Mashaallah tabarak Allah...Allah awape afya na awaepushe na kila maovu maustadh wetu,in shaa Allah. Ustadh Shafi,kheir in shaa Allah
@masumbukomaulid9213
3 жыл бұрын
juju juju km juju juju juju juju in juju juju juju juju km juju I juju juju juju juju juju I juju in juju km juju km juju in juju in juju I juju I juju juju km juju I juju juju juju juju juju I juju km juju km juju km juju km juju km juju km juju km juju km juju km juju km juju km juju 77úh7úhúh7úúúúúúúúúúúúúúúú
Mazinge shafi kessy imani petro kadogoo kinyogori Dr sule na wengine wengi dua nawaombea mwenyezi awajarie kwa kila la kheri Jamani kazi ya daawa naijua ningumu niriwahi kuifanya na kukatishwa tamaa na kuchoka mpaka kuikimbia hivyo endeleeni kuelimisha jamii kazi hiyo ni wito
@mauaismail9885
5 жыл бұрын
Naupenda Sana uislamu m/mungu aniepushie na hao makafili nitakufa na uislamu
@allymuhammad325
4 жыл бұрын
Aamin
@nusurakajubu8785
4 жыл бұрын
Amiin
@mwanakomboomar5624
4 жыл бұрын
Amin
@isaacmafole2131
4 жыл бұрын
Amna kitu nyie wachawi
@bmaloo8864
6 жыл бұрын
Shafiiiiiiii DR Ww ni Fundi Nakupendaa Mpaka Basi Allah Akupe Umri Mrefuu
@asifmtambala8007
5 жыл бұрын
B Maloo ppppp
@davidahad4043
5 жыл бұрын
biblia hutafsiliwa kiroho zaidi si kutafsii kama hadithi au gazeti,,,,,
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
@@davidahad4043 pole yko km ndo mnavodanganywa huko makanisani
@myself4128
4 жыл бұрын
Utaachaje kupenda comedy? Jamaa nimchekeshaji sana nadhani angekariri quraan ingemsaidia sana anapayuka tuuu
@myself4128
4 жыл бұрын
Siku waislamu wakiielewa biblia basi Kiama kitashuka
@razansalim532
5 жыл бұрын
MashaAllah jadha ka Allah kheir shuq-ran sana mashekhe wetu🤲🤲
@achanifumos1093
3 жыл бұрын
MashaAllah mashaikh wetu...Allah awajaalie IKHLASW na umri twawiil na awazidishie ilmu wazidi kutuilimisha waislamu na ndugu zetu wakristo...tuwe na dialogue
@mundharyhabibu5361
4 жыл бұрын
Shekh mazinge...doctor sule...shekh safii...na wengineo mungu awalipe kila lakher kwakaz mnayofanyaa.
@Basiito
6 жыл бұрын
May God Give Our Islamic Preachers Long Life...#Ameen
@allenford9197
3 жыл бұрын
Instablaster.
@habishsophy7665
7 жыл бұрын
mashaallah ustadh shafii mungu akujaze kheri inshaallah
@muhsinyahaya5822
5 жыл бұрын
Amin Mwenyezi Mungu awajaalie kila la kheli kwa kazi ya daawa Mungu awalipe kila la kheli
@jumakhamis226
5 жыл бұрын
shekh shafii allah akujaalie afya na umri mrefu shekh wanguu
@MohamedIbrahim-zs6nm
5 жыл бұрын
Huyu sheikh shafi nampenda yeye saana ningependa tukutane kwa janatul firdowsa
@omarmukhutar6847
5 жыл бұрын
Amjalie kudanganya waislamu wote awapoteze zaid,dash!!!
@ismailismail8062
10 жыл бұрын
shukran sana kaka, huwa tunajifunza meng unapo aplod hizi debate, inshallah ukweli utaonekana
@AKASHA.P
10 жыл бұрын
ismail ismail IN SHA ALLAH
@yasminey138
8 жыл бұрын
+AKASHA DAAWAH mashallwah
@msabahzahor476
8 жыл бұрын
+AKASHA DAAWAH wanaojiita wakristo kitabucho ni kipi?
@msabahzahor476
8 жыл бұрын
+Msabah Zahor nilikusudia kusema kitabuchao ni kipii?
