Af uyo mwamba mwenye tshrt black yuko na voice safi ya utangazaji
@alibachirofficial3939
2 ай бұрын
I ve never see a smart dj like this one in the world 🌍 Is very intelligent
@eliacmaginya3429
2 ай бұрын
Aiport ya ethiopia nafkiri ndio airport ya kwanza kwa ukubwa barani africa na wana ndege za kumwaga ukiangalia kwenye uwanja. ndege za makampuni mengine ni chache sana ukilinganisha na ndege zao.Nafkiri uchumi wao mkubwa utakuwa unatokana na air transportation.Airport ya bongo kuna mida watu wachache sana lakini pale ethiopia sio mchana sio usiku utafikiri watu wapo mnadani wanatafuta viwalo.
@maryamtan682
2 ай бұрын
Pale ni km njia panda ya ndege kutoka nchi zt zk pale.
@nassercurtis9579
2 ай бұрын
Bro Ethiopia wanandege mpaka jumbo jet, yenye uwezo wa kuchukua hata abiria mia tano na mizigo yao na wana ndege zisizopungua 180 kwa ujumla wa ndege zote zao ni taifa la 5 lenye ndege nyingi Duniani, kwa Afrika ni namba moja, Ikiwa kidunia namba moja ni Emirates, namba mbili ni Qatar air ways, namba Fly Dubai, namba nne nì Ethihad, namba tano ni Ethiopia Air lines.
@bandanahmiqassa
2 ай бұрын
P.O.C Kwa namba duniani namba moja mpaka 3 ni delta airline american airline united airline
@theafricanprincevivecongo8632
2 ай бұрын
@@bandanahmiqassahell no, unaongelea international flight unaleta united airline
@hassanmkufya2867
2 ай бұрын
Nimependa dj unajua kizungu lkn unangea kiswahili ckama hao wanaojifanya neno moja la kiswahili.. Kizungu kingi
@ms_teeonly
2 ай бұрын
Good to see dj sma and giant man on this
@augustinenjagi6255
2 ай бұрын
Dj Sma badilisha hilo jina liwe DJ Smart you really know how to articulate issues
@djsma255
2 ай бұрын
🙏
@uwezokinahi7870
2 ай бұрын
I second
@juliusjustin4813
2 ай бұрын
@@djsma255sure dj smart
@user-jd6vr9xw1o
2 ай бұрын
Dj Sma is very smart ,ongereni SNS mnatuburudisha Kwa habari nzuri brother Sky unaweza.
@gochamso
2 ай бұрын
Mwambieni aache udini gaza gaza kila siku
@djalasaleh
2 ай бұрын
Hana udini. Wewe ndio ujielewi. Elimu Elimu......
@swazi-bmzwabusarawysd8083
2 ай бұрын
Pole na safari my favorite dj...Naimani fuse tunajambo linakuja karibuni in sha allah
@djsma255
2 ай бұрын
💯
@eliacmaginya3429
2 ай бұрын
DJ Sma kaongea sahihi namkubali mzee wa tafiti na kuconnect dot ingawa hajataka kuizungumzia kiundani. Kiufupi wasanii wengi wa nje ambao ni famous wanafanyakaz under satanic rules hata matendo yao ukiyataza utakonect dot ss inapokuja kutokea masanii unaenda contrary na matakwa yao kabla hawajakumaliza wanakutingisha kwanza.Utasukiwa kesi zenye karbu na ukweli maana skuzote pesa haishindwi kitu utataftiwa watu watakuchafua plus na ishu zako kupitia hiyo misukosuko utashuka kiuchumi ukibahatika kuchomoka hapo wanapanga njama za kukuuwa wala hutochukua mda so DJ sma big up nmeconnect dot.
@mathiaslaurent756
2 ай бұрын
@dj sma huyu jamaa ni mtu makini sana! Very smart haongei hovyo hovyo bali anaongea fact na madini matupu!
@piusdeo9380
2 ай бұрын
Nakubali sana sns
@Onlyfacts0224
2 ай бұрын
This guy mzuri sana huyu ni muandishi analysis nzuri sana.
@user-gb5vz6wm2q
2 ай бұрын
Nawakubali sana SNS,Sky,Dj Smaa na Jacob
@Supershopdubai-ck8td
2 ай бұрын
Good job from 🇧🇮💐🙏🙏🔥
@chishengakaponya8757
2 ай бұрын
To be honest Ethiopia Airport it's best Airport in Africa. Am Kenyan and i travel a lot and i can agree on that.
