Umeongea point, Mungu akubariki,tunataka watu kama hawa,safiii sana
@mwanatz5980
Жыл бұрын
Safi sana hongereni tumewaelewa sana, maana Dr mwaka usitukane viongozi wetu.
@ruqaiamohammed345
Жыл бұрын
Kbs atoe talaka tu
@amrisabit9857
Жыл бұрын
Mash'allah Mimi ni Mkongomani 🇨🇩 napenda sheikh mwaipopo akiongea na burudika sana wallahi
@eng.saalim8646
Жыл бұрын
Kwa sabb ww ni jaahil ndo maana anakukosha
@claudia1500
Жыл бұрын
Safi sana,mpeni Queen haki yake,yule si mume kwa kweli
@reynaaalrawahi4137
Жыл бұрын
💯
@alimussa2655
Жыл бұрын
Shehe kafafanua vizur
@nth3512
Жыл бұрын
Sasa kwa nini hamuwasiliani wenyewe kwa wenyewe kabla kuja kwenye media? Yani hapa utiifu hamna, kila mtu anajiona msomi wakati elimu ndogo. Daah kazi kweli kweli. Ndo maana maswahaba walikuwa wakali sana.
@mudrikramadhani32
Жыл бұрын
Kiukweli nilikua upande wa hawa masheh Ila kusikia kauli zao hizi kauli zao za Leo kweli haya ni wahuni Tena wahuni kweli (eti watu amechukua mzigo wanakula) aiseee hii dini inapokwenda mungu atuhirumie aiseee
@lukiyakimolo3409
Жыл бұрын
Dokta mwaka nimbabaifu Mbona hata Mimi ndoa yangu ilikuvunjwa nabakwata miaka ya 2004
@Emedroadtocanada
Жыл бұрын
Kitendo cha kuwaita masheikh WAHUNI yan amenikera huyu mjinga mwaka
@princechriss3654
Жыл бұрын
Ni wahuni kweli
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
@@princechriss3654 na wew pia
@salmangalihya9607
Жыл бұрын
Huu ni mtihani WA media. Allah atunusuru.
@sharifasuleiman1272
Жыл бұрын
Mh!Allah atupe Elim ili tufanye maamuzi sahihi ktk harakati zetu!
@hannymasu732
Жыл бұрын
Ma Shaa ALLAH. Hongereni sana Masheikh wetu kwa kusimamia haki. Tunamuomba ALLAH SUBHANAHU WA TA'ALA awatangulie kwa kila hatua, Allahuma Aamiin.🤲🏽
@hotelzanzibar5679
Жыл бұрын
Duu kumbe katiba
@bjngft4985
Жыл бұрын
BUSARA NI NN? Kiongozi wenu- “wajanja wamechukua mzigo(mke wa Dr. Mwaka ule wanaburudika nao(Kauli gani hizi).”
@danielshauri6390
Жыл бұрын
Wamesimamia haki ipi, wakati wametoa hukumu yakuvunja ndoa bila kumuita docta mwaka???? Pili , wana midomo michafu, et wajanja wanakula mzigo , wanaburudika. HAWA NDIO VIONGOZI WENU WADINI ???? KAULI ZA KIHUNI KUTOKA KWA VIONGOZI NI AIBU KWA DINI
@sifatiiman
Жыл бұрын
@@danielshauri6390 ameitwa mara kibao hakwenda kwa hio lengo lake nini kama hamuhudumii mkewe mwaka mzima acha mihemko wewe
@ashurajengela3926
Жыл бұрын
@@danielshauri6390 ameitwa mara ngapi na hajaenda?! Mwaka mzima ajapata nafasi ya kwenda kusikiliza shauri lake ?! acha ujinga ww ulitaka dada wawatu aendelee kuteseka kisa tu mtu anaringia jina alilo nalo yani muda wa kwenda bakwata hajapata ila wa kwenda ulaya kula bata anao shenzi kabisa
@newswireKenya
Жыл бұрын
A doctor by professional, Mwaka should accept and move, Earlier he had more than two wifes why can't he let Queen be. Huyu ana ujinga Sana Mwaka
@officialkamdudu
Жыл бұрын
kwanza wanandoa kama hamjafanya tendo la ndoa ndani ya miezi 3 kama hakuna sababu za msingi kama kusafir,kuumwa nk. hapo hakuna ndoa. isitoshe mmoja wa wanandoa mapenzi yanapoisha juu ya mwenzie hapo hakuna ndoa tena. ni wazi Queen hana tena mapenzi na Mwaka sasa sijui uhalali wa ndoa hio unatoka wapi. Masheikh wetu kwani mna shida gani ?
@fatumabakari96
Жыл бұрын
Ni kweli kabisa
@ramadhanirama7970
Жыл бұрын
Nandio maafundisho ya mtume sasa uhalali wa ndoa ya d mwaka uko wapi? Mtu yuko mbali na mkewe mwaka mzima halafu ety bado anayo ndoa mmhhh!!
