Thabo Bester mwamba kabisa kichwani,,ni watoto waliopitia mateso akaja kuwa muhalifu,mbakaji akihisi anautibu moyo wake ,,ni Ginias wa michoro ya kihalifu kama ..na wabongo ndio walimkamata huku na Nandipha
@rayMustafa-jf9hh
23 күн бұрын
Kwamtu mwenye uelewa mkubwa anaweza akamuonea huruma! Binafsi naumia Sana! Kama mzazi! Kunaktu tunatakiwa kujifunza kama wazaz katika malezi!😢
@rayMustafa-jf9hh
23 күн бұрын
Anaweza akajidhuru
@patriciacarlo7236
26 күн бұрын
Childhood memories,zimemfanya awe katili
@allahisone6386
25 күн бұрын
Eeweeeeeh_🤔
@faucynkrctian6607
24 күн бұрын
We umejuaje..
@rayMustafa-jf9hh
23 күн бұрын
Ni saikolojia tu ndo itamsaidia kwakweli
@user-qr9mr3xu6q
25 күн бұрын
Thank you for updating us about this genius man
@AishaSalaga-rv7sb
26 күн бұрын
Maskini Thabo alilawitiwa akiwa mdogo na huenda hii ndiyo sababu yeye kuwa hivi
@masalakulwa7601
26 күн бұрын
yes na mamake amintelekeza alikua mlev mbwa
@nicolenabintu2509
25 күн бұрын
Ame pitia mengi sana , huyu ata weza kuitetea inchi sasa
@monicacyprian9137
26 күн бұрын
Nilijua kesi yake imeshaishaa duuh nandipa amekonda duuu sio poa
@azathyazid6976
9 күн бұрын
I swear msiombe yakukute aseee niliomba hadi kifo enzi hizo unaathirika kisaikolojia kabisaaa maana sio pouwa ila namshukur Mwenyezi Mungu kunifikisha hapa nilipo leo
@hamisaally968
25 күн бұрын
Daah kaka sky eti kotiiii la nguvuu😅😅😅
@agriparose3942
2 күн бұрын
Jamani msikilizeni juu ya kunyongwa mana huyu handsome Kuna uwezekano ma sleyqeen kuandamana,jamani hebu ona hiyo confidence aliyonayo mwamba wampe kitengo nini huyu ?
@safirubberstamp95
26 күн бұрын
Mtu wa maana kabisa
@user-ye3fy9kk6r
26 күн бұрын
Maamuzi ya kishujaa,safi
@GraceMakenga-zd1vn
21 күн бұрын
Nyie ombeni yasiwakute wala yasitokee kwenye familia😢😢😢
@edinakyaruzi9226
16 күн бұрын
Kweli kabisa
@masalakulwa7601
26 күн бұрын
namfatilia mnoo
@King_Of_Everything
26 күн бұрын
✌️👊👍.
@sonnyr1899
26 күн бұрын
Jama ni mkaidi Sugu kweli ila afadhali kaamua kumtetea mpenzi wake.
@daudzacharia6042
26 күн бұрын
kibaya sheria haitolewi kwa huruma..kusaidia kufanikisha kitu chcht kisheria ww n muharifu...
@omeraJR
26 күн бұрын
Na hapo bado ajalewa🤗
@faridamohammad004
26 күн бұрын
Ni kwasababu anataka nandipha arudi kulea watoto..amewazia watoto wa nadhipha na sio kwamba anampenda awe huru tu
@hamisaally968
25 күн бұрын
Kwani wotee wakifa hao watoto awatolelewa au kukuwaa ndugy upendo upo 😅😅 sema ujakutana nao
@sophiaremmy6326
24 күн бұрын
Ndo upendo huo au we unaelewa nini kuhusu upendo
@Brunotarimo10
26 күн бұрын
Karibu crown media
@erickabel6201
25 күн бұрын
Tuondolee ushirikina apa
@noelmarapachi1808
25 күн бұрын
@@erickabel6201 😂😂😂😂😂
@fadhilimpini
18 күн бұрын
Crown media tipo pamoja from Mozambique
@Brunotarimo10
2 күн бұрын
@@fadhilimpini big up
@Brunotarimo10
2 күн бұрын
@@erickabel6201 ww ndo mchawi
@hajjiomary2383
25 күн бұрын
Nataka dj smaa atuandalie taarifa za Marekani kuwatishia mahakama ya kimataifa na kuwawekea vikwazo .kuna nini nyuma ya pazia
@Mbisamazembe
24 күн бұрын
Freedom phela 😢
@AishaHaji-jn7sg
26 күн бұрын
Forever weeeeeeeenaaaaa😂😂😂😂😂😂😂😂
@ASALABOY
25 күн бұрын
SnS inaunguruma ukweli n UWAKIKA aina umbambamba
