Mauaji ya mwanariadha wa Uganda wa mbio ndefu Rebecca Cheptegei yamewaumiza marafiki na familia yake pamoja na jumuiya ya riadha Afrika Mashariki.
Mwanariadha huyo mwenye umri wa miaka 33 ambaye alishiriki katika Michezo ya Olimpiki ya hivi karibuni huko Paris, aliungua vibaya baada ya kumwagiwa petroli na kuchomwa moto na mpenzi wake wa zamani.
Aliyemshambulia pia amefariki dunia baada ya kuungua wakati wa tukio hilo.
#bbcswahili #kenya #rebeccacheptegei
Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili / @bbcnewsswahili
Негізгі бет Rebecca Cheptegei kuzikwa Uganda kwa heshima za kijeshi
Пікірлер: 2