah
@depaypaniikimaro491
5 жыл бұрын
Hahahahahahahaaaaa... Injinia wa mkoa 🔥🔥🔥
@ramagwama2246
4 жыл бұрын
Watanzania mko na viongoz wanaojua majukum yao .Pia ni mfano wa kuigwa kwa wenye wako madarkan uyu RC uko juu c utani. Babaz 4rm Kenya
@wcbkatuni
5 жыл бұрын
Kalibia video ya mia ana vunja matofali jumla ni mia mbili kasha vunja
Jamani ubaba mweshimiwa ni hatari kweli wizi wizi umezidi wafanye kazi
@haibasalehe3568
5 жыл бұрын
Msasa sijui utaupata canada hahahaaaaaa
@EgdiusyRespciusy
28 күн бұрын
Soma iyoooooooo
@mejaopang2384
5 жыл бұрын
Natabiri ipo cku hki chuma kitakuwa mkuu wa mkoa wa dar es salaam ndo anaefaa kuwa ple afu wa ple peleka tabora,mwanrii ww ni kiongozi bn utaki kiki,kiki zinakufta ww xio kama wengne
@sangjr8219
5 жыл бұрын
Hatutaki Makonda sisi Wana Tabora tunamtaka Mwanri aendelee
@mejaopang2384
5 жыл бұрын
@@sangjr8219 bc aje kwetu moro
@mrgardendesignerluta4667
4 жыл бұрын
Mzee unaharibu matofali
@hisanmwakijungu10
4 жыл бұрын
Injinia somaaa
@almasimeshaki9591
4 жыл бұрын
Huyu mzee ana machari sana hadanganyiki isee
@abdulrahimliverpool3383
5 жыл бұрын
Soma iyooo dah lazima utetemeke
@emmanuelpolisi1343
5 жыл бұрын
Manjinia uchwara matumbo moto
@alexjeremia7686
5 жыл бұрын
Piga kaz mzee Mwanri wanyooshe
@mwamvuajumanne6090
4 жыл бұрын
nge ngeee
@tuombetambali9572
5 жыл бұрын
Hii Ramani haisomeki mkuu hahahahaa
@faizanially6084
4 жыл бұрын
Shida kubwa wasomi wetu elim zao zinaishia katka madafutari Mh Mwari timua wite wapunzi
@raziambwana2145
5 жыл бұрын
Hahahaaa Rc anajuwa kuvaa viatu vya Magu funga mkanda baba tukimbie safar bd ndefu
@calvinismcharlz6519
5 жыл бұрын
Somaaaa hiyo 😋😋😋 etiii HAISOMEKIIIIIIIIIIIIII
@samwelmdeme9159
4 жыл бұрын
Reeerrrrrr nikajua gari
@furahiakamwela8136
5 жыл бұрын
ivii mainjinia mlimkosea nn huyu ding maana duh
@kakoyoenterprise
2 жыл бұрын
uyu uuuuuuuuu
@hussenally6817
4 жыл бұрын
Huyu mzee na Rais wetu ndo Zinaendana.Jamani tutamuona tena kweli?
@lawmaina78
5 жыл бұрын
Hela yote imetumika bila chenji
@EddazariaMsulwa
5 жыл бұрын
Ngee ngeee khaaaa 😂😂😂😂
@mohamedisarafi5308
5 жыл бұрын
#TUNDURU HOME 🤘🤘🤘🤞
@ntemijoseph8996
5 жыл бұрын
Wanyooooshe guuuku
@stephanolusogole6439
5 жыл бұрын
Mkojo wa ngedere
@JohnJohn-ec5wz
5 жыл бұрын
Nge ngeeee ayiiii 😆😆😆😆😆
@agnesdede1451
5 жыл бұрын
Nishida hapa kaz to
@kassimjuma8713
5 жыл бұрын
Mh. Rais ukimaliza mda wako tuwekee huyu MTU. awe Rais awam ya sita
@wazirisukari5178
5 жыл бұрын
Duh pameng'aa kinyama
@hisanmwakijungu10
4 жыл бұрын
SOMA HUKOOOO
@abdulkillya2655
5 жыл бұрын
Kama umeona jicho la zarau wakati anaisoma 6.27, Eti anasema haisomekii😂😂😂😂
@Lawizoo
5 жыл бұрын
Yaani mpaka akimaliza utawala wake kwakwel maijinia wamenyooka😂😂😂
@mwajumakoshuma5417
5 жыл бұрын