@officialkamdudu
Жыл бұрын
@@ramadhanirama7970 nashangaa ndoa imekua siasa mimi sioni uhalali wa hio ndoa mpaka muda huu
@mwajumaabdallah3254
Жыл бұрын
Hii kweli tamthilia,hivi tupo episode ya ngapi vile??😂😂
@zenachuo2963
Жыл бұрын
Ya4 leo
@priscachale5646
Жыл бұрын
3
@csato9415
Жыл бұрын
Picha linaendelea, bingwa kulala na wanawake wawili kitanda kimoja @ dr.mwaka, analeta mkoroganyo kwenye dini.🤔
@estherkibajiro3480
Жыл бұрын
Hahaha 🤣🤣 yan hawa watu wanapenda ushindani😂
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Wallah 😆 unachek hayajakufika hujaamini kama Dunia ni adaa
@abdihassanomar5648
Жыл бұрын
Hao mashekhe wanaomtetea Dr mwaka njaa inawasumbuwa saana wanatakiwa watimiliwe wote bakwata,wasifanye dini ni tamthilia dini ina sheria zake nazo ni Qur-an na Sunnah hakuna kingine
@saidihilali1201
Жыл бұрын
Ila mimi sishangai mana Hao Hao ndo wanao watetea wanao watukana Maswahaba wa mtume, mimi ninacho kiona ni laana Allah iko anawapiga kutokana na bidaa ya maulidi na kupindisha dini kisa Tamaa ya tumbo zao
@husseinmaula4965
Жыл бұрын
Mashekhe hakuna hapa kila mtu asimame ktk msimamo wake wa kumuamini ALLHA.
@amirikoshuma6022
Жыл бұрын
Jamani mbona kila siku tubavutana wenyewe kwa wenyewe
@ummulkulsum6124
Жыл бұрын
Subhannallah mungu akufanyie wepes dada queen maana dr mwaka kachafua hali ya hewa
@kassimali2273
Жыл бұрын
Alochafua ni uyo Queen kuleta jambo la ndoa kwenye public ao mashekh wote hawana mamlaka ya kutoa talaka
@sifatiiman
Жыл бұрын
@@kassimali2273 kwa nini huyo dr mwaka alikua haendi kila anapoitwa dada wa watu kila mara anaenda anapigwa tarehe we vipi huyo dr mwaka anahonga vi hela tulieni bora mambo yalivokuja uku kafanya vizuri sana
@kassimali2273
Жыл бұрын
@@sifatiiman haya
@ashurajengela3926
Жыл бұрын
@@kassimali2273 ulitaka apeleke wapi ikiwa mwaka mzima anafuatilia talaka na hapewi talaka wala matunzo ya familia ?! Mnapenda sana kuona wanawake wanaonewa na kuteseka,, Safi sana bakwata mtu anaitwa mwaka mzima anasema hapati muda ila wa kwenda ulaya kula bata anao
@aishaalbalushaishabalush8291
Жыл бұрын
@@kassimali2273 mwaka ndio alioanza ziweka ndowa zake public so wafrica mue na akili yakujua kuchuja jambo
@sophiamumbe888
Жыл бұрын
Ass aleyk Mashehe mmenifurahisha sana mungu atawalinda kwa kila baya huyo dk Mwaka ni mpumbavu na ametahayari
@jumaamartin7929
Жыл бұрын
mwenyezi mungu amesema kabla hujatoa aibu ya mwenzako hadharani utoe yako kwanza.pili mwenyezi mungu anasema ukimstiri aibu ya mja mwenzako Allah atakustiri siku ya kiama.mashekhe wetu mbao pigana vijembe mmeyasahau haya?
