One of the best Evangelists that the country has. Ishi sana Baba.
@user-eh3lq8nx1i
24 күн бұрын
Nabarikiwa sana MUCHUNGAJI MAFUNDISHO MAZURI
@janeobure3006
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana na mtumishi huyu.MUNGU azidi kukupigania.
@user-ol3bb4nm4b
5 ай бұрын
Daaah wew ni nomaa!Mungu amekupaka mafuta kwel kwel😍
@theopistamwayeya1764
Жыл бұрын
Yan nimecheka kwa sauti kyaaaaa! Barikiwa baba.
@EsterMsuya-kn7tm
2 ай бұрын
Mungu akubariki baba. Nimejuwa kucheka
@cocotz1892
5 ай бұрын
Mungu ni mwema.Nimejifunza jambo kubwa sana
@RenathaElias
2 ай бұрын
Barikiwa mchungaji mungu mwema Kila wakati nimecheka xana Lakn nimejifunza kitu kweli Kila jambo ni kumtanguliza kwaza mungu🙏🙏🙏🙏
@deborahmgedzi632
10 ай бұрын
Mungu Baba Mwenyezi Anakupenda sana mtumishi.
@florashauri9228
Жыл бұрын
Mungu akubariki sana Pastor ushuhuda huu unainiinua kiwango changu cha Imani .Bwana Yesu azidi kukutunza
@ericmtalemwa3573
Жыл бұрын
Ahsante pastor kwa ushuhuda. Bwana Yesu aendelee kutufundisha na huruma yake iwe juu yetu siku zote. Amen
@greenermichael2057
Жыл бұрын
Mchungaji Mungu akutunze kwa kwel nmefurah
@nigananurunjema
Жыл бұрын
Dr Kimaro umeongea point kubwa sana. Niliacha kwenda morning glory lakini leo nimepata changamoto naomba Mungu anisamehe na anisitiri sitaacha tena kwenda hata kama Sina pesa
@aishahaisha4941
Жыл бұрын
Aki Kwa kweli Mungu akubariki mchungaji umenichekesha mno atlist umetoa sumu mwilini mwangu
@grasherchavala2732
Жыл бұрын
Ubarikiwe.mtumishi kwa ushuhuda huu unaotujenga na kutuongeza imanii na.kujifunza tumtegemee yesu ktk kila jambo.
@alfredmaingi3506
Жыл бұрын
Duh mch, nimecheka kwelikweli, na mm nimejifunza mengi pamoja na kucheka
@elianaarsen9942
Жыл бұрын
Ushuhuda mzuri sana,Mungu akubariki
@ombeninassary2151
Жыл бұрын
Ubarikiwe sana mtumishi wa mungu
@dennomtotowasarah1519
Жыл бұрын
God bless you man of God
@aminamavura6834
Жыл бұрын
Ushuhuda mzuri hongera mch Kimaro
@hadijangaina2833
Жыл бұрын
Subhanallah, nimecheka na kuhuzunika dooooh
@reginameitavan4032
Жыл бұрын
Mtumishi umejua umenifurahisha na kunielimisha,Mungu aendelee kukumiminia mibaraka tele
@erickpallangyo1325
2 ай бұрын
Amen 🙏
@DouglasTiepon
10 ай бұрын
Amen man of God
@irenefaustine6301
Жыл бұрын
Umenichekesha Sana mchungaji, ila nakukaribisha tena ukerewe shida ulipanda mitumbwi itwayo Yamaha siku hizi tuna vyombo imara vya usafiri hivyo karibu Sana
@jennytugara9470
Жыл бұрын
Mmhhh maji hayana urafiki ndugu
@jumannekhalfan2732
Жыл бұрын
MUNGU ALIKUWA NA KUSUDI LAKE!HATA INGEKUWA NI HIVYO VYOMBO VYA KISASA VISINGEMZUIA MUNGU APENYEZE KUSUDI LAKE! MUNGU AKUBARIKI MTUMISHI ,NIMEJENGEKA MNOO!
@SARAHHALIFA-wm2kg
Жыл бұрын
Nasikia Kuna uchawi balaa huku
@loveemanuely4026
Жыл бұрын
Ubarikiwe Sana baba
@prisca4612
Жыл бұрын
Amen Amen Amen!!!!!
@bryasonlaizer
Жыл бұрын
Ubarikiwee
@purple10116
Жыл бұрын
Dah nimecheka sana lakini pia nimejifunza kitu Mungu azidi kukuinua zaidi mchungaji
@florakitio646
Жыл бұрын
Amen amen 🙏🏿🙏🏿🙏🏿🙏🏽🙏🏾🙏
@danieldavid9223
Жыл бұрын
Nabarikiwa sana
@naomimhamba4367
Жыл бұрын
kila kitu ni mtumishi wa Mungu! BIG statement.
@christinakembe3869
Жыл бұрын
Kweli Mungu anatumia chochote
@florahemmanuel8323
Жыл бұрын
Daaa huyo Teja unaweza mtumbukiza Kwaaji
@esthernkya717
Жыл бұрын
Kweli Mchangaji unajua kututia moyo kwa mafundisho yako
@consolatamedard6593
Жыл бұрын
😃😃😃 Amen nimejifunza kitu ubarkiwe Mtumish
@greenermichael2057
Жыл бұрын
Mchungaji mie nakupenda BAC TU
@gracelyimo6256
Жыл бұрын
Amen
@fathiasaed9718
Жыл бұрын
Amina
@emmanueljohn8970
Жыл бұрын
Nimebarikiwa mno
@lovenesswalter6650
Жыл бұрын
Teja kanichekesha Sana
@malkavoice2570
Жыл бұрын
Eliona au Eliyona
@judicalosika7642
4 ай бұрын
Eliona
@ernestbutagalala
7 күн бұрын
Hahahaaa ubarikiwe mtumish kwa ushuhuda 😂😂😂😂
@masindemagee9603
Жыл бұрын
Kweli
@gracefollowingnikiwautawal8715
Жыл бұрын
Kunja kenya pastor tunakupenda
@estherchege9074
9 ай бұрын
Ah hii nayo testimony ya ajab... nakwambia wacha tumkiri Yesu wakati wote..