@haleemasulthan4894
5 жыл бұрын
Quroan imetimia haijapungua hata lobo
@lajecleyehsas9552
6 жыл бұрын
Mungu akubariki ustadh shafi
@mussavenezuellmunguawasaid9920
5 жыл бұрын
mungu akubariki sana mtumishi wa yesu
@hipeople2745
9 жыл бұрын
May Allah bless you and show the right path
@AKASHA.P
9 жыл бұрын
Sabrina Salat DONT FORGET TO SHARE
@masungwasalumu1278
4 жыл бұрын
Mhubiri Mungu akubariki Qruan unaifam vizuri wislamu majanga makubwa
@Wpatrickwafula3432
4 жыл бұрын
Mchungaji wape dawa wanamatusi Bali Yesu ni kiboko yao AMEN
@سعدياقوت-ت2خ
4 ай бұрын
😂😂😂kama ni matusi bibilia yenu ime watukana wachungaji wanu ime waita umbwa😂😂😂😂
@salehhemed9388
5 жыл бұрын
Alhamdulilah I am Muslim
@mahsnirmohammed2493
8 жыл бұрын
Allah akupe umri mrefu Sheikh wetu,Ameen!!!
@shabanjokoro1719
6 жыл бұрын
Inshaallah mungu awape wepesi waislamu katk mambo yenu
@abdisalamosman7633
4 жыл бұрын
MashaAllah Dr shafii safisha mazingira takbiir
@abujamalaalghammawiy7470
7 жыл бұрын
kwakweli rahaaaa sanaaaa ukiwa unasikiliza mada kama hizi, yaaani ndio unauona usahihi wa Uislam waziwazi
@fadhirsaid1987
3 жыл бұрын
Nikweli
@issaabdullaabdullayussuf6098
6 жыл бұрын
Mungu mmoja tu Allah subhana wataala hajaza wala kuzaliwa
@issaally1051
5 жыл бұрын
Mwenyez ni mmoja (wapekee) hakuzaa wala hakuzaliwa
@saifalbarwani4993
6 жыл бұрын
mashallah mungu tujaalie sisi na mashehe wetu bihusni lhatima
@heyumi2340
3 жыл бұрын
2021penda sana wislam na mashekhe wetu 🙏🙏
@zariamutesiwase2371
2 жыл бұрын
Masha allah Allah awapee mwisho mwemaa ma sheikh wetu🙏🙏🙏🙏🥰🥰
@ريهامالسريري-ل1ص
7 жыл бұрын
subhannallah allah awaongeze inshaallah
@hamisikulola8481
5 жыл бұрын
"waislamu vidole juu haya wasio kuwa waislamu vidole juu. makafiri nyie" hapo Umenimaliza mwalimu shafii Al islam dinul haq
@bponelabponela.9368
5 жыл бұрын
hamisi kulola kwem
@nasraalobaidani3194
6 жыл бұрын
AlhamduliLLAH kuzaliw muislam polen san makafir wt dinian uislam ndodin pekee dinian raha sana
@yohanamgege2781
5 жыл бұрын
Hata kama unamwabusu shetani utasema ndiyo dini ya haki shetani anatumia kukopi ndomaana amekubalika sana ndani ya uisilamu hata ukisoma koloani utajua kama si kitabu cha Mungu soma utaelewa kwamba imeandikwa miungu wengi siyo Mungu mmoja
@abuukiogwe6806
6 жыл бұрын
nashukuru kuwa muislam japo sifatilii yote ila naaapa nitakufa nikiwa muislam
@shubkaahmed1748
5 жыл бұрын
Inshaa Allah
@otienoomollo4890
5 жыл бұрын
uko na akili timamu kweli
@michaelvincent6252
5 жыл бұрын
Umepotea
@twalibhalifa7416
5 жыл бұрын
Abuu Kiogwe kama hufatilii misingi ya uislam wewe muisla feki
@lailauthman5454
4 жыл бұрын
In sha Allah
@fatmazullu4933
4 жыл бұрын
Rahaaaa sheikh wetu mashallah kaza butiii twakuombea umri mrefu na elimu zaidii
@sheikhsaidonlinetv6045
4 жыл бұрын
Alhamdhulilah nashkuru Allah kwa kunijali Mimi kuwa mwisilamu
@bernardchesoli4322
Жыл бұрын
Amen pastor
@zainabrashid8670
4 жыл бұрын
Mashekhe Allah akufamyien wepesi katika kazi ya kwanyooxha walio pimda
@saadachara943
6 жыл бұрын
takbir allaaahu akbar allah akbar alhmndulillah allah kunijaalia kua muislam
@lewiskimathi9615
4 жыл бұрын
Wewe umepotea nà njia ufuatayo ni ya mauti, wafuata Qurani uchawi?