@hamadasaa9509
Жыл бұрын
Wallah bila waislam kukaa na msimamo na mashekhe kuwa na msimamo itabakia kudharauliwa uislam na mashekhe wetu inauma sana viongoz wetu wa dini kuitwa wahuni nn anajiamini huyo mwaka mashee mukitetereka nyie na ss tunao wafata vp tutakuwa wap tutaelekea Allah wasimamishe na haki juu ya dini yetu na awasimamishe imara juu ya uongoz wenu
@hailinhelen4675
Жыл бұрын
Duh hii kweli dunia ya mwisho ndowa inavunjwa asubuhi ikabatilishwa jioni mtihani huu masheikhe na maulamaa unatupeleka wapi
@sophiahmedza929
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@SalminMkwachu
Жыл бұрын
Ni wazi Kuna swala la dhulma linaendelea lakini, Viongozi wenye hofu ya Mwenyezi Mungu watasimamia Kwa yeyote mwenye haki katika hili Kwa kufuata hukum zilizopo katika Quran na Sunnah, na sio hukumu za matakwa ya nafsi. Mwenyezi Mungu awaongoze katika hili inshallah lisije likawa mwanya wa kuonea yoyote yule mwenye haki. Amin
Wanawake wengi tuna yanyasika na kudhulumika pamoja na watoto wetu kwenye ndowa na ukidai talaka unapewa wewe na watoto wako yeye inakuwa sio babatena hili lazima mulikemee viongozi wetu wa kidini vilio vyetu muvisikie jamani kesho kwa Allah mtakuja kujibu
@hasanoshohilali10
Жыл бұрын
ulitaka iweje
@abbychibu5590
Жыл бұрын
Sasa haya mambo jmn nikama yanauchawa Sana wallah
@salmasalim3525
Жыл бұрын
Mwaipopo big up
@nurukwilabya2790
Жыл бұрын
Yani 😆😆😆😆 Mwezi wa kwanza umekua mrefu Sana, ukigeuka huku Kimaro ukijikuna Haji manara ukijipapasa Dr Mwaka Mweeeeeh Mwaka utaisha tukuwa tumechoka hoi 🤣🤣🤣🤣
@mamajaphety1624
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂
@latifahjamal2999
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@mkohoexperience7322
Жыл бұрын
Na watu tunaofatilia hiphop Dizasta Vina na Rapcha tena wakakiwasha january
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
😆😆🙌🙌 Nimechek Kwa kubana sauti ili nisiskik
@deborahmchona5584
Жыл бұрын
Haki huu mwaka tutaumaliza tukiwa Hoi kma January ndo hii 🙉🙉🙊
@kosovonaiiem782
Жыл бұрын
Nyinyi mashekh gani hata sura zenu nuru hakuna nyinyi sio watu wazuri
@azizaaziza7996
Жыл бұрын
Hio Nuru ukishakuwa nayo wewe tu inatoshaaaaaaa kifirigiso mmoja wewe
@kosovonaiiem782
Жыл бұрын
@@azizaaziza7996 pumbavu
@azizaaziza7996
Жыл бұрын
Hee we bwege nini mumbavunu unamjuwa wewe hebu tia mkono humo ndani ya boxsa utakae mkuta ndie pumbavu mwezio fala mmoja wewe nyokoooooo
Shehe umeongea cha maana sana hongera sana mungu akubariki sana amina
@neemamasimba2981
Жыл бұрын
Mimi ni mkristo ila ,kitendo cha mwaka kuwakejeli viongozi wa dini sijakipenda , ila angeweza kujishusha na kuwaendea viongozi wake wa kidini ili kulimaliza.
@jamilahsakina1561
Жыл бұрын
😂😂😂😂😂😂hii nchi jamani alafu mnatufulaisha sisi wambea yani mnatutoa mawazo jamani
@mapalalaabiola1815
Жыл бұрын
😀😀😀Sheikh anasema eti iyo ni Song Song ya Bongisa daah kweli hatari
@michaeljohn9070
Жыл бұрын
halafu akiitwa muhuni ana mind😂😂😂
@fadhilplatnumz8474
Жыл бұрын
👏👏Mashekhe oyee👍
@salymkitumbika8644
Жыл бұрын
Dah subhanallah Masheikh Media mkiziendekeza mtatupotosha pia Masuala ya Ndoa ni Baina ya watu wawili hiileo wakielewana nyusozenu mtaziweka wapi? Tuache kulishadadia jambohili Mungu MWENYEWE anaichukia pili MNAMAGOMVIYENU BINAFSI NA MWAKA Si mwaka ni Malaika laahasha ila MASUALA mengine yakumaliza kimyakimya
@mohammedabdallah6390
Жыл бұрын
Alaaah!! Kumbe kuna kukamata mpunga 🤣🤣🤣 sheikhe usiseme hivyo bhana eti wajanja wamechukua goma🤣🤣
@pascalngalawapascalngalawa5714
Жыл бұрын
Hawa jamaa ukisikiliza maneno yao tu kweli ni wahuni hata lugha wanatumia ni mbovu mwamke wana muita mzigo Eti ndo viongoz wa dini
@mwasitihamisi2477
Жыл бұрын
wew huna unacho kijuwa Allah akuhiji
@mwajumaabdallah3254
Жыл бұрын
Wenyewe kwa wenyewe tunazongana sasa,jamanii,so sad.
@BenjaminHenry
Жыл бұрын
Nawashauri wote Mumwamini Bwana Yesu kristo kuwa Bwana na mwokozi wa maisha yenu mbatizwe kwa jina lake nanyi mtaokoka .
@sifamushi1747
Жыл бұрын
👏👏👏👏👍
@leymanleyman7426
Жыл бұрын
Huyu Dr.mwaka akili hana na pia linaonekana linaroho mbaya maana kama mwanamke humuhudumii utalazimishaje kuwa bado ni mkeo? Mwaka anatumia hela zake kuwatumia baadhi ya watu wenye njaa.
