MashaAllaah tabaraAllaah yaani Sheikh wetu naona umetosoma vizuri kabisa na Allaah akujaze khery na baraka zake uzidi kuelimisha jaami
@jamilaathumani5481
7 ай бұрын
Kipindi hichi nikizuri sana viendelee vipindi kama hivi..na uyu shehe mashalah anajua Sana kufundisha mungu amjalie Kila her
@KhadijaKipua-dw7yz
7 ай бұрын
Sheikh wangu umenifurahisha sana yaani Allah akuzidishie kheri sheikh wangu wafundishe vema wanaume
@karimirambona1766
8 ай бұрын
Sasa ulikuwa wapi myaka yote hii, kwanini nilikuwa sijakufaham? Mbona mafunzo mazuri hivi ? Nimefatilia kipengele kile cha saikolojia ya mwanaume na hiki cha mwanamke alhamdulillah nimefaidika zaidi. Allah akulipe kila la kheri sheikh wetu ❤
@hamidudongo1879
8 ай бұрын
Tena hii maada ingekuwa ndefu sana. Ndio maana baadhi ya nchi za kiislam kama Uturuki, wameanza kuwafundisha Waalimu wa madrasa elimu ya saikolojia kiislam. Kwa sababu hii elimu ilianzishwa na sisi Waislam and ili zungumzwa kwa kirefu sana miaka hiyo ya mwanzo wa ustaarabu. I hope ataendelea kutoa series ili kuwaelimisha waislam kwa kutumia hadithi na Quran.
@Aidhjuma
8 ай бұрын
Allahmaamini
@Aidhjuma
8 ай бұрын
Iyo ya wanaume naioataje nimeitafuta sijaipata
@ZasamNamwago
7 ай бұрын
Inaitwa Ivo ivo ingia hapo kweny akaunt yake utaona IPO juu ya hii ya mwanamke@@Aidhjuma
@sadasaid7212
8 ай бұрын
Maa shaa Allahu.. shekh wetu Asante sana. Jazakallahu khayran kwa elimu hii
@mahmoudmfaume8042
9 ай бұрын
Summary kuhusu Saikolojia ya Mwanamke: Vitu vya msingi (basic) alivyonavyo mwanamke; Anatumia hisia (hisia zake ziko karibu) zaidi kuliko logic (kufikiri kwa mpangilio). Anaweza kufanya mambo matatu, manne au zaidi kwa wakati mmoja tofauti na mwanaume. Matarajii ya ndoa kwa wanawake: 1. Utulivu. 2. Mapenzi (kwa maana pana) na huruma. 3. Kuthaminiwa na kushukuriwa. 4. Kujenga familia bora. Mambo 4 ni katika furaha ya ndoa: 1. Mke mwema. 2. Makazi mapana (Nyumba ya kujitosheleza). 3. Jirani mwema. 4. Kipando (Usafiri).
@nuurul-anwar1901
8 ай бұрын
hujaweka vizuri kalima zako
@mahmoudmfaume8042
8 ай бұрын
Ulitaka niwekeje?@@nuurul-anwar1901
@mahmoudmfaume8042
7 ай бұрын
Ulitaka niwekeje? em weka na zako tuone. Unataka unipangie jinsi ya kucomment? unafikiri sawa kweli??
Пікірлер: 42