Allah akubariki Sheikh wetu kwa mpangilio wako WA mawaidha ya kutukumbusha na ya kutuzindua ili waislam tujitambue, tuache mazoweya na tujue HAKI yetu ya kuishi katika jamii yetu bila kujitudisha nyuma kwa kila Jambo na kila gani lakini kwa uaminifu .
@AndulHida-hs5py
Күн бұрын
Mash Allah tabarak Allah ahsani khaalyqin, Jazzak Allah kheri shekhe
@cassimoa9217
Күн бұрын
Allah akubariki Sheikh wangu
@BrackMelody
2 күн бұрын
Shekhe Alla akulinde
@moddy8744
Күн бұрын
Mashallah maneno mazito sana kweli kabisa Allah Akubarik
@gulamomar6394
Күн бұрын
MUNGU Akulinde KAKA Yangu Kipenzi 🙏
@HanifaUrassa
22 сағат бұрын
Uko vizuri sana she wangu
@istambulahmed6664
5 сағат бұрын
شكرا وجزاك الله خيرا وبارك الله فيك
@cholombuda1658
Күн бұрын
Sheikh wng mimi nakukubali sana ila kwenye hili naona unatumia nguvu nyingi kutetea nikweli wanasiasa wanamakosa yao ila lengo la maandamano nikuacha vifo vyamakusudi Leo kwawanasiasa kesho itarudi tena kwufa kwa mashekhe tena kwakufatwa majumbani kwao hili jambo lazima likome kwanza
@mikidadiyusufu5666
Күн бұрын
Aaaaaaaa jamani ponda usimpe hiyo sifa haipati Wala Hana hiyo sifa
@elisantemlay754
15 сағат бұрын
Nimemsikiliza shekhe kwa makini sana, udiini umechukuwa nafasi kubwa kwenye akili yake, pia maandamano yanayofanywa na wanasiasa nchini ni uwasi.
@sikapendinakapenda4170
4 сағат бұрын
Lazima awe Mdini kwani yupo kwenye jukwaa la Dini, au ulitaka awe nani ?
@KiringoMtemi
4 сағат бұрын
Vua kanzu na kofia utangaze siasa je mtume alisema mwanamke aongoze ???
@MaryTibangayuka
Күн бұрын
mna njia nyingi za kujipendekeza kwa raisi
@zariadunia6328
19 сағат бұрын
Bora kujipendekeza kwa Rais kuliko papa fransis 😊😊😊😊
@songombingo108
4 сағат бұрын
Kumamakoooo. Kujipendekeza ndo nini
@AthumaniBakari-o6r
Күн бұрын
SINDIO HAO WANAOTEKA WATU KWAUPEO WANGU MIMI WANAOTEKA WATU MWAWAJUA ILA HAPA MM NAONA KUNA KIPENGELE CHA KUJIPENDEKEZA KWA MKUU WA NCHI
@uledihassan6065
18 сағат бұрын
Hana lolote huyu, jasiri ni yule anaekosoa mamlaka na sio yule anaekosoa wakosoaji wa mamlaka
@zariadunia6328
19 сағат бұрын
Sheikh umepiga kwenye mshono hayo ndiyo yanaendelea kwenye taasisi zetu natamani ungeanzisha taasisi yako sheikh mziwanda
Mziwanda na shekh ponda ndio watu walipaswa kuwa kwenye uwongozi bakatwa
@abbassmshaury7572
Күн бұрын
kama huwezi kutoa coment ni bora unyamaze sio kuleta coments zinazoweza kuamsha fitna kwa vjongozi wetu hatutaki kuingia kwenye mambo ya fitna tumechoshwa nazo.
@BilalMuhammad-jt6sq
Күн бұрын
@@abbassmshaury7572upo sawa ndugu
@alzawahirabdallah2299
23 сағат бұрын
@abbassmshaury7572 hao viongozi wenu umeona wanatetea haki za waislamu aw wanatetea matumbo yao tunataka viongozi wenye kujua wajibu wao
@moddy8744
Күн бұрын
Mashallah
@ImanSaid-q4i
Күн бұрын
😂😂😂
@ShabanMohamed-e9l
2 күн бұрын
Ukiwa na uhakika na Allah na uka mtekelezea anayo kuhitaji Kwa usa hihi ya nini umu ogope mtu
@MusaMuhammed-f4l
Күн бұрын
Ata raisi akiumwa ata pelekwa ulaya 😂😂 mfano butu kabisa sheikh wangu
@Daudimakaza-s1v
Күн бұрын
Wabudu majin wamekutan mtume wao pepo mungu wao shetan
@JumaOmar-ku6cr
Күн бұрын
Wewe ni rafiki mauzinde mjinga mmoja wewe
@AlexMnane
22 сағат бұрын
Kama huna ujumbe wa kujenga Bora umyamze Kim ya nao utakusaidia sana katika maisha yako na familia yako
@KudraWanguvu-em1xw
18 сағат бұрын
matumizi ya akili ujaitumia vzr
@taurehassan7399
16 сағат бұрын
Unahasadi wakaribia kumfkia ibilisi
@songombingo108
4 сағат бұрын
Kumamakooo kama inakukera utajiju
@ramadhanmahongole9293
Күн бұрын
Huyu sheikh ana udini sana
@msambalamjukuu3866
Күн бұрын
Sio shee falsafa ya kislam ndio ilivo umimi
@AlexMnane
22 сағат бұрын
Sijaona udini alionao huyu shehel anafundisha zaidi Dhima mzima ya kutokuwa na ubinafsi uliokithiri.
@ramadhanmahongole9293
22 сағат бұрын
@@msambalamjukuu3866 kweli waislamu wana ubaguzi sana
@ramadhanmahongole9293
21 сағат бұрын
@@AlexMnane ukiona sheikh kila Napo simama kwenye jukwaa lazima ataje ukiristo jua huyo sheikh ana udini. sheikh asiye na udini hawezi kuzungumzia ukiristo dini isiyo yake
@ramadhanmahongole9293
21 сағат бұрын
@@AlexMnane utakuwa hujamfatilia vizuri huyu sheikh ni mtu wa kulialia sana mara utakuta anasema wakristo wamependelewa yani ni mdini sana
@mohamedS-yd9wh
Күн бұрын
Sheikh wetu ukweli mtupu huo ila tunaokumbushwa tunakumbushika? Au wengi wetu tuna ubongo bila akili yenye ufahamu na imaani mioyoni mwetu, msiba juu ya msiba. Tufungueni masikio macho na akili zetu.
Пікірлер: 48