@alimussa2655
Жыл бұрын
Jamaaa ana roho mbaya kweli yule
@betricemainoya4176
Жыл бұрын
Nashangsaa na wale wanaomshangilia na kuvurahia maovu yake,sbb wapo kama yeye tuu
@ramadhanimwaimu2549
Жыл бұрын
Mashehe wamchongo hao njaa zinawasumbua
@alliancendabarushimana4570
Жыл бұрын
Wahuni watupu
@johnmwasilu7087
Жыл бұрын
@@alliancendabarushimana4570 na mimi nimewashtukia
@ahmedhunter1345
Жыл бұрын
Kigenge cha wahuni tu. Hamna shekhe hapa, yaani mlivyoongea ndio tumepata picha halisi ukiachilia hizo kanzu na ndevu hamna zaidi ya wasanii tu hapo wanaona raha kutumia nyadhifa kupata umaarufu wao wa dakika 20. Mna dhima kubwa sana mbele ya mungu endeleeni kuipaka mavi dini ya Allah.
@muna9741
Жыл бұрын
Shekhe mwaipopo nimekupenda sana kuna neno umeongea mwanaume anakuwa jeuri siku mambo yamemuelemea na a ajua eti kuna ndugu ni atoe talaka asijifanye haelewi
@geochris5983
Жыл бұрын
Doctor mwaka analeta mambo meusi huyu jama ache kuleta ujinga
@innocentwakisa9731
Жыл бұрын
Eti mzigo ushachukuliwa na kuna watu wanaburudika nao 😆😆😆😆
@bongorecaps3558
Жыл бұрын
Af mtu akiitwa mhuni anakataaaa!!!
@aicahmomy1578
Жыл бұрын
Hahaaaa
@charlesmugisha6529
Жыл бұрын
Awa mashekh nimewapenda Sana wako vizuri na wanaonekana ni watu wa mungu🙏🙏🙏 inshallah.
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Ndio mie sioni kama hapo Pako ndoa Tena 🤔
@shamimushittindi1418
Жыл бұрын
Hasa kaka yangu mwaipopo
@deven.oauditx7547
Жыл бұрын
Hawa ndiyo masheikh ubwabwa! Kama wote ni wa Bakwata kwa nini masheikh wote msikutane kwenye vikao rasmi mkayajenga?
@ziadaskitchen5060
Жыл бұрын
Allah tustili ya Rabb
@husna34562
Жыл бұрын
Amiin
@bigemagomabigemagoma6312
Жыл бұрын
Hawa ni machawa wa shekh alie tenguliwa Alhad musa
@profs.a5412
Жыл бұрын
🤣🤣😂😂 hii part 3, movie inaendelea🤣
@lucymtuka3199
Жыл бұрын
Asante sana viongozi wa dini wanawake wananyanyasika sana
@warakawayohana2896
Жыл бұрын
Mwaipopo noma🤣🤣
@jemamhagama4978
Жыл бұрын
Tatizo ni shule ! Nimeishika iyo . nyingine viingizi mazuzu.
@jemadarimimi1642
Жыл бұрын
Mnasema mnafuata quran na sunnah,je nyinyi mtuambia quran mmehifuata au ndo mmefuata katiba ya bakwata.
@chenganjerry5273
Жыл бұрын
Sio muislam ila nimemuelewa sana sheikh Nimeelewa sana dr mwaka anajiharibia brand haya mambo yalitakiwa yaishe chini kwa chini
@sarahtaste2876
Жыл бұрын
Dr mwaka ndo mbabaifu kama alikua hataki haya kwann asitoe talaka embu kwenda uko unaudhi sana anajiona special sana
@kiri5807
Жыл бұрын
Mwanamke akikudai talaka umpe sijui yeye Dr Mwaka anaforce issue .
@bibliakitabukitamu6015
Жыл бұрын
We unajibu jibu tu na hujui kitu wewe walivyopendana na walivyokubaliana ulikwepo
@sarahtaste2876
Жыл бұрын
@@bibliakitabukitamu6015 ngoja nikujeshimu kwasababu ya username yako
@bibliakitabukitamu6015
Жыл бұрын
@@sarahtaste2876 Never do that If to say the truth by being respected I Don't need that,,, Wanawake wamekuwa changamoto sana siku hizi kabla nilikuwa kama wewe na nilivyoachia akili angu siwezi kuendana na Dunia.... The Bible opened me But if The Bible is not true am lost, en if is true You will testified😭
@sarahtaste2876
Жыл бұрын
@@bibliakitabukitamu6015 then haina ulazima wa ww kujibu comment yangu darling pita tu we can't all be the same mentally sihitaji makasiriko sikujui kwanza so back off my comment
@HassanHassan-si2rt
Жыл бұрын
Bakwata nyie ni miyeyusho sana
@jumakassim8718
Жыл бұрын
Sanaa
@directshare7586
Жыл бұрын
12:04 eee wee uki Beepu sisi tuna.......... HABARI ndo hiyo
@saidasalum8826
Жыл бұрын
Yaani hapo shekhe wa mkoa hana makosa ila mwaka anaona haya na aibu hayo ni malipo ya mungu kama anaugomvi na shekhe alimtukana sana mwaka ana matatizo mpaka mkewe kamueka lockup loo hiyo ni ishara tu kama ni mkorofi yaani mueleweni shekhe vizuri sana.