@gudlacf3432
2 ай бұрын
AL
@noahlameck1564
2 ай бұрын
Mwamba dj sma karudi noma sana Fuse fact twaisubiria kwa hamu Love sana sns ila udaku waachichie wakina esco😛
@Supershopdubai-ck8td
2 ай бұрын
Uyujama namkubali san anaakili sauti muonekano adilaha from 🇧🇮💐🙏🔥
@piusdeo9380
2 ай бұрын
Yup sasa kati ya hawa watatu
@jumaramadhan1600
2 ай бұрын
Kazi Safi Sana big 3 from sns salute 🫡
@AgentHG-dm7sn
2 ай бұрын
Brother Dj sma, sawa nimekuelewa kwa kuthibitisha sakata la, P didy.
@godfreykarata3710
Ай бұрын
Sns iko juuuuuuuu
@saidabdulkadirmjahid8255
2 ай бұрын
Mambo vipi ! Skywalker's all time intro . Haha!
@safarivahocha8077
2 ай бұрын
Watu weusi wanaonewa zaidi, hizi ni siasa za kuwashusha watu weusi. Rangi nyeusi inamtishia mzungu zaidi ya silaha ya nyuklia.
@user-bd5hq2kb4h
2 ай бұрын
Nd YNG SAMAHANI LKN JEE ,SS WENYEWE WATU WEUSI NI WATENDA HAKI?(KM NDIO THAN OK THANKS GOD au(ALHAMDULILLAH)LKN KM SIO ,SO HUWEZI KUIPATA HAKI KM SI MTENDA HAKI ,SORRY
@erickmisilakuba6426
2 ай бұрын
Ufahamu wako mdogo!
@rashidkatundu9674
2 ай бұрын
Sasa tunamsaidiaje😅@@erickmisilakuba6426
@barakambigi3522
Ай бұрын
Nani anaonewa?
@mathiasmarwa8999
2 ай бұрын
DJ Sma nimefurahi sana kwa kusimulia machache ya safari yako. Zuri zaidi umedaka mambo mengi sana , tunasubiri mezani Kaka
@SaraphinaKidoti-qe7gi
2 ай бұрын
Sema huyu dj sma anakili nyingi saana
@alexmugo3159
2 ай бұрын
Wazitoh,uku Kenya twawaskiliza
@rehemathoya8754
2 ай бұрын
Very interesting
@MkhayaSogadari
2 ай бұрын
Na southa Africa nivo magari nimkopo
@piusdeo9380
2 ай бұрын
Nawakubali sana wanangu
@salashbooben7622
Ай бұрын
Li Dj Sma ni li Google kinoma.. li mtu gani hili linajua kila kitu🤔🙌
@heliudjulias7748
2 ай бұрын
Dj smaa sharom pole na safari kumbe urikuwa haupo ndio maana sipati fuse na fact naamini umerudi nipata madini mengi
@GeorgeChitemo-kt8sw
2 ай бұрын
Anataka kujitoa freemason sasa freemason wanataka kuchukua mali zao sasa hapa wanampa muda kama akubari kuendelea na chama
@Oldskulgemini9991
2 ай бұрын
Wabongo mnamawazo meusi kinoma yani😂 nenda basi ukawasaidie polisi kwa ushuhuda😂
@l.marley_2542
2 ай бұрын
Ndivyo alivyokwambia??😂😂😂
@sophiakimaro5174
2 ай бұрын
Ethiopia ni shida mwenyewe nilitokea south africa kupitia Ethiopia nusu nipotee Airport kwao jamani
@user-jd6vr9xw1o
2 ай бұрын
Jacob ,ooh !! Saut inafurahisha
@sharifahabsi5004
2 ай бұрын
Pamoja from 🇴🇲
@NeemaSamson-ti8pc
Ай бұрын
Nimetokea kumpenda dj sma mnanisaidieje jamani kumfikishia ujumbe
@mhabimina4023
2 ай бұрын
🔥🔥🔥👌
@piusdeo9380
2 ай бұрын
Ila giant ndo habari kama hizi ndo anazivumbuanaga
@salashbooben7622
Ай бұрын
Brother Sky ye ni mzee wakutafuta majina😁
@NR-ll4sr
2 ай бұрын
❤
@shabanimagambo2381
2 ай бұрын
Jamaa anasauti nzuri kinyama
@saidranzuga5951
2 ай бұрын
Nipen like moja
@user-pd8gx8ff6w
2 ай бұрын
Strength of a woman. Shegy
@King_Of_Everything
2 ай бұрын
✌👍👊.
