Mungu akuzidishie zaidi ya hivyo ulivyotoa nikijana wakuingwa kabisa godbless you my brother
@bridgetbarnabas4227
16 күн бұрын
Umechagua fungu lililo jema Sana,Mungu akubariki sana dogo.
@KaramaHaji
16 күн бұрын
Hakika umefanya jambo kubwa sana la hekma busara na upendo kubwa nikutambua na kukumbuka na kuwakumbusha walio gereza kuwa kuna mungu umefanya jambo kubwa mno mungu akulipe zaid na zaid your brilliant ameen thuma Ameen
@SulaimanSalim-h2f
15 күн бұрын
Mungu akubariki sn 4:56
@SherryEverest
16 күн бұрын
Hakika umefanya vyema sana Mungu akubariki
@mzamilmajidy5940
16 күн бұрын
Ongera dogo, na Mwenyezi MUNGU akuzidishie, Zaidi yaan apo kwenye masahafu, biblia, miswala, na Pedi za kujihifadhi Kwa wanawake daaah nimependa sana, BARIKIWA DOGO,,,
@nazarethally9509
16 күн бұрын
Safi sana umetukumbusha na sisi hivyo Mungu akubariki sana
@loishiyelaizer8612
16 күн бұрын
Mungu akubariki kioo chetu a Arusha 😊
@surusuru1994
16 күн бұрын
Masha Allah nimeona misahafu
@AminaMfikwa
16 күн бұрын
Mungu akuzidishie ulipo punguza
@Chumpa_96
7 күн бұрын
Watu Huwa wanatoa msaada sehemu mbali mbali ila kwa Asilimia kubwa huwa Tunawasahau sana wafungwa magerezani, kwa kudhani kwamb ni wakosaji sana kwamba wanahitaji kutelekezwa, ila ukitafakari vizuri Utagundua Hata sisi Tuliopo uraiani Mungu ametulinda na kutusamehe Mengi, JANJARO NGARENARO REPUBLIC 🙏👊👊👊🤝 UNATUKUMBUSHA KITU HAPA🙏🙏
@calvin6445
16 күн бұрын
Nzuri Sanaa Upendo ni kila kitu huwa ndio ukaji wa kiroho na Mungu atakuimarisha katika Imani yako.Ubinafsi sio jambo jema
@violetsteko2086
10 күн бұрын
Hongera Sana Dogo Janja Hakika Wewe Ni Msanii Pendwa Unaejitambua Kiyoo Cha Jamii Mungu Aendelee Kukupa
@ElamineAmadNadhurou
16 күн бұрын
Mashallah mungu akupe maisha marefu amin
@SmilingFuchsiaFlower-jl7dg
16 күн бұрын
Big up dog hata vitabu vimeeleza umeguswa kwenye mshono god bless
@FaridaFonga
16 күн бұрын
Mwenyezi mungu akuzidishie
@TeddieJohn-lm5co
8 күн бұрын
Arusha kid❤ Tunakupenda sana Home boy
@nackie-fq7hm
16 күн бұрын
Waaaoooo hongera sana umefanya jambo zuri hakika! MAY GOD BLESS YOU🙏
@AsheryMahayu
16 күн бұрын
Hongera sana kaka umefanya jambo jema sana Mungu akubariki.
@ZuuhShabani-r2g
16 күн бұрын
Jambo jema hizo ndio zinaitw sadaka tujaria allah akubarik sana
@barakajonnal-fb9ch
16 күн бұрын
Nakupongeza saana mr, unajaza ukamilifu wa msemo usemao " MSANII NI KIOO CHA JAMII" 👏👏👏
@januarymassawe1945
16 күн бұрын
Janjaro upo vizuri mwenyezi mungu atakuzishia kwa upendo
@SuleimanSaid-z8z
16 күн бұрын
Dogo umeamua kulisha wasionacho sio wale wanaolisha wasionacho, huku chukua ukumbi kufurahisha waliona furaha bali umechukia kheri kuwapa wasionna furaha
@bantumambo1578
16 күн бұрын
Mashaallah mdogo umekumbuka jambo jema sanaa Allah akuongezee zaidi
@jaderkyser9389
16 күн бұрын
Hii ni Ibada njema na ndio Dini iliyo safi.. Mtume Muhammad S.A.W anasisitiza haya pia kwenye mafundisho yake.. YESU kristo anasema Dini iliyosafi ni kuwatunza Yatima na Wajane pamoja na wenye uhitaji kama wafungwa mbali mbali walioko Magereza
@DAVIDMHINA-oi2ku
16 күн бұрын
Dogo, ulichokifanya,maneno na, dhamira yk , Kila kitu ulichobeba the way ulivyo Ongea ni Hekima na Busara tupu
@asinahussein2176
16 күн бұрын
Mw.mungu akuzidishie pale ulipotoa.
