saimu gwao hongera sana kwa kutuletea haya.naamini umefanya kazi kubwa sana mpaka kuziweka huku,dah ALLAH SW atakulipa pakubwa.nilishajiuliza hizi zitaingia lini youtube.
@makenakendi9014
3 жыл бұрын
Mashallah ALLAH BARIIK always my brothers.
@binbadru1654
3 жыл бұрын
Allah awarehemu wahadhir na waislam wote waliokwisha tangulia,amin
@ghulamyassintv4825
3 жыл бұрын
Amiiin
@tamashamagoma2941
3 жыл бұрын
Kwakweli, nashukuru Allah kuwa mwislam. Alhamdulillah
@mariamjuma3684
3 жыл бұрын
Jazakumullahu kheyr akhy. Ma shaa Allah Hii imenikumbusha mbaaaali. Barakallahu feekum. Alhamdulillah tulikuwepo kwenye muhadhara. Allah awalipe na awarehemu wote. Ameen.
@bahatimataka229
3 жыл бұрын
Allah awarehemu wahadhir wote waliokwishatangulia. mbele ya haki
@heyumi2340
3 жыл бұрын
Amiiiiiiina Amiiiiiiina 🤲🤲
@allymuhammad325
Жыл бұрын
Marehem Mbwana Mohamed, Marehem Sheikh Said Ricco, Marehem Yahaya Hosea, Allah awasamehe, awape qauli thaabit, na ajaalie makaburi yao yawe katika viwanja vya peponi😭😭
@thulaniduku3218
2 жыл бұрын
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh Naomba namba ya simu ya ustahi Rico please 🙏
@Hussayn21
5 ай бұрын
Haki ikifika Urongo bila ya Shaka inatoweka Mashallah. Allah Aturehemu na Atuepushe na Adhabu ya Kaburi… Aaaaaamin
@allyabdallah4357
2 жыл бұрын
Yani wakristo badala yakujifunza bado hawa taki hata hizi zama uwazi na ukweli lakini watu bado hawataki kujifunza kweli ndugu zetu ni mtihani sana zindukeni wapendwa katika Adam 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
@ameali1251
2 жыл бұрын
Ahh timu imetimia hapa Mashaallah
@khalidsalmin7682
3 жыл бұрын
ALHAMDULILLAH 🤲🌷
@mulhatmzamil3492
3 жыл бұрын
Mashaallah. ALLAH BARIK
@duniawadunia4824
3 жыл бұрын
Masha"Allah somo kubwa Masha"Allah
@shabanikagobe6744
3 жыл бұрын
Mashaallah majembe hayo
@thulaniduku3218
2 жыл бұрын
Assalamu alaykum warahmatullahi wabarakatuh
@janelithasolomon5212
2 жыл бұрын
Majuha kweliiiiii nyie🤣🤣
@KoomeNzima-lp4ql
Жыл бұрын
Mohamed ni nitume Wa uongo yesu ni mwana wa mungu
@officialsaddmfalme5381
3 жыл бұрын
,👏👏👏👏
@gabione3785
3 жыл бұрын
Wacheni sarakasi zenu ;Wakristo in wafuasi wa kristo kama vile wanavyoitwa.Shetani huja kwa njia hiyo na pesa kutoka hiyo dini ya kishetani haitafaulu,uongo na ulaghai kwa uslamu ni maadili yenye kusifika ilimradi mtu a slimu.
@alexmwalim9714
3 жыл бұрын
Andiko gani yesu kasema wafuadi wake waitwe wakrsto
@gabione3785
3 жыл бұрын
@@alexmwalim9714 Andiko gani kasema wafuasi wa muhamed waitwe waislamu?
@MakaiKasala
2 жыл бұрын
Baada ya Mwenyezi Mungu kukamilisha kushusha vitabu vyote vinne vya imani yaani Taurati, Zaburi, Injili na Qur'an, alishusha andiko la kuonesha kuwa kazi ya mitume imekwisha kamilika na dini imekalika kuanzia Taurati hadi Qur'an. Ushahidi Qur'an 5:3 ...Leo nimekukamiliishieni Dini yenu, na nimekutimizieni neema yangu, na nimekupendeleeni UISLAMU uwe ndiyo Dini. Na mwenye kushurutishwa na njaa, bila ya kupendelea dhambi, basi hakika Mwenyezi Mungu ni Msamehevu na Mwenye kurehemu. USHAURI Shika neno la Mungu, ulisikie na ulifanyie kazi sio maneno ya wanadamu. Soma maandiko kabla ya kushika imani. Hii dunia inahadaa nyingi sana.. Sikiliza hapo maandiko kwa umakini.
@shabamuhidin634
3 жыл бұрын
mambo yapo wazi tu,ata wakimkataa Ismael maandiko yanamkubali,Io ndo inanipa morale,Yesu israel na Muhammada pbuh kwa watu wote...itageuka kwa midomo yao lakini kimaandiko haigeuki,pwahahaha
Пікірлер: 30