Hapana mchungaji, no pastor. I am Congolese. Emery Patrice Lumumba is recognized everywhere in the Congo. In Congo, we have two national heroes. And Lumumba is the first national hero. It was through his death that the Congo gained its independence. Every year we have a national holiday to commemorate the memory of Lumumba. We have avenues, neighborhoods in the Congo that bear the name of Lumumba. And his story is studied at school.
@jerubetjoan20
4 ай бұрын
Kwa wale hawajui penye kisima iko Saudi Arabia mahali inaitwa Macca,ndio maana waarabu wamebarikiwa zaidi.
@rosengiloi9381
Жыл бұрын
Neema ya Mungu yatosha,asante sana Mungu wangu kwa kunifanya niwe MTZ
@furahamunkolongwa3703
Жыл бұрын
Naomba namba ya muchungi
@pondamalimbalanga9958
23 күн бұрын
Pastor mimi ni Mugomani... Lumumba alikuwa waziristan wa Kwanza ,ndiye aliteteya Uhuru.. Na kasavumbu ndiye Rais wa kwanza.. Hila wakati Mobutu alitawala kuko Fasi nyingi Congo kuna Jana la Lumumba kwa Barabara nzuri tu...Ata Kinshasa mji mkuu wa Congo.
@alexandermutakha882
Жыл бұрын
Generational curse.
@basilisamsaka8469
Жыл бұрын
Asante Mungu Kwa kunipa Nchi yangu nzuri Ya Tanzania,Nchi ya Amani.
@volontekambale8514
Жыл бұрын
jambo mch lumumba tuna mu heshimu sana hata huko DRC pia kuna mita miji barara ambazo zina jina zake na tena hakuwa pesident FIST PRIME MINISTER na rahisi wake ndo kasavubu yeye ndo hasikike kwene historia ya congo kwani ali kua miongoni mwa wale walio sababisha hiko kifo, na zaidi huko tuna kwaya za majeshi na rahiya mara pengine ndo uli ona sio kwamba rahiya wana ruhusiwa silaha huko baba. JEAN VOLONTE KAMBALE from DRC BENI
@gilbartwilliam6886
Жыл бұрын
Dunia hii ina laana kweli
@neemawillison891
Жыл бұрын
Hakika
@tumainimwakyaka2775
Жыл бұрын
Hahaha et bunduk zikifyatuka zenyewe itakuwaje Hahaha nimecheka hapo
@yorandayorandan4018
Жыл бұрын
Mchungaji naomba namba zako unazi zitumia whatsap maan zile nyingine zinapigwa haupokei pls naomba nina shida sana mchungaji
@highzacknnko9685
Жыл бұрын
@@yorandayorandan4018 nenda kanisani moja kwa moja
@yorandayorandan4018
Жыл бұрын
@@highzacknnko9685 bado naambiea yupo israeli angekuepo nisinge kuwa na shida
@munyaburangacharles7415
Жыл бұрын
Nakufuata mimi nimutu kutokacongo
@simonzakaria4770
Жыл бұрын
Lumbumba hakuwa Rais congo alikuwa ni waziri mkuu.rais wa kwanza congo aliitwa Kasavubu
@philbertcelestin7057
Жыл бұрын
Alikuwa waziri mkuu mwenye mamlaka ya mwisho juu ya serikali.Rais hakuwa na mamlaka juu ya serikali
@pondamalimbalanga9958
23 күн бұрын
Na kuna Monument yake pa Kinshasa... Na chuleni wana fudicha historia yake...
Пікірлер: 21