Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Jerry Muro ameimngilia kati mgogoro unaofukuta kwenye familia ya mfanyabiashara Msuya aliyeuawa mwaka 2013 huku kukitajwa kuwepo mvutano unaohusiana na mgawanyo wa mali zilizoachwa na marehemu.
- 4 жыл бұрын
Serikali yaingilia kati mgogoro wa familia ya bilionea Msuya
- Рет қаралды 56,558
Пікірлер: 61