@deogratiusnjau1744
Жыл бұрын
Njaa mbaya sana.
@abn8331
Жыл бұрын
Kuna maneno yanaongewa ya hovyo sana humu
@abdusalamrugami3520
Жыл бұрын
Allah awape umoja nanheshima viongozi na mashekhe wote wa waislam
@ramadhaniramadhani3774
Жыл бұрын
Sheikh shariff na kamati yako hiyo,, asanteni sana,, kwa kusimamia haki, ya pande zote, simameni imara ili sisi maamuma, tupate watetezi, hakika sheikh salum hajatendewa haki
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Lakini ni kweli jamani 🤔 mie sioni kama hapo Pako ndoa Tena 🤔 Queen yeye anasemaje jamani 🤔 Subhanallah 🤔 Yani mgekaa pamoja mkayamaliza mizozo haifai ni dhambi kwakweli 😳😳
@ismailchibonda5005
Жыл бұрын
Dr. Mwaka kidume 😂😂😂😂
@sifatiiman
Жыл бұрын
hana ukidume wowote
@neebsamuel316
Жыл бұрын
Nyinyi ni wahuni tu kama Alhadi
@clintonarnold6291
Жыл бұрын
Nyie kweli wahuni eti barua unatuonesha kwenye simu😅😅 Yan inaonesha ni kiac gan hampo serious na Kaz yenu
@shamimujuma9373
Жыл бұрын
Umaat Muhammad unahitaj kuangalia elimu na vigezo ila kupunguza mihemko ya Hawa ndg zetu ktk Iman, maana sikuwah kuona masheikhe wakiita press kuwatetea waislam wenzao WALIO na makesi ya kusadikika, ALLAH atunusuru ktk hili.
@warakawayohana2896
Жыл бұрын
Rushwa ni upofu
@godwinkileo7702
Жыл бұрын
Mungu wasaidie wote wenye matatizo ili yaishe salama, amin
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
Amiin 🤲 ya Allah
@mariamswalehe3312
Жыл бұрын
Jamani hapo hata kwa macho hakuna ndoa. Huyu jamaa alizoea kujisifu kwenye mitandao na wake zake akqjiona yeye kidume, sasa anaona aibu ataanzaje kutudanganya kwasababu alijifanya yeye ni mshauri wa ndoa zingine. Amejisahau kwamba alikuwa anajianika kwenye mitandao na hao wake zake. Halafu leo anaona press ya viongozi ni makosa. Atuache na uislamu wetu
@DealDeskPro
Жыл бұрын
Innalillah wainnaillah Rajoun Mashekhe mnapata dhambi kwa kutoa hii misimamo yenu haliyakuwa mnatumia feelings na sio busara..mnakosa hekima kabisa, maneno mnayoyatumia kwa jazba bila kutumia busara..mnakosea, kama ni suala la dini basi tumieni busara..swali la mwaka lilikuwa rahisi sana..swala la kuvunja ndoa ya mwaka why itamkwe kwenye press, pia busara ya kumuita mwanamke mzigo imetoka wapi, na kusema watu wanajilia mzigo, je hapa shekhe alikuwa anamaanisha nini.. (Sentensi chafu kutoka kwenye kinywa cha kiongozi wa dini)
@mahyorokalokola4012
Жыл бұрын
Kweli hii ndoa imevunjwa kihuni. Yaani hiyo kamati ya masheikh inakutana siku moja halafu bila kuwasikiliza wahusika wanavunja ndoa. Anayeruhusiwa kuvunja ndoa ni Kadhi. Hata kama kadhi alikuwepo kwenye kikao lakini kilikuwa batili. Kwa hiyo Mwaka ikiuita huo uhuni mnamlalamikia vipi. Tatizo la siku hizi wanawake wakijilizaliza kuwa wanaonewa hata kama ni usanii wanaume wanapenda kujifanya kuwatetea kutafuta umaarufu mitaani. Haya ni maswala ya dini siyo miemuko. Unaposhangaa Baraza la ulamaa kutoa maamuzi baada ya tamko la Mwaka. Je hiyo kamati ya Alhad mbona ilikutana siku moja baada ya malalamiko ya mwanamke bila hata kusikiliza wahusika. Acheni ubabaishaji!
@jombadulla
Жыл бұрын
Talaka haikatiwi rufaa,ikitoka imetoka,hakuna mahkama inayoweza kukata ruffaa ya ndoa,isipokuwa mahkama ya kadhi pekee yake,kumbukeni kadhi ni cheo ci mtu, kwa hyo ile ndoa iliyovunjwa na shehe wa mkoa imesihi wala haina shaka,kwa mujibu wa katiba ya bakwata,na kwa misingi ya dini ya kiislm,alf dr mwaka namimi nimpe ushauri wa buree, mwanamke akisema hakutaki hakutaki, huwezi kumlazimisha arudi tena,acha ushamba hup,au umetumwa na watu wa youtube unashea nao,ili upate ela,harudi tena yule,wajanja washamchukuwa,
@ramadhanikioza9913
Жыл бұрын
@@jombadulla sasa pale talaka katoa kadhi au masheikh wa mkoa ? Na kama unajua sheria za kiislamu mwanamke akitaka kujivua katika ndoa kuna taratibu zake tena nyepesi kuliko hizo mbona hukumshauri mwanamke hili la kujivua una.mshauri Dr Mwaka na kashfa unampa ? Kuwa mkweli mpaka sasa watu wanamsikiliza mwanamke Tu je mwaka kashasema mkamsikia na yeye kisha muhukumu ?