@jumarajab5316
16 күн бұрын
mtangazaji mjinga kabisa umeficha neno pempers lina ubaya gani
@Samsonnoahndagw
16 күн бұрын
😅😅 si umeskia au haujalizika
@emmanuelmatowo2434
16 күн бұрын
Vizuri sana mdogo wetu💯🫵
@DALALIKINYOZI
16 күн бұрын
Fantastic and smart boy kujua maisha
@omarsirleem7105
16 күн бұрын
Janjaroo Much love from Kenya 🇰🇪
@EzekielMbise
16 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@madaiincubationcenter4947
16 күн бұрын
hongera sana janja umefanya kubwa kuna wasanii wengi wakubwa hawajawahi wewe umethubutu
@yusrairakoze3966
16 күн бұрын
Mashallah allah amuwezeshe amefanya kitu chamana sana kwakwe
@sheikhanasser4714
16 күн бұрын
Allahuma Aameen 🤲 Ndugu Allah andika kwa herufi kubwa Shukran
@OscarlucasKagombogombo
6 күн бұрын
Bado na imani yote na pitia bado naimaniii bado duuuh! Janjaro amefanya kitu chapekee mungu ampe hekma zaid 🙏 🙏 🙏 🙏
@SaidMkwabi-ho8yy
16 күн бұрын
Mungu akujaalie sana dogo janja
@AkilinyoMussanyo
15 күн бұрын
Mfano huu nimfano wa kumfurahisha mungu
@RahmaMwalimu
16 күн бұрын
Mwenyez mungu azidi kukujalia inshallah,
@ThomasMmary-r7w
15 күн бұрын
MUNGU akubariki 🎉🎉🎉janjaro
@LyujeMnangola
16 күн бұрын
Allah akuongoze
@hanifamziray277
16 күн бұрын
Daah hongera sn mpk.chozi hapo kwa misaafu❤
@jacintamutua422
12 күн бұрын
Jamani roho Moja safi Mungu akuzidishie Kwa hilo
@husseinshabani9522
16 күн бұрын
Nimejifunza kitu...Allah Akujalie In sha Allah.
@RukiahHamza
13 күн бұрын
Jaman mungu akulipe.kwenye ilo ulietendalo
@RukiahHamza
13 күн бұрын
Jaman mungu akulipe.kwenye ilo ulietendalo
@allymoe7689
15 күн бұрын
Naomba usindikizwe na kibao cha Q chila nincho kipata nagawana na wenzangu
@JosephAndrea-s5u
16 күн бұрын
Ume Tisha brother 👊
@RajabuMkonje
15 күн бұрын
Hapo kwenye vyakula na mafuta na sabuni watagawana😂😂😂
@BeatriceJoseph-wh1sg
13 күн бұрын
Mungu akuongezee ulipo toa jamani hikika ni jambo njema sana
@SalahSimchimbaz
15 күн бұрын
Mungu akuzidishie pale ulipo toa
@Nasbu-tb6cs
6 күн бұрын
Hazuu uchawa kwa wasaniii sjui ataachaga lini 😂😂
@hajimaftaha3272
16 күн бұрын
Akili kubwa!
@ramadhaniabdulkadry288
15 күн бұрын
Sadaka yenye kheri ni siri cyo matangazo man
@shabaninayopa-nw9cf
16 күн бұрын
Upo sw Janjaro
@MwanaishaMsangi-p5q
6 күн бұрын
Dogo Mungu akuzidishie
@Joneslaizer100
16 күн бұрын
Ya MUNGU mengi ya shetani si machache
@mwanahawanyambi9440
15 күн бұрын
MashaAllah MashaAllah MashaAllah ❤
@RAMADHANAllykibanga
10 күн бұрын
❤safi dogo umecheza sana
@ezrommussamusssa2540
16 күн бұрын
Wakwanza
@tedytom7231
14 күн бұрын
jamaniiii munguu akubariikii sanaaa ❤❤
@ZuhuraAdinan-t1r
16 күн бұрын
Mashaallah allah akupe umli zaid
@abdallahkambangwa7215
15 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭 Allah akujaalie kheri
@DismasBarnaba
8 күн бұрын
Mungu akubariki dogo janja
@madinajamada9180
16 күн бұрын
Allah akuongezee ulipotia❤
@mwajoma1373
16 күн бұрын
Mashaa Allah 🥰 🙏 🙏
@GloryJohn-o7s
14 күн бұрын
❤❤❤ Hongera Sana brother
@yoshuajoseph8574
12 күн бұрын
We kweli dogo janja ✊✊
@msambalamjukuu3866
16 күн бұрын
ilo ndio fungu la kumi la kitoa
@GeofreyColeman
15 күн бұрын
Hakika... Bless up Sana dingi
@AbdullahJuma-e4v
16 күн бұрын
Mungu akubariki sana
@fatumahans5059
16 күн бұрын
Mwenyezi Mungu aendelee kukujaalia sana ni jambo la kher
@bensongodfrey
16 күн бұрын
iko pwa san kaka mungu akupende said
@YuzoChidi
16 күн бұрын
Mashaallah sheikh wang
@hafsalucky1088
16 күн бұрын
Safi Janjaro❤
@jeniphersaid5151
15 күн бұрын
Ameeeen, Ameeeeeen 🙏🙏🙏🙏
@thabit5775
16 күн бұрын
Hakika