@tinershayo6191
2 ай бұрын
Angekuwa bongo na watoto
@elishasaidi
2 ай бұрын
Poleni sana wachambuzi, msimuhukumu Diddy kuhusiana na hili, kwa sbb chukueni kumbukumbu kuhusiana na kanye west kwa kile alichokuwa pitia kilimpelekea kuharibiwa cv na uchumi kushushwa na kuambiwa kuwa ana afya ya akili, lkn hayo yote yalikuwa ya kutengenezwa. Pia ya R kelly na hayohayo, na wengine wengi, sheria ni sheria marekani msizani kuna chochote kinachopindishwa hapa marekani, hawa wakitaka kukuangusha utaangushwa tu kwa aina yoyote, rais DN aliambiwa kuhusiana na maamuzi yake aliyokuwa akiyatowa kuwa anatakiwa kupimwa akili, hii hishu ni kubwa kuliko fahamu zenu. Kama hayo yote yalikuwa yanatokea inamaana mnataka kusema yeye alikuwa juu ya sheria
@piusdeo9380
2 ай бұрын
Nilikuwa nawasubilia vichwa vitatu hivi dj smaa sky na giant man
@jumaamsuya5
Ай бұрын
Kwakweli bando limeisha kialali nimejifunza sana gd
@sundymolls9673
2 ай бұрын
Dj Sma Airbuss hawatengenezi ndege aina ya dream liner Boing ndio wantengeneza 😂
@Bosskubwah4501
Ай бұрын
HIO NI FREEMASONS ndo upate nafasi
@safarivahocha8077
2 ай бұрын
Hawa watu wana mivitano ya ki gans, hivyo nilazima watungiane maneno. Kumbuka 50cent ni member wa Suprime Team ambayo ina uhusiano wakatibu na Bloods, wakati Diddy yuko Crips ambayo ni timu hasimu sana.
@user-od7os6gg7n
2 ай бұрын
50 Cent na Supreme ni Vitu viwili tofauti.....means ni maadui sana
@ray45king84
2 ай бұрын
Allegedly...take that,take that#nodiddy
@MariannaJoseph-uv2sp
2 ай бұрын
Mimi bwana ni shabiki wa p didy ila ukwili nihivi sio kwakua nimtu mweusi hapana niushetani wao wanakosea mashariti frimason kwassbabu tu kujionyesha na kujisahau kwahiyo frimason wanafanya kaziyao kamailivo Michael Jackson R Kelly na wengine so chenye mwazo kina mwisho so amrudie mungu wake kambla hawajamuuwa hivo yan
@erickmisilakuba6426
2 ай бұрын
Asante kwa ufahamu mkubwa
@zuberisalum2004
2 ай бұрын
Acha mawazo hayo lzm iwe Freemason
@matendoa.online803
2 ай бұрын
50cent anacho fanya sio Powa . Roho mbaya ile .ni kama Una wish kifo Cha adui yao ….😊 sikaha kubwa kwawa black artists ni ngono …ina bidi wa amuke, wawe na umoja
@ussiussi3413
2 ай бұрын
Msimsahau na "The Game" naye ametoa ushahidi wa kuliwa na P na alikuwa anatoa hiyo story akiwa analia.
@kibokibosho7476
2 ай бұрын
Haya sasa mzee alinunua ndege mkaanza kupiga kelele😂😂 ushuhuda huo wenzenu wanazo kibao
@charlesmbaga6088
2 ай бұрын
Mmeongea vizuri sisi tupo hapa California huyo jamaa wa kulia anakalili.. lol! Diddy & 50 cent wana beef kitambo kwa sbb anatembea na baby Mom wake pia amemuajiri kwenye sex worker program na Yung Miami.. jamaa huyo mweupe anajua ku chambua mambo yupo vizuri
@husseinmassawa7186
2 ай бұрын
Jay hawezi akaingia kwenye hiyo kesi kirahisi maana naye kwenye msala wa tupac yumo yumo😅😅
@NR-ll4sr
2 ай бұрын
Ethiopian Airlines achana kabisa,midege, yao 🇺🇸 ingia toka,ingia,toka,i think kwa sababu wa Ethiopia wengi wapo worldwide
@fahadfaraj6474
2 ай бұрын
Uchumi wa Ethiopia moja ya mapato yake makubwa ni ndege so ni jambo la kipaombele na istoshe wanaiyo kampuni kwa miaka mingi mnooo zaidi ya miaka 60 kabla hao waithopia hawajatoka wao wanandege
@ney_nation2544
2 ай бұрын
50 hawezi kumsikitikia diddy coz diddy alipita na baby mama wa 50
@Bbwaoy
2 ай бұрын
Ethiopia yes ndio nchi inayo ongoza kwa idadi kubwa ya ndege. Licha ya hivyo wana vyuo vya marubani pia, si acha pia ndio nchi yenye traffic kubwa ya wasafiri.