@jombadulla
Жыл бұрын
@@ramadhanikioza9913 cijui kitu gani huelewi wew,kwa mujib wa katiba ya bakwata,ibara namba ile,itafte wew apo,,kiufupi shehe wa mkoa hajatoa talka kwa yule mama,kadhi ndo katoa talaka, kadhi wa mkoa,shehe wa mkoa kakariri barua iliyotoka kwa kadhi, kwa mana hyo talaka kaandika kadhi shehe wa mkoa kasoma tu, mbona hamuelewi nyinyi,kadhi ni cheo tu,shehe wa mkoa pia anaweza kua kadhi, ndo mana ukienda mahkama ya kadhi, pale kuna makadhi hawapungui 20,tatizo mnakariri mkidhani kazi ni mmoja tu,haiko hvo,
@zaharanakim289
Жыл бұрын
Kweli
@rashidmashaka1264
Жыл бұрын
Mi zani wewe hujaelewa mwanamke akitaka talaka unampa hau haupo maana hakutaki je unajua amekaa mbali na mmewe kipondi gani unalijua Hilo umekurupuka sikiliza vizuri
@judyngowi391
Жыл бұрын
Mwaka huu utakuwa mrefu kweli
@SuperIg42
Жыл бұрын
😂😂😂
@idrissatuppa3997
Жыл бұрын
Watu Wamepewa Mpunga Uko🙆🏿♂Ukidipu sisi Tunapiga.🙆🏿♂
@azzamahamdu7039
Жыл бұрын
Mhm kazi ipo.... Mwaipopo🤣🤣🤣🤗🤗🤗eti ukibeep na tunapigaa
@agnesshonga7570
Жыл бұрын
Uhuuni huu
@eliudnguge9013
Жыл бұрын
wahuni tuu mnavunjaje ndoa ya mtu?
@kiri5807
Жыл бұрын
Ndoa wameivunja wenyewe hapa kinachodaiwa ni uthibitisho tu .
@leymanleyman7426
Жыл бұрын
Ndungu yangu hakuna aliyevunja ndoa ya mtu, kitu ambacho huja kielewa ni sheria za dini ya kiislamu kama huzijui bora unyamaze tuu.
@eliudnguge9013
Жыл бұрын
@@kiri5807 ndoa ya mtu mnaivunjia redioni ili mmdhalilishe hizo nisheria za wapi hiyo sheria imesema mkivunja ndoa za watu muwatangaxe?
@AbdillahSOthman
Жыл бұрын
Anaetoa talaka ni sheikh au kadhi amabae amepewa dhamana ya kutatua migogoro ya ndoa, na hapa tunasemea mahkama ya dini ambayo inafuata sheria za Allah na Mtume wake zilizomo katika Qur'ani na Sunnah. Kelele zimekuwa nyingi na mnalumbana nyinyi kwa nyinyi jambo la ndoa mnaweka hadharani kuonesha ummaa wa ulimwengu Jinsi ya Dini inavyoporomoka Tanzania, jambo lolote linahitaji Elimu na ktk ndoa wote mke na mume wanapaswa kuwa na elimu ya ndoa watu wanaokaa kutoa fatwa za midomo yao tu pasi na kuangalia sheria ya Dini watakwenda kuadhibiwa sana. Kila mwana ndoa afahamu kuwa ndoa ni mkataba ambao kuvunjika kwake kuna kadhia nyingi hutokea suluhu ikikosekana kwa pande 2 baina ya familia mbili, hapo ifuatwe sheria kwa Kadhi na huko ndiko kutaruhusika kutoa talaka baada ya kupata maelezo kwa pande zote mbili kama inafaa kutolewa au ni vitimbi tu vya mwanamke. Allah anasema atakae hukumu kinyume na sheria zake ametenda uovu mkubwa, na amejidhulumu. Watu wasome dini yao. Wasikurupuke. Na Allah ni mjuzi zaidi.
