the sermon is quite a blessing to those with bad intentions to others
@miriamalute1540
6 ай бұрын
Asante baba Mungu akubariki na sisi waumini wako tuwe nania nzuri
@user-zq6xk8ou9w
6 ай бұрын
Mungu tusaidie tusiwe na nia mbaya Kwa wenzetu
@jardinemwasi8123
2 ай бұрын
Mawazo yetu si kama ya Mungu. Yeye anatuwazia mema. Naomba Mungu anipe mawazo mazuri na nitafakari neño la Mungu usiku na mchana. Na anipe hekima na maarifa. Aniondolee Mawazo mabaya katika jina la Yesu Kristo aliye hai.
@user-yz5zn4tr6i
17 күн бұрын
AMEN ❤❤❤❤❤
@EdinahLadislaus
4 ай бұрын
Amina mungu aendelee kuachilia nia njema moyoni mwangu.
@user-dg7wf6fg2j
6 ай бұрын
Asante kwa somo kuhusu Nithamu binafsi nafanyia
@lisakuingwa7337
6 ай бұрын
Im blessed listening to this preaching mabaya hayanipata mimi mambo ya watesi mabaya hayatanipata mm
@jaredombati2876
6 ай бұрын
I've been blessed with the word of God
@roseasimwe827
6 ай бұрын
Amen Mwenyezi Mungu ananiwazia mema katika jina la Yesu
@claratemba44
6 ай бұрын
Asante sana maombi yako ni Kamasutra chakula cha uzima kwangu nakushukuru sana, Nicole Ujerumani najifunza sana kwako
@venasjastinvenasjastinedes9754
6 ай бұрын
Aminaaa mtumishi nabarikiwa sana Mungu akupe maono zaidi
@qatarrarre30
5 ай бұрын
Amen mchungaji God bless you always
@neemakahangwa2224
6 ай бұрын
Amen
@user-ho6zt4ix3c
6 ай бұрын
Asante baba kwa kutupa tuelewe si Kila akuchekeaye ni mzuri kwako
@doreentemba7833
2 ай бұрын
😇✝️💟🙏🏿
@rosemwakyoma8371
6 ай бұрын
Mumgu akubariki sana unanibariki mnooo❤
@qatarrarre30
5 ай бұрын
Najitangazia Amani ndani moyo wangu
@peterkashamba
6 ай бұрын
🙏🙏🙏
@doriceassay857
6 ай бұрын
Asante kwa mafundisho mazuri. nitapataje hicho kitabu? niko Arusha
@user-ho6zt4ix3c
6 ай бұрын
Sema tipone baba
@jerubetjoan20
6 ай бұрын
Mungu nipe roho ya kuvunjika nisije nikafungia watu.
@paulmassery-ku1nz
6 ай бұрын
Sasa mch kimaro mbona kwenye clip Yako umesema ukiona mtu anaharibu akili Yako mpe cheti Cha kifo????
Пікірлер: 27