Reli Zanzibar inaenda wapi, sehem yenyewe ni kama Kijiji tu, huo utakuwa mpango mbovu wa serikali na matumizi mabaya ya fedha, labda wajenge zile metro treni za mijini kama daladala
@MelkofficialYT
8 ай бұрын
Tuta weka Metro kama Dubai, isiwe tabu.
@saidibalagwila8496
8 ай бұрын
Kipande Cha sita kimewashinda
@abdallahkihanza482
8 ай бұрын
Mita geji imewashida, sasa mnataka mkawaumize na znz
Пікірлер: 10