@fridafrida7665
Жыл бұрын
God bless you father
@evalinemmary7070
Жыл бұрын
Emen hakika ushuuda umenibariki
@tonestiachristian9222
Жыл бұрын
Nimecheka kifara………….Barikiwa mtumish wa Mungu😅😅🤣🤣
@joycelaura4611
Жыл бұрын
👋👋🙏🙏
@user-zb7xz5wm1y
11 ай бұрын
Balikiwa sana
@dafrosamsonge2007
Жыл бұрын
Htr pata picha watu WA MV Bukoba n precion walivokunywa maji
@kechuagrosupplies
Жыл бұрын
Pole kaka angu 🤣🤣
@deborahmgedzi632
10 ай бұрын
Mungu Alimtumia huyu mtu kukumbusha umuhimu wa kumjtambulisha Mungu wetu.
@fredrickfilbert3922
11 ай бұрын
Msg na simu 1995-96
@allenangunangwa3694
19 күн бұрын
ASANTE MUNGU KWA HUDUMA ILIYOTUKUKA.USICHOKE SONGA MBELE
@fransiscarbrunoh6889
Жыл бұрын
Pole sana mungu akbark
@mukembanyikalinda8908
Жыл бұрын
😃😃😃😃
@florahemmanuel8323
Жыл бұрын
Sipati picha hapo pastor Sijui ulisha wahi mjua Yesu hapo Utaanza kutubu Kila dhambi naona
@frankritte5837
Жыл бұрын
Mchungaji hapo KKKT Kijitonyama usihame utawaacha waumini wapweke.
@frankritte5837
Жыл бұрын
Waumini msikubali Mchungaji Kimaro shame.
@nuruanafisoo4220
Жыл бұрын
Nimecheka jamn
@joycerichard9274
11 ай бұрын
4:13 😅😊
@frankmosha5978
Жыл бұрын
Walokole vp hapo injili imepigwa na teja
@florahemmanuel8323
Жыл бұрын
Maombi ya kistaarabu hakuna hapo
@ashurakodd1589
Жыл бұрын
Yaan umenichekesha
@neemakisaka4089
Жыл бұрын
Kujifunza kwa njia ngumu
@roseallen7198
Жыл бұрын
Hahahaha teja nomaaaa
@catherinenjeeri649
Жыл бұрын
😁😁😁😁😁teja mweeh
@beatrice3671
Жыл бұрын
Nimecheka mpaka nimejikojolea uuwiiiiiii
@emmanuelmchome7015
Жыл бұрын
We betrece sa itakuwaje ??
@deborambutu9547
Жыл бұрын
Hahahaha Apo kwenye kujiandika mchaga wa marangu..jmn
@goodluckyabsalom516
Жыл бұрын
Hhhhha jamani Mungu atupe ulinz mkali amen Mtumishi barikiwa
@oscanyakunga
Жыл бұрын
Amen😂😂😂😂😂
@margaritoraphael3805
Жыл бұрын
Nimecheka🤣🤣
@RaymondCharlesSaliboko-to6vx
Ай бұрын
😅😂😂
@sonicaghendewa9886
Жыл бұрын
😂😂😂Teja kibokooo
@misojiyona2648
Жыл бұрын
Yaani nimecheka mpaka machozi
@miriamalute1540
5 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂😂
@theresiamatiya1599
Жыл бұрын
Hahahahaaaaaa uuuuuuuwiiii.
@shinemakenzi8101
Жыл бұрын
Ila hilo kanisa lina wanawake wazur cheki walivyo valia matiti nje nje dada vaeni vizur bac mbona mitego live kwa mchungaji
@mahobesiku5921
Жыл бұрын
Haaahaaa,oyaa skliza mahubiri usiangalie titi
@joasmeta7480
Жыл бұрын
Mbavu zangu
@convinemukidanyi864
Жыл бұрын
Teja 😂😂😂
@vickyayo8712
Жыл бұрын
Auwe wote na yeye akiwa wapi
@professorbenjamin1027
Жыл бұрын
😄😄😄 Yeye alikuwa anajua kuogelea
@emmanueljohn8970
Жыл бұрын
Umeona eh
@emmanueljohn8970
Жыл бұрын
Alikuwa mfanyakazi Wa Boti inaelekea
@misojiyona2648
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣
@fredrickfilbert3922
11 ай бұрын
Magogo ziwani jamani
@lovenesswalter6650
Жыл бұрын
Popote mtambulishe Mungu wako
@PhilipoMangera
28 күн бұрын
Coolio to simon o8y9mkg
@frankmosha5978
Жыл бұрын
Walokole vp hapo injili imepigwa na teja
@valeriamtenga3384
Жыл бұрын
Mungu hana formula, na akili zake hazichunguziki kamwe! Na pia anaweza tumia hata mnyama, hata mawe kufikisha ujumbe ! Ilikua ni siku ya kufundishwa na mtu tusiedhania
Пікірлер: 98