Hawa hawatoelewa mpaka kiama, makafiri kweli,vichwa ngumu sawa
@johnomae3267
5 жыл бұрын
Jina Yesu is very powerful than any name msilifanyie msaha.
@allyjabiri5849
5 жыл бұрын
Who is yesu?
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Useless ww
@samiramohamed98
5 жыл бұрын
Kama yes mungu nan kaumba dunia maana dunia kaikuta
@foremachiby5139
5 жыл бұрын
Dork sule
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Dunia inaumbwa yesu Wala mama yake hawajazaliwa wte twambie Nani aloumba hii dunia?
@kimoyochemokos6908
4 жыл бұрын
Hakika dini hii ya uisilamu ,ndiyo njia ya Kweli na ya uzima kwa yeyote yule atakaye jua ukweli na kulifuata, kheri kutakuwa kwake. Allah awaongoze kikundi cha Mazinge ili neno hili liendelea mbele.
@emmanuelhemedy2564
5 жыл бұрын
Yesu juu
@ukhutysalmaah1463
5 жыл бұрын
Juu Iyo vep😂😂😂😂
@ukhutysalmaah1463
5 жыл бұрын
Sema mungu yesu ni kiumbe tu
@nasrimohamed5202
6 жыл бұрын
Namshukuru Allah kuzaliwa muislam.km ningezaliwa kafiri na mm ningekua naandka utumbo hapa na kubisha.
@jacksondanda6067
6 жыл бұрын
Unamjua 🐷🐷🐽
@rehanijuma6910
6 жыл бұрын
Yesu si mungu!!
@stephenmseti5539
5 жыл бұрын
Hakuna urithi ktk dini
@goldmansun5859
5 жыл бұрын
waislam wote makafiri ndugu yangu ,kwani shia anakuitaje wew suni,na wew unamuitaj shia ,hii inaonyesha hata maana ya kafir hamjui ,so haimtach mtu cz imetamkwa na kichaa wa rohoni
AkASHA DAAWAH YOU ARE DOING ATREMENDOUS JOB NOT ONLY IN AFRICA BUT IN THE WHOLE WORLD.THEY ARE ALL WATCHING AT YOUR MARVELOUS WORK.YOU LEAD BUT OTHERS FOLLOW.ALL THE BEST
@AKASHA.P
9 жыл бұрын
+waziri rajab THANK YOU SIR
@abdalagoro3671
6 жыл бұрын
waziri rajab 0po9
@ريهامالسريري-ل1ص
7 жыл бұрын
wallah laadhim mcpobadilika na kumrejea allah mtakuwa kweny hasara kubwa
@godfreyjoseph7906
5 жыл бұрын
Najivunia Sana kuwa na yesu,katika jina la yesu kila kibaya kinakaa mbali Sana,
@abdallahmohamed8180
5 жыл бұрын
pole sana
@ukhutysalmaah1463
5 жыл бұрын
Polee yako
@iddibale1032
4 жыл бұрын
Ukifahamu yesu ninani maana mpk leo wakiristo hawamjui .pakiwekwa mdahalo yesu ni MTU atatetea Yesu ni mungu watatetea Hivi mungu anatahiriwa
@faridabakari8511
7 жыл бұрын
kila mmoja anayo imani yke ila kiliteremshwa ....ok majini ili waitambue dini unafaaa uwamini Qur an imeshushwa na nikwaajili ya waislam dini ni islam ilio ya hakhi okk wacheni kupotosha nakuiupakia chuki dini islamic ilio takata nailio kamil inshallah tujalie na utuongoze ummath uwe islamic nasote tutakuwa dini 1 siku ya mwisho..asante masheikh kwakujituma na kuwachambulia . Waifahan vzuri kitab tukuff al Qur an karim
@francisjoseph1074
3 жыл бұрын
Hiyo dini sio ya mungu ,Labda dini moja ile ya mpinga krito iliyotabiliwa kwenye ufunuo wa yohana
@gfdasd6287
4 жыл бұрын
Im proud to be muslim Alhamdulillah
@izatmuslim4862
7 жыл бұрын
Jazaakallahu khairaawu
@mwanaimaabdallah7825
4 жыл бұрын
باراك الله فيكم وجزاك الله خير
@jumakana6126
3 жыл бұрын
Allah akbar.that's the full truth
@hassanofficialchannel1697
5 жыл бұрын