@djsma255
2 ай бұрын
💯
@tunsumegideonmwamboneke9639
2 ай бұрын
Sio kessy bana ni kassy as in cassandra , 😊
@kmotivation1130
2 ай бұрын
what come around goes around
@geofreydonald3176
2 ай бұрын
Naunga mkono 90% + inawezekana kweli amefanya maana feds wanaanzaga na uchunguzi na kupata ushahidi ndio wanachukua warranty na kukufata….Black American wengi wanapotoboa bata lao hua sio la kawaida mpaka wanakufuru…Hoods wanazotoka uhuni ni mwangi na ndiko walikotokea kabla ya kua maarufu…Ukiangalia ata series zao yale ndio maisha yao ya kila siku na ndio uhalisia wao na ndio maana mpaka mahakamani ata verse na video za nyimbo zao hua zinatumika
@elchapojr638
2 ай бұрын
DJ suma inaonekana ana mmind Didy😂😂😂
@rogerslwitiko3915
2 ай бұрын
Loon ameacha Muziki sasa ni Swala tano anaishi Egypt
@Oldskulgemini9991
2 ай бұрын
Alishapoteza huyo
@abelimwakijungu1226
2 ай бұрын
Marekani ndio zao, wanawatumia watu maarufu (hasa wasanii weusi) wakati wapo katika chati na hela, muda ukifika, wanawafilisi mali zao zote na kuwadhalilisha kwa kesi mfu. Cha kusikitisha jamii yao inajua na inashangilia sana mambo haya.
@Bama959
2 ай бұрын
Tatizo wote hamjaishi USA 🇺🇸, hamjui tabia za wazungu zilivyo kwa watu weusi maana kesi za kubambikiwa no nyingi sana na pia huwa hawapendi mtu mweusi adumu na utajiri wake. Na Dj sma usiwe na uwakika 100%.
@godsson5954
2 ай бұрын
sky unaniangusha sana ina maana kipnd kile XZIBIT anammpa shutuma diidyyy ulikua wap had anampeleka kwny gay bar wayback
@damyarma5351
2 ай бұрын
Nimependa san watu wenye akili ya uchapuzi kwenye meza moja, mm nilikuwa nataka kuongezea kuwa mfumo wa dunia aumtaki tena cz ata Jay-z amemkatahaa kitu ambacho amfaamu kuwa kutoka hap atakaefata ni Jayz au 50cnt kuze “Jayz ameisha anza utaratibu wakuwa kwenye dunia huru , wanaofaamu mfumo wa dunia awataki mtu ajitambuwe ndoman wanakuacha tu ufanye matukio kisha wakumalize vzr pale unapoleta vurugo au ukienda tofauti nao “ D alikuwa natka kujisafish ndokulikuja ubishi hapo coz kuna watu uhomsala unge wapata ndomana wanamzibiti mapema. Naukwl atobohiii 😢
@Oldskulgemini9991
2 ай бұрын
Hivi wabongo hizi vitu mnapataga wapi😂 yani nyie Kila kitu mnajua mnatetea vitu msivyovijua kwa mgongonwa kuonewa
@malkavoice2570
2 ай бұрын
Omario alifanya kazi na diddy lkn mpaka leo amedumaa nafikiri ni 7bu ya P.
@user-dl1mg2qf4n
2 ай бұрын
Sio kama hayo matendo ya Diddy walikuwa hawayajui, laa ila ipo namna Diddy ameenda kinyume na jamaa ambao wamempa huo utajiri, maana huo uchafu ni moja ya masharti yaao ila lipo alilo likosea
@kassimali3682
2 ай бұрын
Airport ya Ethopia ni HUB
@dingi-vk1tu
2 ай бұрын
we sky do your research 50Cent ana beef na Diddy sababu mama watoto wa 50 alikuwa na changu wa Diddy so 50 anammind mshkaji sana tu
@dennischarles8524
2 ай бұрын
Ni swala la when atapandishwa kizimbani
@Dolomitemusic
2 ай бұрын
SNS 4 life
@yohanaibrahim4128
2 ай бұрын
Nyie inaonekana hamuwajuhi wanawake
@selemanshaban7496
2 ай бұрын
SNS MKU VIZURI SANA
@FreeGod368
2 ай бұрын
Leo meskia sauti ya yule jamaa mwingine wa sns😂😂😂 aisee anaitwa jacob kumbe
@piusdeo9380
2 ай бұрын
Vip unamkunali mwamba kama mimi
@FreeGod368
2 ай бұрын
@@piusdeo9380 sanaaa kk🤣
@mvuneboy6287
2 ай бұрын
Uyu jamaa Jacob anasauti nzuri.sauki yakipekeee
@erickswai698
2 ай бұрын
sema hana pointi 😅😅
@PeterMalima-fc4tf
2 ай бұрын
Sauti ya Jacob ni ya mamlaka sana na haiendani na muonekano wake
@barnabasmafuru6735
2 ай бұрын
They give you fame. They give you shame 😂😂😂😂
@saidabdulkadirmjahid8255
2 ай бұрын
Facts
@patricknewguy8189
2 ай бұрын
Did he ???
