Mtumishi wa Mungu wa UKWELI barikiwa sana...twakupenda hku Kenya..karib...
@zhakiamnkumbu9258
3 жыл бұрын
Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana
@haningtonkabuta9387
3 жыл бұрын
Mungu azidi kuwatunza baba na mama yetu, wachungaji Hilda na Moses Magembe. Tunawapenda sana.
@AdamNkwabhagu
2 ай бұрын
Amen barikiwa baba
@JoyceMkini
6 ай бұрын
Barikiwe mtumoshi wa Mungu aliye hai Injili hii wachaxhe sana wanwambia watu ukweli wengi ni upotofu tu sijui maandiko wanapata wapi mpaka wanawapofusha akili hata watu waziweze kujua kuwa wanawadanganya barikiiwe sana
@faithkarema7422
3 жыл бұрын
Amen pst God bless you niko saudia but nabarikiwa sana amen amen
@barikimpomwa6539
2 жыл бұрын
Baba Mimi nitakuwa miongoni mwa mabaki yaliyo saliya na kuwa shujaa kwa Neno lako nimebarikiwa ahsante
@jakobogorrum6233
2 жыл бұрын
Amen mtumishi wa mungu barikiwe na bwana
@Gwa-Kayaga
11 ай бұрын
Hata muonekano wenu unaakisi Yesu yu ndani yenu❤
@WalterMwanga-ft8zr
2 ай бұрын
Ameni mtumishi
@medsonsanga4813
Жыл бұрын
Amen🙏
@songaandre158
3 жыл бұрын
Mungu atu urumiye sana kweli pastor
@rizikiaugistin3262
Жыл бұрын
Amina Amina Amina
@Rmollelmichael
3 жыл бұрын
Amen hii ndio injili ya kweli
@naomimunanga6363
3 жыл бұрын
Aki kwakweli, hu ujube yeyote alieusikia pamoja nami, kama hatutaweza kubadili mienendo zetu kwakweli tutajikuta jeanamu tukilembua macho, mungu wa amani aki atusaidie jamani, yani hadi nimeanza kuuogopa ulimwenguni, my God bless you papa. Amen
@annesirengolifestyle1901
4 ай бұрын
Amen
@danielrwimo8751
3 жыл бұрын
Amen baba mchungaji,familiya nyingi zimetengana ajili ya uyo ujinga wakumsikiya shetani nama pepo yake. Wengi wameitwa wacawi eti mapepo yamezungumza, eeeh MUNGU wangu tujaliye
@justinbulaze9256
3 жыл бұрын
Longue vie a vs papa,et que Dieu vs augmente la force
@Gwa-Kayaga
11 ай бұрын
Nakukubari mzee, unafaa kuhubiri injili kwa wakati huu wa siku za mwisho, maana hata uso wako unaakisi wakati mwenyewe!!! Sio wengine wanaohubiri kwa mizahamizaha kana kwamba wanamuda wa kutosha! Any way nadhani wanadhihirisha adhma yao iliyowapeleka kuihubiri injili ili tu wavipate vya mwilini kwa kuwafurahisha binadamu hawa kuliko kumpendeza Mungu😢
@festaaroni1736
2 жыл бұрын
Ameni mtumishi ubarikiwe sana nakupata kupitia omani
@barikimpomwa6539
2 жыл бұрын
Hatuchanjiii,Ahsante kwa injilii hiii
@josephinanikwelimdacki3330
2 жыл бұрын
Amina
@alexnormans4368
3 жыл бұрын
I thank you Pastor 🙏 Moses Megembe
@zelubabelipetro7675
3 жыл бұрын
Amina baba iende mbere injiri ya YESU
@danielmugo6404
3 жыл бұрын
I feel it mchungaji
@beatricekimario3520
3 жыл бұрын
Sema babaaaa....Barikiwa sanaa...
@britonbruno6091
3 жыл бұрын
Amina kamanda wa yehova huyu jamaa ni burdoza anatengeneza njia kiukweli.
@songaandre158
3 жыл бұрын
Amen 🙏 🙏 🙏 🙏 Amen
@shukhuranpetro5796
2 жыл бұрын
Kweli kabisa
@greenzabron5107
3 жыл бұрын
Barikiwa tuliokoka kila tunapokanyaga ni sheria tunateka mji.
@elyanabiimasdi2752
3 жыл бұрын
Ameeen
@titomathew9246
3 жыл бұрын
Mbarikiwe NYTV kw kutuunganisha lakin hiyo log yenu plz msiiweke hap ktkt ya screen , mbarikiwe kwa Kaz nzuri
@riziksanga3040
3 жыл бұрын
Amina baba mchungaji
@Gwa-Kayaga
11 ай бұрын
Dar es salaam mko eneo gani
@TinaTina-zq4xc
3 жыл бұрын
Ameen
@barakanyamafu5937
3 жыл бұрын
Amina mchungaji Sema tupone
@barikimpomwa6539
2 жыл бұрын
Sisi tunajeluhi,Ameen hiyo nimeielewa sana
@herrymwampashi8959
3 жыл бұрын
Ubalikiwe
@zhakiamnkumbu9258
3 жыл бұрын
Nakupenda sana Mchungaji Moses hakika ujumbe huu umenigusa sana Mungu amenifungua mengi sana
Пікірлер: 51