@luciasteven3314
16 күн бұрын
Haaaa😂 hamnaga msaada wa hivi wenye thawabu mbele za Mungu Macamera yann sasa Iko hivi. Sadaka yyte inayokubarika mbele za Mungu haitakiwi hata mkono wa pemben ujue Hapa utapata sifa kwa binadamu tu na sio Mungu Tujifunze jaman kama haupo kwenye taasisi yyte inayojihusisha n maswala y kusaidia watu. Camera tuziweke pemben Hapo ingekua vyema akasema tu nimeamua kuwatembelea ndugu zangu n kuhamasisha watu kuwakumbuka watu wallop sehemu kama hizo Havyo vtu hata asingevionyesha kwa camera Msininukuu vbya kafanya jambo zur ila sisi ndio tunampa sifa na sio Mungu
@dismaslalubare4196
16 күн бұрын
Wewe ni kenge maji na sio kenge nchi kavu... katoa msaada kama imekukera katoe na wewe msaada ndaaffff mbaaffff
@MusaNjalo
16 күн бұрын
Ww mbona km umekariri km kasuku hali zote zinakubalika kutoa sadaka kwa siri na kwa dhahiri
@MusaNjalo
16 күн бұрын
@@dismaslalubare4196 we shoga mbabe tukiza ng'undu hiyo
@LatifaCharles
15 күн бұрын
Ww ndo mchawi sasa mjinga ww ushaskia msanii ata akatize mahari waandish wanatokea mjinga sana
@sure2odds484
16 күн бұрын
SASA HV UMEISHA KUA MTU MZIMA INABIDI UBADILI NICK NAME YAKO. SIO DOGO JANJA TENA UNAONA MIDEVU HIYO
@FrankGasper-eq2ui
16 күн бұрын
Anajiita janjaroo
@GaudenciaMadirisha
16 күн бұрын
Safiii kabisaaa
@BeatriceKitembe-gs9si
16 күн бұрын
Mungu akubariki Sana kwa upendo ulioonyesha kwa uhitaji
@JosephineJoseph-o9v
11 күн бұрын
Mungu akupe maisha marefu dogo uje ufanye makubwa zaid ya hayo.❤❤❤❤
@AliamryBakar
15 күн бұрын
Daaah imenifanya nimwage machozi mungu wabariki maskini wenzangu
@tabutabu8900
16 күн бұрын
Kwakwel dg janja Kisha kuwa, MASHA ALLAH ❤️❤
@mtotowamanka
16 күн бұрын
Ashakufa kimzk HIYO,anatafuta gia ya kujirudii
@KaroliMagana
14 күн бұрын
Hongera sana ila maaskali Mungu anawaona naomba viwafikie walengwa🤝🤝🤝
@DaudiDaudi-j4d
16 күн бұрын
Mashaallah mwenyezi mungu akupe moyo wa himani ivyoivyo dogo janja
@yohanakateko
16 күн бұрын
Apo flesh
@RamadhanMjema-ph8eb
16 күн бұрын
Kweli bro Mungu akulinde sana na akubariki kwa fadhila uliyoifanya
@fakihassan9021
14 күн бұрын
Mungu akuzidishie dogo janja upate zaidi
@BarnelPharmacy-uh3mp
15 күн бұрын
Hongera sana broo nikitu cha kitofauti kabisa mungu akubarik
@NemesMasawe
16 күн бұрын
Hongeraa
@chikukazumba6768
16 күн бұрын
Mashaallah Mwenyezi mungu Akujalie zaid na zaidi daah 😢🤲🏻🙏❤️
@lilianmungure8374
16 күн бұрын
Good, Mungu azikumbuke sadaka zako,I love you mdogo angu
@GraceLaizer-dv7hj
16 күн бұрын
Mwenyenzi mungu akuogezee apo ulipotoa kwasababu umefanya jambo jema sana na pia lakuigwa na wengine
@busharizipius5854
15 күн бұрын
Hongera sana kwa kujitoa kwa ajiri ya wengine
@AmaniManase-x1i
16 күн бұрын
Daah asee ubarikiwe Sana ndg maana mazingira hayo huwa nawaonea huruma Sana na pia Mwenyezi Mungu tusaidie na kutuepusha na sisi kutofika apo ameen
@omarswaleh6082
15 күн бұрын
Masha allah lakini muhimu sana ni mayatima pia musi wasahau pia shukran mungu akubariki
@JohariMwanda
15 күн бұрын
Mungu akubariki janja,uneona mbali
@AgnesJohn-f1r
16 күн бұрын
Hivyo vitu umewapelekea maaskari wafungwa hawatapata chochote aminini nawambia ila hongera wewe umetoa Mungu akubariki
@marymanoni5536
16 күн бұрын
Ata wakipata askari ni sawa tu
@AgnesJohn-f1r
16 күн бұрын
@@marymanoni5536 aliwapelekea wafungwa ama maaskari
@MaryamAbbas-o1c
16 күн бұрын
Yy kashatimiza wajibu wake wakichukuwa ni wao na mola wao
@israelkisaila8401
16 күн бұрын
Mwenyewe najuwa hivyo,walivyo na maisha magumu na mishahara midogo hadi huruma😢
Пікірлер: 156