@aaa64sa13
Жыл бұрын
Umeskia kuwa ipo sahini ya kadhi?? Skiza kwa makini alafu utakuwa na jibu inshaAllah
@johnmwasilu7087
Жыл бұрын
@@aaa64sa13 sasa kama Kadhi alivunja ndoa sheikh wa mkoa anaingiaje hapa? Si ile barua ya Kadhi ilitosha? Mimi naona kuna watu hawaelewi wajibu wao ila wanataka kulazimisha jambo lao kwa hila na janja janja na ndiyo maana wanaongea kwa jazba na ubabe
@aaa64sa13
Жыл бұрын
@@johnmwasilu7087 Haya yote wakulaumiwa ni Mume Dr. Hili ni jambo la kutatuwa kifamilia na isitoshe ni tatizo lipo 1yr back. Vp ushindwe kumalizana na mkeo uliyeishi nae zaidi ya 7yrs. Kibri na Jeuri ya pesa ni Shida. Bibi au mume mmechokana ni bora kuachana kwa Amani. Bongo mna mauwaji mengi ya Wanandoa kwa sababu kama hizi. Dr namlaumu na kwa hapa nasema yeye ndio sababu ya haya yote. Allah amuongoze inshaAllah
@umbopaday
Жыл бұрын
Je kisharia mmewapa mwezi mmoja wa kuishi pamoja baaden warudi kwa kadhi kusikilizwa kesi yao
@kassimali2273
Жыл бұрын
Kadhi
@ahmedawadh2460
Жыл бұрын
A,aleykum warahmatullah. Hukumu ya kweli ipo kesho akhera. Dunia ya sasa siiyamini kabisa.
@samniza1763
Жыл бұрын
Ndio maana dini hazitupeleki mbinguni, maana zimeundwa na wahuni na hii ndio matokeo yake.
@alhamdulillah5796
Жыл бұрын
Dini haikupeleki mbinguni hiyo ya ukiristo mana wametunga wahuni walokutungia ukimwi na korona lkn uisilam ni dini ya haq na haikutungwa na wahuni bali ni muongozo kutoka kwa Mungu wa haq kwa kila kiumbe atakae.
@neebsamuel316
Жыл бұрын
Nyinyi watu wapumbavu sana
@mwasitihamisi2477
Жыл бұрын
Wew kuma nin acha ugenke wew nimkiso usitukane watu ambao wanao sema vitu vyadini sio yako huna unacho kijuwa. kuma wew
@mzeeicon913
Жыл бұрын
Usiwatukane watu sio Vizuri.
@johnrimoy1613
Жыл бұрын
Sio vizuri kujibizana mitandaoni. Hata watoto wanafuatilia. Jambo limechukua muda mrefu bila sababu .
@abdallahselemani6423
Жыл бұрын
Shetani oyeee umewateka viongozi wa dini mara mchungaji kimaro mara bakwata picha Bado linaendelea
@alexsuleiman3795
Жыл бұрын
Et dini ya Mungu mashehe wa mchongo
@ahmedalsaadi7108
Жыл бұрын
Kumbe dini ya nani
@johngerald4677
Жыл бұрын
@@ahmedalsaadi7108 ya Muhammad
@khadidjasuleiman8006
Жыл бұрын
@@johngerald4677 ni dini ya Allah na nidini sahihi mbele ya Allah ndio dini ya kweli
@donjb3178
Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 Ndio Allah alikwambia hvyo au ni ww wasema hvyo 😂😂😂
@johngerald4677
Жыл бұрын
@@khadidjasuleiman8006 kwa andiko lip linadhibitisha ilo ndan ya qiran
@bjngft4985
Жыл бұрын
MASHINDANO, UKOSEFU WA BUSARA NA KUAIBISHANA Mashekhe mbona nyinyi hamkumwita Dr. Mwaka kama mume kabla hamjafanya maamuzi ya kuvunja ndoa. Kisheria, Shekhe wa mkoa na Dr. Mwaka kuna mgogoro so asingetakiwa kujihusisha na kesi hiyo. Alafu kauli sasa eti mmekula rushwa, viongozi wenzio hao na pili mke wa mwezio unamsemea wajanja wamechukua mzigo ule wanaburudika nao(Kauli gani hizi). UONGOZI NI BUSARA NA KUSTIRIANA..
@danielshauri6390
Жыл бұрын
Kwakweli wanamaneno ya kihuni, viongozi hawapaswi kutamka maneno maovu kama haya, eti wahuni wanakula mzigo wanaburudika nao. Hawa masheighk ni wahuni
@kaluluu2011
Жыл бұрын
Hukuelewa nauelewe MISINGI ya DINI. Meizi 3 TU kisheria kama huko na mke wako Kwa Shari na bila huduma yyte.hamna ndoa hapo .ndio ije kua mwaka MZIMA umemtenga mwaka MZIMA na bila MATUNZO Kuna ndoa hapo alishavunja ndoa yake peke yake Dr mwaka .ACHAna na kadhi wala shekh wa mkoa .ivyo ni vitabu vya dini .pili kasha itwa mara 3 ataki kuja ikiwa lengo lake ni kumkomoa mke .
@rubenprince8990
Жыл бұрын
@@danielshauri6390 shida yote hii inasababishwa na serikali kuachana inatakiwa ifanyike mahakamani sio barabarani eti katiba ya bakwata
@saudahassan6667
Жыл бұрын
Mara nyingi alikua akiitwa mwaka hakwenda ni sawa tu walivofanya maana kaitwa saanaa maana si chin ya mara kumi saaafiii sana walivofanya maana wanaume wamezd kututesa ss wanawake
Mwaipopo umeacha utapeli kama kule tanga ulivyodanganya umeibiwa card ya bank ukaitisha mchango masjid Anisa pale Barabara ya 17?
