Serikali ya Tanzania kupitia sekretariet ya ajira na utumishi wa umma umefanikiwa kuendesha usahili wa mchujo kada za afya Kwa njia ya kidijitali Nchi nzima.Lengo kubwa la serikali ni kuondoa matumizi ya karatasi na kuokoa gharama na Muda unayotumika .#usahili #millardayo #kopkoptv #samiasuluhuhassan #utumishi #ajiranews #afyayako
Негізгі бет SERIKALI YAFANIKIWA KUFANYA USAHILI KWA NJIA YA KIDIJITALI KADA ZA AFYA NCHI NZIMA,
Пікірлер