Tabarakallah
@wanjalajanoh5063
8 жыл бұрын
eeh Mungu utuongoze na Roho mtakatifu ili nasi siku Moja tuje tukafurahie Yale makao mema ulioenda kutuandalia.....Yesu tuonyeshe njia sawa itakayotufikisha kwa baba yetu salama....maana hapa duniani wengi tumetekwa na muovu shetani anajaribu kila mbinu kuwaangamiza watu wako.....Roho mtakatifu azidi kutuongoza milele na milele......amen
@rskiabdala4868
6 жыл бұрын
Wanjala Janoh ww baki uko uko tu mpk kiama kitakapokufkia nd utaujua kweli km xaiv huuamini
@abdallaiddi4739
5 жыл бұрын
Kwani kuna mkiristo atapata ufalme wa mbinguni km ndio leta andiko ktk biblia
@beatricezacharia4313
5 жыл бұрын
Mungu akutie nguvu mchungaji uzidi kywafundisha hao waislamu wamjue mungu wa kwer nakitabu cha mungu
@zerotohero8212
4 жыл бұрын
Hahahaha buuuuu!!!!!
@jorammarushwa1533
6 жыл бұрын
ukristo raha sana aleluyaa mbalikiwe sana pastor's pigen injili waokoke waislam waachane na majini na uchawi
@mansulykilimila1982
4 жыл бұрын
waislam Takbiriiiiii
@ukhutysalmaah1463
5 жыл бұрын
Alhamdulillah to be a Muslim 🕋 I love Allah I love Islam 🕋 ❤❤❤😍😘❤😍😍😍❤❤❤❤❤❤
@fatumaabdhul8620
4 жыл бұрын
Mashallah shkhee shafiii Allah akulunde inshallah
@ayshamohammed1679
7 жыл бұрын
Mashaallah ostadh shafii wataelewa 2 mungu awape subra
@suleimanimkingie3067
6 жыл бұрын
Masha Allah
@mussamahmouud8944
4 жыл бұрын
Quraani ni maneno ya Allah na Allah aturehem kwa maneno yake amiin
@gabrieladam1065
3 жыл бұрын
Kwa aya ipi
@nathanch7766
Жыл бұрын
Toa Aya
@deuisalon7248
4 жыл бұрын
Ustadh shaffih comedian mzur sana n nyie waislam nan kawaloga mnashangilia msichokijua
@saadaitasu275
4 жыл бұрын
We unajua nn@Deuis Alon
@omargbabaomar2004
4 жыл бұрын
Masha Allah sheikh shafi
@SalmanGamer1
4 жыл бұрын
Masha Allah
@kimoyochemokos6908
4 жыл бұрын
Kweli nyie ustadhu mna kazi ngumu kuwatoa taka hao makafiri, lakini Allah atawaliapa! Msife moyo wala msichoke.
@rahmaoman5122
3 жыл бұрын
Kabisa mwenyezi mungu Subhanahu wataalla awapiganie wahadhili wetu
@comfjunior1531
5 жыл бұрын
Usanii ndani ya jumba la Sanaa jamani kur an sio kitu cha kukurupukia ona wanavyoumbuka
@bidafumbuka855
4 жыл бұрын
waislam someni vitabu vyenu mmefichwa mengi na walimu wenu waongo.
@tiberioustuti715
4 жыл бұрын
Nahapa Mwenyezi Mungu hawezi kua na malaika wa uchawi Waislamu nawahurumia saana
@safikisubi3592
5 жыл бұрын
Alhamndulillah wa Islam oyeeeeeeeee
@maungosaidy6141
2 жыл бұрын
Bwana yesu wafungue ufaam waislam waijue kweli,sijui wamelogwa wasielewe nadhan ndo ivyo. Nashuku Sana mungu wangu kunitoa uko
@msangiramadhan1911
2 жыл бұрын
Yesu Hana mamlaka yakucontrol maisha yako ila anakupa mafundisho yakumjua mwenyezi mungu.. Sio kumuabudu yeye
@alimaalima6016
6 жыл бұрын
Uislam raha kweli Masha'Allah
@mdhihirothman8913
5 жыл бұрын
Wakristo makafiri nyie
@jagnamohamed6298
4 жыл бұрын
Debate izi nazipata wapi nataka cd
@rashidirajabu6223
6 жыл бұрын
Mungu akujalie uzidi kujua kuruani vizuli
@davidomari8660
4 жыл бұрын
Uko vizr mwalimu ndimbo!
