KIJITONYAMA LUTHERAN CHURCH : IBADA YA JUMATANO YA MAJIVU 14. 02. 2024.
UJUMBE WA LEO: "TUMRUDIE MUNGU KWA MIOYO YETU YOTE
Yoeli 2 : 12 - 14
12 Lakini hata sasa, asema Bwana, nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote, na kwa kufunga, na kwa kulia, na kwa kuombolea;
13 rarueni mioyo yenu, wala si mavazi yenu, mkamrudie Bwana, Mungu wenu; kwa maana yeye ndiye mwenye neema, amejaa huruma; si mwepesi wa hasira, ni mwingi wa rehema, naye hughairi mabaya.
14 N'nani ajuaye kwamba hatarudi na kugeuka, na kutuachia baraka nyuma yake, naam, sadaka ya unga, na sadaka ya kinywaji, kwa Bwana, Mungu wenu?
Mhubiri: Rev. Dr, Eliona Kimaro
Kwa maombi na ushauri :
Mch. Kiongozi: Dr. Eliona Kimaro
Simu: +255 655 516 053, +255 754 516 053
Негізгі бет REV. DR. ELIONA KIMARO: TUMRUDIE MUNGU KWA MIOYO YETU YOTE
Пікірлер: 19