@loveness5780
25 күн бұрын
Hapa nawaz kwa saut yaan huyu dd kaikimbia ndoa yake mwishoe yupo jela huenda huyu mwamba akafungwa huyu dd akatoka swali n je!!akitoka itakuwaje😅anyway mapenz n upofu ila same time ujinga ni gereza
@dullahtechtz3422
26 күн бұрын
Anakazania nandipa aachiwe ili amtoroshe tena
@GMk-fw4vd
26 күн бұрын
😢😢😢😢😢
@noelmarapachi1808
25 күн бұрын
Maumivu ya Moyo/Nafsi/Saikolojia yasipotibiwa, hujilimbikiza na kuja kuleta tatizo mbadala baadaye (side effects), ndicho kilicho mkuta huyu bwana, Mungu Amemuumba ni genius, but maumivu ya moyo na saikolojia ambayo hayakutibiwa yamezaa side effects na yanataka kubadili hatma nzuri ambayo Mungu Aliikusudia kwa genius huyu
@dj_wijo
21 күн бұрын
Bad man
@sundaymsomi6284
26 күн бұрын
Hapa ni Africa mfungwa kapendeza yupo safi ila njoo Bongo mfungwa mara nyingi anaonekana ni mchafu mchafu kwasababu ya mazingira yanayomzunguka gerezani
@joshualazaro1641
17 күн бұрын
Sio kweli, kupendeza au kuchafuka kwa mahabusu kunategemeana na ninyi mliopo nje. Wapo mahabusu wengi tu bongo wanahangaikiwa na ndugu zao wanafika mahakamani wakiwa smart kwasababu wanaletewa nguo. Wengi wa mahabusu wa huku wametelekezwa na ndugu, jamaa na marafiki kwasababu ya kukwepa majukumu au kuhukumu faster.
@nancyg8664
12 күн бұрын
😂😂😂kwani bongo ni Asia
@user-zv2ng6ov2k
25 күн бұрын
namusikilia huluma pia masikini
@dainagano3656
25 күн бұрын
Msichana yupo na edges na msuko na lashes nzuri jela..
@erycah
25 күн бұрын
mbona humuongelei mtuhumiwa kuvaa suti
@hildagabriel1003
8 күн бұрын
😂😂😂
@adrianomaulaga1599
5 күн бұрын
Wafungwa wa huko sio kama wabongo
@chainbre275
26 күн бұрын
Wezi wote huwa wako genius sanaaaaa kuna chanzo kikumbwa wao kuwa Wezi siyo bure
@edwardtrigga5701
26 күн бұрын
Nani amekwambia ni mwizi huyu
@queenlinda255
26 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣 embu acha kunichesha bwana 🤣🤣🤣🤣🤣
@chainbre275
25 күн бұрын
@@edwardtrigga5701 jiulize why ameshukiliwa au fwatilia story zake hapa hapa sns uta pata jibu
@vincegelas
23 күн бұрын
Kama mm
@nancyg8664
12 күн бұрын
😂sema wahalifu
@FaridaFaridaseif
23 күн бұрын
Mwanamke Ana muhurumia bwanake
@SaidZakwani
15 күн бұрын
Thambo in Cort
@kassimahmed1831
25 күн бұрын
Ni Atari Sana uyu Jamaa kama Osama
@samsonsamwel8782
22 күн бұрын
Muachien bwana ila tz nao viherehere cmngemuacha2 mbona arusha hakubakaga alkuw anaendelea na maish yake saf2
@aediayumgo8546
25 күн бұрын
Wanoko polisi wa Tanzania ndiyo wamemfikisha hapa angeingia Kenya angekuwa salama,😫😫😫
@jasonwatz7457
17 күн бұрын
Ni mtuhumiwa kama wengine
@aediayumgo8546
17 күн бұрын
@@jasonwatz7457 Kwa lipi polisi wapenda sofa bongo
@chainbre275
26 күн бұрын
Mapenzi bana lol sasa akifa yeye bibie atabaki salama kweli 😢
@honestyerasto
26 күн бұрын
Hapa kuna namna viongozi wa serikali wanahusika na jamaa alikuwa kama chambo wa kuficha makucha yao
@priscalaiton38
17 күн бұрын
Nandipha hana Raha kabisa
@khurlainashly5686
26 күн бұрын
😢😢
@isackmgema7376
25 күн бұрын
Hivi huko jela Huwa Kuna saloon
@lydialaurian4734
26 күн бұрын
Huyu si alikua anafanya vikao jela huyu na akijiselfii Leo vyuma vimekazwaa anaomba afe????