@safinajumanne985
6 жыл бұрын
Maashaallah Allah awalipe
@danpalmer3650
4 жыл бұрын
Amin
@mirajishentembo4962
3 жыл бұрын
Maashaallah
@waziridaawahkenya4245
9 жыл бұрын
so interesting and educative to watch your dvds
@AKASHA.P
9 жыл бұрын
+waziri rajab KEEP IT UP
@chalajisamson210
7 жыл бұрын
nimeamini bila YESU ni motoni kabisa...maaana hamna kitabu cha kweli ila biblia tu...asante YESU.
@youtubeisyours6417
6 жыл бұрын
yan we kama usilimu basis hapo tupu upo motonii kafiri mkubwa sansanaaa
@FirDaus-xm4ul
6 жыл бұрын
Kka tubu na uslim kbla ya kufa koz hakuna dini isipokua uislam allahakbar
@rskiabdala4868
6 жыл бұрын
Kitabu cha kweli icho kinasema wachungaji wte mbwa hahahaha
@musanyanda6073
5 жыл бұрын
Waislamu mtachomwa
@hmallaikahoney4549
8 жыл бұрын
daah wakrist humjui mnacho kiongea kweli mnaropokwa tu mungu awasahee
@ronaldmbinga4116
7 жыл бұрын
afadhali wewe wajua..
@jokekpokek1414
7 жыл бұрын
in Jesus name.omba Toba wewe
@al-hajjiabdirahman1922
6 жыл бұрын
Amiin
@goldmansun5859
5 жыл бұрын
wew mume wako anaswal ili akawalawit wanawak 40 bikira kutoka kuzimu,huna chako,na atapewa mtaimbo unaosimama 24 hours na minguvu kulawiti mimama 40 bikira kutoka kuzimu kwa saa ,huna chako ,anawaning'iza wote ka mishikaki kwa mtaimbo mmoja,hahah,Islam z a savage religion
@kilianndomba6172
5 жыл бұрын
hivi kweli mnasilikiza mada au unazi umewazidiii maneno ya ndimbo myafanyie kazi waislam.
@sisterolivia9874
3 жыл бұрын
Wanaume mmesoma maneno ya Mungu kweli.. Naomba nipate neema ya kuelewa vitabu zote hizi..
@johnomae3267
5 жыл бұрын
Yesu ndiye mwana mungu. Jina hilo hata shetani mwenyewe hutetemeka ulitamkapo
@dullyvidully7798
5 жыл бұрын
Hahahaha pole yko
@ramadhanmussa6318
5 жыл бұрын
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 kwn naomba kuuliza yesu desturi yake ilikuw kuingia msikitin(sinagogi)au kanisani
@saumu702
3 жыл бұрын
Shafii we Atari munguatakukipa
@rapafata1108
6 жыл бұрын
Dah. Sura ya ngombe, sura ya buibui. Malaika wakaleta uchawi.
@jacksonnchimbi308
5 жыл бұрын
Urafiki wa kutengeneza na kurushiana majini Sisi wa-kristo hatutaki
@mohamedyeslam5194
11 ай бұрын
Nenda kasome wewe, NYINYI wakristo ndio Muko na mapepo
@omargbabagbaba4231
8 жыл бұрын
MashaAllah sheikh omar wataelewa tu
@omargbabagbaba4231
8 жыл бұрын
MashaAllah sheikh shafi shomar wafudishe wataelewa tu
@salymomar9793
6 жыл бұрын
Yesu sio mungu
@petromachanga29
4 жыл бұрын
Salym Omar hahaaaaaaaa rudi madrasa
@lucasmogoile7097
3 жыл бұрын
2021 Uislamu ndo nini kwangu dini ambqyo ni ya uongo ,emu fikiria kwanini Quaran hutumika na waganga wa kienyeji , kwannni qurani Ina maneno ya kuadhibu watu hata kuua , Muhammad alifanya muujiza gani zaidi ya kuoa watoto wadogo , Muhammad aliitwa na Mungu yupi ? Muhammad kafa na hajafufuka anasubiri kiama Cha mwisho Cha Yesu kristo aliye hai
@rahmahassan1157
3 жыл бұрын
Alhamdullilah najivunia kuwa mwislam
@brianchristian7535
5 жыл бұрын
Christianity is life Every knee shall bow and confess that Jesus Christ is lord and saviour to the glory of God his father. Oh AMEN.. HALLELUJAH
@everlynekaiga1784
4 жыл бұрын
Siku ya mwisho ndio kila mtu atajua ni njia gani ataelekea.watashanga meno siku ya kiama .