@user-zy5sx2qb1z
Жыл бұрын
Hahaha balaa
@sophiahmedza929
Жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣
@nuriyatihgeorgekhan6042
Жыл бұрын
Mmmmmh shekhe NURUDIN angalia baraa hili hiv kwer tumefikia huku kuwekana mtandaoni
@dottomsuya6597
Жыл бұрын
Kazi ipo hawa ndio mashekhe wetu ha ha ha ha
@saramussa1345
Жыл бұрын
😳😳🤣🤣
@marley42
Жыл бұрын
Honestly mim sio Muslim but inatupasa kuwa na subra na busara hasa tunapokuwa mbele ya camera’s, binafsi sioni sababu yoyote ya viongozi wetu wa Dini kutafuta msaada kwa mic wakati vitabu vya sheria za dini mko navyo miskitin na kanisani, pili waumini wa dini zote tunaomba angalau mkiwa mnatusome maneno matukufu na sheria za imani zetu. Mtusomee kwenye vitabu kabisa(hard copy). Hizi simu wengine tunaweza fikilia mnasoma toka instagram or tweeter, siku hizi ukienda hata nyumba za ibada masomo yanatokea kwenye simu huku unaskia pop za data iko on,
@happynesbaemuhappynes8813
Жыл бұрын
Kulikuwa na haja gani kuita waandishi wa habari baada ya talaka kutoka
@ziadasalimu1730
Жыл бұрын
@@happynesbaemuhappynes8813 Mimi ndio nisiyo yataka jamana hivi ni vitu vya aibu sana yaani ndoa ilifugwa vizuri ila kwenye kuwachana ndio fedheha kama hivi , hivi wangeyamaliza wenyewe haya yote yasingetukea jamani, inatakiwa busara ya mke na mume hapo hao ndio chanzo Cha haya matatizo
@lulachahayeshi93
Жыл бұрын
Hatari sana hii kaka. Mbaya zaidi hawa viongozi wetu wa dini wanazungumzia kuvunja ndoa ya mtu.
@ruqaiamohammed345
Жыл бұрын
@@happynesbaemuhappynes8813 haja ilikuwepo kwa 7bu mdai talaka aliita waandishi wa khabar km ulimsikiza vze shekhe alhad wakat anatoa talaka ndio ungejua vzr
@lawabidingcitizen3427
Жыл бұрын
Teknolojia inakua mkuu, siku si nyingi karatasi zitapotea. Tazama nini kinatokea posta, watu hawatumi tena barua, sms zimechukua nafasi!
@simasima8084
Жыл бұрын
Tokeni hapo badala mtafute suluhu mnatangaza madhaifu ya mtu laana hyo hamna maaana kbsa
@mbarakahmed3892
Жыл бұрын
Asalam aleykum warahmmatullah taalla wabarakatu waishimiwa mashekhe na wafuasi wao hili la mambo ya ndani yandowa nipaka kue nasibabu maalim ndio hukumu inapaswa kutolewa lkn mbali naivyo kwakweli hamuezi jua makosa nnini pengine uwenda mamaetu ambae nimke wake Dr Mwaka akawa mkweli ama Dr Mwaka mwenyewe akawa mkweli sio ivi ivi tu yauliziwe kihakika Kuna Nini chazaidi Asalam aleykum
@eliudnguge9013
Жыл бұрын
mnajifanya mungu ninyi mkome
@eliudnguge9013
Жыл бұрын
waislamu wana selikali yao na katiba yao😂😂😂😂
@husnamahadhi7437
Жыл бұрын
Dini na dunia
@mahmoudukusso4488
Жыл бұрын
Ndiyo tunayo katiba yetu ambayo ni quran Lkn serikali hatuna ipo seriksli ya JMT inayoongozwa na Jemedari SSH hatuna tatizo na serilali na serikali haina tatizo na waislamu
@@mahmoudukusso4488 wapi kwenye quran pana sema shehe wa mkoa avunje ndoa za watu
@doctorhorovo4023
Жыл бұрын
Duhhh
@cyrekaaikanem7735
Жыл бұрын
Ndoa za kiislam!hazina thamani,unaolewa asubuhi jioni imevunjwa bila kujali familia ataathirikaje! Viongozi mnajidhalilisha sana,mnaitana walarushwa wenyewe. Mungu saidia watu wako.
@saidimkombe9842
Жыл бұрын
Hizo ndo zile Kuni Sasa ukisikia
@nemecymsanya4952
Жыл бұрын
😂😂😂
@bethjohn928
Жыл бұрын
Wakristu tupo apa gonga like tujuane tunaofatilia hii tamthilia ya isidingo au ya tausi Ile ya kenya
Пікірлер: 965