Charamila hajawahi kuwa kiongozi mzuri. Anakurupuka mno hatumii hakili
@israelkisaila8401
3 ай бұрын
Hajielewi huyo MHEHE,HUWA ANAKUWA KAMA MUHUNI WA MITAANI.😂
@IbrahimHassan-by5ym
3 ай бұрын
ebu Tanzania tusi complicate mambo saaana, hilo soko la kariakoo walio wengi wateja ni sisi wanyonge, so mkijifanya kukaza mtatuuwaa, elekezeni nguvu kwenye mambo mengine sio saana kwa sehem hio, hamfaham kwanini wanagoma always migomo mnaboaaa😢😢
@MauFundiElectronics
3 ай бұрын
Yule mkuu wa mkoa anatumia cheo kwenye kuongea na sio kutumia akili kwenye kutoa maamuzi
@johnmalembo6464
3 ай бұрын
Mkiona mnatoa maamuzi wanayotaka wananchi baada ya kugoma. Basi ujue Viongozi waliopewa dhamana katika jambo Hilo ni wavivu kufikiria.
@whatisthetruth.8793
3 ай бұрын
Serekali hii inaongozwa na mabweha na mafisi . Raisi mwenyewe tundu la choo
@josephkulija293
3 ай бұрын
Pongezi nyingi sana kwa uamuzi wa Serikali kuweza kutatua mgomo huu kwa BUSARA na HEKIMA. Siku zote busara na hekima huleta ufumbuzi wa tatizo vizuri kuliko vitisho kutoka pande zote.
@minazsaid2470
3 ай бұрын
Kiongozi umeeleweka wasikilizeni wafanyabishara wa hoja za msingi
@elioimer8423
3 ай бұрын
Siku zote mlikuwa wapi??? Wafanyi biashara na wananchi wameshajua dawa.
@jeremiah90199
3 ай бұрын
KINACHOFUATA NI KWAMBA HATUMTAKI MKUU WA MKOA CHALAMILAAA HATUMTAKI APANGIWE KAZI NYINGNE
@MngwaliAllykizangwa
3 ай бұрын
Charamila asiende katika kadhia hizi,hana busara yule
@yasiniSwedi-qg5oc
3 ай бұрын
Wanaacha kukusanya kodi bandalini na migodni wnadilina wfnyabishala zakawaida
@RamadhanKidedede
3 ай бұрын
Saf sanaa kiongozi umeeleza umeereweka co wanaoleta komedi
@minazsaid2470
3 ай бұрын
Chalamila anatumia ubabe kwa wananchi haipendezi
@saidramadhan71
3 ай бұрын
Hongera sana kiongozi mkuu wa mkoa anatumia kufoka tu uongozi hauitaji ubabe
@GreceMwalende
3 ай бұрын
Charamira huyu wajabu
@leonidaskwigize1853
3 ай бұрын
We are continuing praying for our country so as peace can remain our pillar of livelihood
@nomoboy152
3 ай бұрын
Hizi kamati ndo zinachelewesha mambo kila kitu kinatakiwa kusolviwa ndani ya week tu .Ita viongozi wa wafanyabiashara kariakoo Ita watu wa TRA Ita watu wa Bandari Ita kila mtu leta watu wa biashara zungumzeni mpaka wote mtoke mmeelewana MOTHER FUCK
@majaliwabwitonde6900
3 ай бұрын
Kwa hiyo msipokagua EFD makusanyo yatafanyikaje?
@odilomwakamela4889
3 ай бұрын
Kwani kabla ya EFD walikuwa wanakusanya vipi mapato?, Je EFD ni chanzo cha mapato au makusanyo? Usichangie kitu ambacho huna ufaham nacho.
@husseinmkanga7794
3 ай бұрын
@@odilomwakamela4889Sasa kama hakuna mauzo yenye risiti unajuaje mfanya biashara ameuza kiasi gani? Tatizo litakuja baadae tra watakisia kiasi cha wewe kulipwa matokeo yake utalipa nyingi au kidogo na ndio kitakua chanzo cha Rushwa.
@odilomwakamela4889
3 ай бұрын
Issue ya Efd ni kubwa kuliko unavyozani huwezi kumkadilia mtu kodi kwa kuangalia sales peke yake na efd ina record sales pekee yake. Naweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu mbili na mwingine anaweza kuuza laki moja na faida ikawa elfu 20, sasa hawa watu ukiwakadilia kwa kuangalia sales watakuwa sawa?? Service levy wanacharge 3percent ya sales sio faida angalia hapo anayeuza laki na faida elfu mbili atapata nini?