Hahahaha halafu yy anadili na mainjinia duu. Mbona wayanuooka
@mwajumakoshuma5417
5 жыл бұрын
Hahahaha halafu yy anadili na mainjinia duu. Mbona wayanuooka
@younginspired3899
5 жыл бұрын
Mzee wa ramani 😂😂😂😁
@justinecanisius5429
5 жыл бұрын
Soma hiyo
@mwamvuajumanne6090
4 жыл бұрын
kupasua matofal hatar
@fikirinyangasi7973
5 жыл бұрын
Hilo nitatizo me nafikir tumeumia hapo🤣🤣🤣🤣🤣
@yusufubashiriyusufubashiri2849
3 жыл бұрын
Hi
@moseswanjara3408
5 жыл бұрын
Hahaaaa nimecheka kwanguvu et soma hiyo aionekani mkuu
@digalaelibrahim7897
5 жыл бұрын
Muachen afukuz watu atasomew na ndug zake
@salehemkomwa4400
5 жыл бұрын
hahaaa cku mojs uje kuwa mkuu WA mkoa WA MORO itapendendeza na TATIZO L'a wafugaji litakwisha
@chrissymahunja5248
5 жыл бұрын
Zote NGEEE NGEEEEE
@majidmousa4557
5 жыл бұрын
Huyu Babu anachksha yuko kama magufuli
@ramarite4841
5 жыл бұрын
Nimesikia sauti kubwa soma iyo
@mohamedmbarouk7482
5 жыл бұрын
tunaomba uchukuwe fom ya urahisi kaka
@kevoogeniuzz8846
5 жыл бұрын
injinia kachemka anataka atindue washapiga rangi ha ha ha hh
@fatmarashid2384
5 жыл бұрын
Kweli kahalibu haita pendeza
@Subaruleone69
5 жыл бұрын
Kama haisomeki skuma ndani 😂 😂 😂 😂
@alexkihongole6079
4 жыл бұрын
Bonge la jembee aje IRINGA tunamadudu Sana huku
@raziambwana2145
5 жыл бұрын
Hehehehee zote ng'e ng'e mchaga na pesa anataka chenji za jengo azione hahaha
@boniphacetabu2903
5 жыл бұрын
Ngengee
@rashidkambi3070
5 жыл бұрын
Hahahaha wadai chenji hao
@ibrahimjoel806
4 жыл бұрын
Injinia soma iyooo 😂😂😂😂😂😂
@mlandulashaib2361
5 жыл бұрын
RC wa ukweli Ni makonda tu Hawa wengine kazi kuwapa presha watumishi wa serikali
@fatmarashid2384
5 жыл бұрын
Kabisaa
@abdukalembo788
5 жыл бұрын
Eti haisomeki mkuu hahaaa soma iyooo
@salehhamadi6070
5 жыл бұрын
Utapigaje plasta mwisho ndo utinduwe injinia umekosea hapa
@ivanmusa4737
16 күн бұрын
😂😂😂
@saidpalamsemaukwelilazimaa814
5 жыл бұрын
Huyu jamaa hafany kwa sifa kama wengine. Na hamuonei mtuu
@husseinkonz5192
5 жыл бұрын
Huyu ni kilaza njinia fek utapigaje plaster Billa kuweka konjut
@evodykalala509
5 жыл бұрын
Tukakuloxekio
@japhetkavishe2347
5 жыл бұрын
Grenda 😂😂😂😂
@mwamvuajumanne6090
4 жыл бұрын
haha soma hiyo
@kambiyusufu3078
5 жыл бұрын
Hahaha ety haisomeki
@Rashidmhedhery
5 жыл бұрын
Huyu jamaa bozo saana
@Manshyne
5 жыл бұрын
Njoo kwenye Channel yangu ujifurahie 😂😂
@Chillaxingpics
5 жыл бұрын
😅😂😂🤣😂😂
@chachamagoti2400
5 жыл бұрын
Hamna kitu Sifa tu. Hamuwezi Fanya kazi bila kamera
@godfreyjohn6422
5 жыл бұрын
Ww hujielewi kamera ni kwa ajili ya kutunza kumbukumbu na c kiki.
@chachamagoti2400
5 жыл бұрын
Anajielewa mama yako.
@sweetestgospelmelodies5723
5 жыл бұрын
Haaah kawaida tu mbona sasa waandishi wapate kula wapi nao wanatafuta habari mkuu...amang'ana poti
Пікірлер: 104