Hamieni Benin kama mnaonewa😂😂😂😂😂😂😂mtakufa na Presure hahaaaaaaaa
@MuznaAlly
Сағат бұрын
Wote tukija huko af myacheza na nani
@patrickngongolo5802
2 сағат бұрын
Jamani goli la kibu goli gani lile..... offside ya wazi kabisa
@Fessie28
2 сағат бұрын
Hawajaona mpira wowote wa yanga ila wameona goli 😅😅😅😅😅😅😅nafurahi sana makolo wakiteseka
@yousifyousif-p7f
2 сағат бұрын
Pamoja😂
@roi2554
Сағат бұрын
Simba ndo wamebebwa ila wao ndo wanalalamika😂😂😂😂😂
@AliNoorein-f4d
Сағат бұрын
T,f,f.tafutenı refa wa ınje ya nchı.haıkuwa golı halalı kabısa.yanga achenı ushırıkına.leo ndo nımekubalı.nımefuatılıa sana mpıra wa tz.mda mrefu sana.yanga mwawabeba sana.huu ndo mwısho wa yanga ın shaa allah.mechı nne watafungwa msımu huu.
@Bquality
2 сағат бұрын
Huyu hajui mpira mm ni simba ila lile goli la kibu ni offside
@dicksondkaganga1290
Сағат бұрын
This is sportsmanship 🙌🏻
@Mkonkotolyo
Сағат бұрын
Wametoka uwanjani hawajaona replay, wakifika nyumbani wataona marudio ya mechi ubishi wote utaishi.
@roi2554
Сағат бұрын
Uondoke uende wapi as if una option vile😂😂😂
@pitamsakypitamsaky2842
Сағат бұрын
Kiufupi simba isicheze mechi atamoja tumesha gunduwa kuwa kunajiongozi wamepanga bingwa wao wawape tuu sio kwa ujuma izi
@MaryamKingazi
Сағат бұрын
Hii inachekesha Sanaa mtu kulilia goli la offside😅😅
@Ucheshi
2 сағат бұрын
Eti mpira uliokufa una offside ila mashabiki wa simba ni dish kabisa😂😂
@LeylaSaria
2 сағат бұрын
Mwandishi bn😂😂et Simba ya ateba 😂😂
@roi2554
Сағат бұрын
😂😂😂😂
@nurdinmfamau3493
2 сағат бұрын
Nendeni Kwenye Ligi Yakenya Hapa Hawawataki Au Aio
Пікірлер: 95