@brianchristian7535
4 жыл бұрын
Everlyne Kaiga? Ahsante dada. Ndiyo hiyo.
@everlynekaiga1784
4 жыл бұрын
safi
@sadikhmwalimu6375
3 жыл бұрын
Allah Akbar
@thetruthtvtriplet4855
6 жыл бұрын
Waislamu wamechanganyikiwa hawajielewi
@hebyboywatz7151
5 жыл бұрын
Waislam takbir
@joelpgideon2186
5 жыл бұрын
HABIBU O LUGENDO hahahahaha
@jumamwamtsuma9904
5 жыл бұрын
Allauh Akbar
@rashidkalimbo2451
5 жыл бұрын
Wakirsto kweli mmefungwa macho hamuoni... Nawaombea dua kwa Mwenyezi Mungu Awafungue macho muone ya kheri.
makafili wakubwa nyie wakristo tena washenzi wakubwa nyie
@farajihokororo1806
6 жыл бұрын
Kwa vile wote wanajua kua mungu yupo ila wanaomba tofauti basi haina Shida maana hats zamani sana waliabudu mizimu na walitenda mema na wakaishi miaka mingi kuliko sie tunaejifanya sisi tuko sahihi wao wamepotea mana hata machina wanaoonekana sio mungu amewapa uwezo mkubwa kuliko sie au wazungu wanaotumia tishu wakijisaidia wana uwezo mkubwa kuliko sie tunaetumia Maji
@nurdindhamir7825
4 жыл бұрын
Hakika uislamu ni dini ya haki na mtume muhammad ni mtume wa haki alie letwa na allah sw kwa ajili ya umma huu
@HabibaHabiba-mi1ez
6 жыл бұрын
mh yani wakristo mnamatatiz ya akili kuweni na fikra basi sio kuropuka ropoka tu
@brianchristian7535
5 жыл бұрын
Chunga maneno yako. Utajuta ukiwa motoni. Jesus is lord
@petromachanga29
3 жыл бұрын
Kajambe ukalale
@saidij4286
5 жыл бұрын
Mshallah
@jamilajamila4572
4 жыл бұрын
Alhamdulillah nashukr mungu kuzaliwa muslim
@anuaryjuma9993
8 жыл бұрын
yesu sio mungu kueni na akili mungu hajazaaa wala hajazaliwa
@katungukitambala1588
7 жыл бұрын
Anuary Juma Kataa ukubali Yesu ni Mungu. Halinga nishwi na chochote. Siku ina Kuja , kila echo itamwona , waliyo muzihaki na waliyo mukubali , na kila ulimi utakiri kwamba Yesu ni Bwana. Chukua neema wakati ingalipo. usijikute ukipigana na Muumba wako bila kujua. Neema ya Yesu iwepamoja name
@izatmuslim4862
7 жыл бұрын
katungu kitambala . yesu mwenyewe asemaa. Hakikaa mnataka kuniua mm m2, ninayewaambia................... ... Hakuna ata sehemu amesena yeye ni mungu
@petersamson3725
6 жыл бұрын
Anuary Juma
@petersamson3725
6 жыл бұрын
yesu ndio kila kitu.
@faljalybahati8823
5 жыл бұрын
Au wezijua adi mungu aliye juu ya yote akufunulia malifa yakimungu
@fetymohamedi2119
6 жыл бұрын
Allah atawalipa malpo mema mashehe wanaofany kaz hiz
@benjaminlijongwa3715
3 жыл бұрын
Ndio maana Allah hakujisumbua kuwapa kitabu maana nchi nzimaaaa walikuwa haeahui kusoma Wala kuandika Sasa kitabu Cha Nini? Wala Muhammad yakuambiwa aaandike wahyi aliambiwa tu sema
Пікірлер: 661