Jamani Mungu awabariki sana waimbaji wenzangu, kumtumikia Mungu Kwa uimbaji ni kutamu sana, Niko Manyara, Mbulu,
@savedlema
5 ай бұрын
Safi sana sana, Hongereni mno, mbarikiwe wote.
@aarantimotheo-hr8cr
4 ай бұрын
One love great choir kijitonyama tuko pamoja from UDOM
@faithmangesho2081
4 ай бұрын
Mungu awabariki mno!
@suzysam6002
4 ай бұрын
Mbarikiwe sana siifs na utukufu Ni zake Jehova
@judithgodfrey6503
4 ай бұрын
Waaaaaaaooooooooo. Sasa nakupenda kuzidi piaaaaaaaa🦿🦾
@isayajoseph5417
4 ай бұрын
Hongereni sana mbarikiwe
@raphaelmwamakimbula9642
3 ай бұрын
Nzuri sana,hongera♥️💯🎉
@erastuskajuna812
4 ай бұрын
Jamani tusibadilishe tuni za nyimbo.
@tenderstanzania3232
4 ай бұрын
Uumbaji umeenda mbali saba siku hizi....inaleta radha sana ukiimba kwa tune isiyozoeleka, nakualika kumsikiliza Mch. Metilii na Mch. Gwakisa Mwaipopo na kwaya kuu Msewe na Kimara KKKT
@erastuskajuna812
4 ай бұрын
@@tenderstanzania3232 ni vizuri uumbaji wa namna hii ukalenga kitunga nyimbo za kwako kuliko kunakili nyimbo zilizopo kwa sauti na tune nyinginezo. Na ni wengi wamebadili tune za nyimbo za vitabuni wakauza kana kwamba wameumba. Tunahitaji ladha zitokanazo na ubunifu si maigizo
Пікірлер: 12