Wakenya wengi wamepinga nyongeza ya ushuru wa mafuta ya petroli na diseli, ambao ulifaa kupandisha bei ya bidhaa hiyo muhimu kwa shilingi saba zaidi . Wizara ya uchukuzi na barabara sasa inasema italazimika kutafuta mbinu nyengine ya kupata fedha hizo, bila kuongeza bei ya petroli. Watu wachache sana walijitokeza kwa vikao vya kutoa maoni kuhusu mapendekezo hayo.
Негізгі бет Serikali yasema wakenya wengi wapinga ushuru zaidi
Пікірлер: 39