@BarnabaBuhoma
26 күн бұрын
Hawa ndio wale wanaume,…..akikosea yeye asiadhibiwe; akikosea mwingine aadhibiwe. Akiua yeye sheria isichukue mkondo wake. Akiua mwingine sheria ifuate makondo wake. Hawaamini katika kukosea. Hata wakikosea ni bahata mbaya. Halafu huyu ndio mume wako mtarajiwa. Lazima akutoe jasho. Kuweni makini wanawake. Sio kila mwanaume afaa kuwa mume wako. Wengine ni mashetani.
@rumdeesonsoa1811
26 күн бұрын
Unawashauri wanawake wenzako?
@BarnabaBuhoma
26 күн бұрын
@@rumdeesonsoa1811 wakati mwingine fanya kujiheshimu…tangu lini mwanamke akaitwa Barnaba????
@epicart3351
26 күн бұрын
Ata mimi nilijua wewe ni mwanamke kwa ushauri ulioutoa. Bado hata siamini kama wewe ni mwanaume
@BarnabaBuhoma
26 күн бұрын
@@epicart3351 mimi ni jembe mwenzako kama wewe ni mwanaume.. halafu mimi ni mwana saikolojia. Sina ugomvi na wanaume wenzangu. Ila ukivunja sheria ya nchi, utachukuliwa hatua kwa majibu wa sheria uliyoivunja.
@queenlinda255
26 күн бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣 amekimbia
@user-go5wb2pi2i
25 күн бұрын
Huyu kakubali kosa namwona kabisa atasamehewa
@surusuru1994
26 күн бұрын
Duuh hatari
@hamisibakari342
24 күн бұрын
HUYUJAMAA kama Anamkama mkeo kwakumpa maneno matamu hakika Kesho make Tu Anabebamizigi yake anakuacha😂😂😂
@johnmichaellukindo21
26 күн бұрын
muongo sana kibaka muyaji!😅
@Ibrahim-ne3in
25 күн бұрын
Mwamba kweli kweli 😂😂😂
@HeboniBabu
25 күн бұрын
Watanzania bana kilakitu wewe muwongo mulikuwepo au mnashabikiatu musingiliye mambo yasio wausu kushabikia mambotu yakwenu yanawashinda uko
@vincej9275
21 күн бұрын
Katili muuwaji. The girl friend doctor or Nurse wasted her life with this Thabo Bester.
@ShadyAbdallah-vu7iu
26 күн бұрын
Paka namuonea huruma
@rumdeesonsoa1811
26 күн бұрын
Paka yupi?
@vickydan2869
26 күн бұрын
Jamani😅paka@@rumdeesonsoa1811
@queenlinda255
26 күн бұрын
@@rumdeesonsoa1811🤣🤣🤣🤣🤣
@ukiasili352
25 күн бұрын
😂😂@@rumdeesonsoa1811
@Zenamkuta
25 күн бұрын
jamani nimeingia hapa hata sijui ilikua kesi yanini au wamefanya nini hawa watu? na hawa wawapi jamani mnisaidie nataka kujua plz😳
@aliciaprojestus2336
24 күн бұрын
Search taarifa zao kuna mengi kuwahusu
@alextanzania
26 күн бұрын
Hana lolote huyo anashurutisha mahakama. Kifo hakina shujaa hapo anaongea tu lakini hamaanishi.
@deogratiusyudatadei5658
25 күн бұрын
Anatuletea drama tu hapo Hana lolote kila mmoja alipe sawa na kile alicho kifanya Kama ni hukumu ya kunyongwa wa nyogwe wote na Kama ni kifungo wafungwe wote
@SaidZakwani
15 күн бұрын
Thambo basta
@nancyg8664
12 күн бұрын
😂ndo nn
@user-wu8qe4fv4j
26 күн бұрын
Muuwaji mkumbwa
@Auntieminah
23 күн бұрын
Mjinga tu pamoja na uyo demu wake, walivo flee kwenye Nchi za watu uyo Nandhipha si alijua kabisa anamsaidia mtuhumiwa! Asiiforce mahakama kufanya vitu anavyovitaka
@JasminEddy-cc3tx
25 күн бұрын
Anamtetea Dem wake atoke amtoroshe tena dah
@vickydan2869
26 күн бұрын
Hata ungekuwa wewe usingemtorosha mkaka kama huyu
@edwardtrigga5701
26 күн бұрын
Wanawake na ujinga Siri yenu ni ipi
@kwisa4899
26 күн бұрын
@@edwardtrigga5701😂😂😂😂
@mariamjoseph3530
26 күн бұрын
Mkaka mzuri hivyo ata mm ningemtorosha mpenz wangu😅😅
Пікірлер: 115