@albertinamichael6123
2 ай бұрын
Kwa kumuuwa 2 pack na big anastahili kulipia yote hayo.
@ngusakabinza9238
2 ай бұрын
Mje na redio yenu jamani sisi masikini mnatumalizia MB zetu
@khalidsuleiman4588
2 ай бұрын
Hizo radio now ni digital watu wanastream online😂😂😂 1
@mnyamwezijuma1140
2 ай бұрын
Kumbe uyo mwamba jacob ndo mwenye Jaiva hilo 😂😂😂
@king_maik6375
2 ай бұрын
50 cent anauhakika na anachosema
@ibrahimaziz7158
2 ай бұрын
Yani huyu jamaaa ata akiongea ivi unaona km anasimulia makala gian men
@user-by6pe3yh2s
2 ай бұрын
Sijakuelewa
@shakilamasoud2983
2 ай бұрын
Sauti ya Jacob daa
@TinahFrank
2 ай бұрын
Roo inauma sana duuu yani sio kweli jamani nampenda sana pddy
@audaxmlowa9953
2 ай бұрын
Mfatilie vizuri utajua
@emmanuelmisalaba3169
2 ай бұрын
Kwani Rais mstaafu Hayati Ally Hassan Mwinyi ana wake wagapi?
@hamissimonami2519
2 ай бұрын
Did will never bounce back cuz wamekuta ameusika kummaliza 2 pac kwa namna moja ao nyingine ndo wanajumlisha dot
@NR-ll4sr
2 ай бұрын
Wanasema watoto wake walisaidia kupata wasichana
@mpanjumerius1882
2 ай бұрын
Illuminati wako behind
@FahadAbubakari
2 ай бұрын
Hakuna cha illuminati Hawa ni wahalifu walofanya uhalifu miaka mingi wamebainika sasa huyu alimuua hadi 2pac sasa illuminati vp
@ce-08
2 ай бұрын
Ethiopia ipo hvyo sababu hawana bahari hvyo baadhi ya mizigo mikubwa wanaingiza kwa njia ya anga hvyo lazma wawe na uwanja mkubwa zaidi ili kuruhusu ndege kubwa zaidi
@zuberisalum2004
2 ай бұрын
Wana tren ya umeme adiss Ababa to Djibouti' inasemekan ndio nchi inayojengwa kwakass African
@zuberisalum2004
2 ай бұрын
Karne yasaba mtume anasema muziki ni amali yashetannn
@hamsikrasheedi1796
2 ай бұрын
djsma 🫵🏽🔥
@user-ln8fy8yj5x
2 ай бұрын
Kuna namna SKY hawezi kutuliza hand gestures its really annoying
@SimuliziNaSauti
2 ай бұрын
You probably need help! How does someone's hand gestures annoy you?
@user-ln8fy8yj5x
2 ай бұрын
@@SimuliziNaSauti dakika za mwanzo za video mkono masikioni, shavuni, mdomoni, mic, under the table vyote kwa wakati... Yeye ndio apate Help
Ranga mwenye flana nyeusi punguza mbwe mbwe unabowa
@HansChuma
2 ай бұрын
Matajir wakimalekan wenye Asili ya watu Weusi hua hawataki kuja kuekeza africa hua malizao wanawekeza malekani tuu wanashindwa kujakuwekeza Ata Africa ndio maana malizao hua nirahisi sana kupukutiwa(kufilisiwa)hiyo ndio silaha kubwa wazungu wanayo tumia kwa nchi kama ya Malekani
@Oldskulgemini9991
2 ай бұрын
Kwanini waje kuwekeza Africa kwani wanakujua sisi😂 tuache kujipendekeza
@aediayumgo8546
2 ай бұрын
Ukitaka kujua ubaya Hollywood muulize Lupita Nyong'o
Пікірлер: 168