@husseinmkanga7794
3 ай бұрын
@@odilomwakamela4889 Sasa hapo tatizo ni mfumo wenyewe, lakini katika biashara za mauzo na matumizi risiti ndiyo inayo onyesha mauzo yako na manunuzi ambayo mwisho wa mwaka itaonyesha matumizi yako kodi ambayo umelipa na mauzo uliyo fanya, sasa hapo ndio tra wafanya hesabu kutokana na hivyo vitatu kama je umepata hasara, faida au hauna hasara wala faida. Na hapo kunakuwa na mambo matatu, kama mfanya biashara amelipa kodi nyingi anarudishiwa, kidogo anaongeza, au kama amelipa sawa hakuna mdaiwa. Tatizo letu serikari na baadhi ya wafanya biashara sio waaminifu ndio maana imewekwa mifumo mibovu ya ulipaji kodi ili kutengeneza njia za Rushwa.
@aediayumgo8546
3 ай бұрын
Xhallamila tengua mama akalete comedy huko😅😅😅
@bestman8182
3 ай бұрын
Hawa kariakoo wanadeka, tusipokuwa makini watatusumbua sana. Kwanza hizi biashara za kariakoo ni za kina nani? Usijekuta watu wanaojigomesha na kujitolea muafaka wenyewe.😅
@HarunGeorge
3 ай бұрын
Mnaongea ujinga tu kila siku japo mnafanya hivyo hata hivyo huo ujinga mmeshindwa kuusimamia
@florencemeza6540
3 ай бұрын
Unajua hata ukilipa kodi pesa zonaliwa tu inakatisha tamaa wananeemeka WALAFI NA WEZI
@DeoKimbe-gt4op
3 ай бұрын
Mh mama anapenda amani asande mh raisi tunaomba kodi zote ziwekwe seemu moja tra lesenni ya maspaa ,zimamoto,maaliasili ,nk kondi ninyingi kilamoja anakuja na sheria zake kama inhi tofauti bado kodi ya pango tanesko maji mlizi takataka Tanzania kabla hujaaza bishara kwaza lipakodi alafu ukilipa kodi zote alafu fungungua bishara
@JUBRANBULAYHl-yb4ke
3 ай бұрын
Uadilifu na uadilifu kwa mabwana wa Afrika, wanaume na wanawake, vijana na wazee, kiapo cha yule aliyeteremsha Taurati, Injili, Mtengano, Zaburi na Qur'ani yenye hekima kwa Mola wa Mitume na Muhuri. wa Mitume na Mitume, Muhammad, swala na salamu za Mwenyezi Mungu ziwe juu yake na ahli zake wote na maswahaba zake, kwa anayestahiki zaidi uadilifu na uadilifu kwake, licha ya kila dhalimu, dhalimu, na dhalimu na amani iwe juu ya Mola wetu Muhammad na aali zake na maswahaba zake wote, Amina, Mola wa walimwengu wote☝🏻☝🏻🤲🤲☝🏻☝🏻
@mussakimaro5588
3 ай бұрын
Mueshimiwa rudia tena huku wafanya biashara hawajakuelewa
@maase2023
3 ай бұрын
Mpk wananchi waandamane ndio mnajua kuchukua hatua kweli tutafika hivi???
@jumannepaskary3182
3 ай бұрын
Haya yule mkuu wa mkoa alivyokuwa anatishia wafanya biashara haya yangepatiwaje muafaka
@TOGOLANIDICKSON
3 ай бұрын
Mwisho wa Chalamila Dar ess salaam
@exaverysimon1064
3 ай бұрын
SAFI SANA NAONA KUNAMATAHILA YANABEZA UAMZI HUU
@FurankoSimbeye
3 ай бұрын
Hongera kiongozi kutuwakirisha
@MusaOgwoko
3 ай бұрын
Shida tu maneno mengi
@EmanuelMbandi
3 ай бұрын
Acheni ujinga
@jumashedafa
3 ай бұрын
Hayo ndio maamuz sahih...mkuu wa mkoa alikuw anazingua
@wechemakambo2182
3 ай бұрын
NCHI YA HOVYO HII YAANI WAFANYABIASHARA WANAIVIMBIA SERIKALI KWA KUTISHIA MGOMO,HIZO KODI HUWA HAWAPENDI KULIPA NA HIZO RISITI BADO WANAZIFANYIA UJANJA MWINGI....YAANI TRA HAIJITAMBUI AU WANATUNGA PASIPO BUNGE?AJABU HAWA WAFANYABIASHARA WAKIENDA NCHI NYINGINE HAWAKWEPI KODI NA WANATII MAMLAKA ZA KODI
Пікірлер: 41