Na sisi tulikua nje ya nchi kwenye kazi mkataba wa miaka 2 inakuaje
@mohammedalishamis9405
22 сағат бұрын
Nimelipenda swali lako ni muhimu kujua Ngoja tusubiri aweza kujibu hapa Shekh tukapata faida sote
@sabahbakari5155
21 сағат бұрын
Hata mm nataka kujua pia
@qwerqasd8597
21 сағат бұрын
Hata na mimi natamani kujua kuhusu sisi tuko inchi za kiarabu
@SaidHassan-ot3un
20 сағат бұрын
Alla haitambuwi ibada ya mtu asiokua na elimunayo,hilo suali lako ulitakiwa ulijue kabla ya hiyo safari yako ili ujuwe unafanyaje,alla atusaidie
@UMMA_TV1
20 сағат бұрын
Umeenda inje ya inchi na unajua utakaa huko mda kadhaa unaswali rakaaa zote bila mapungufu
@AsmaMbarak-c2j
11 сағат бұрын
Kweli sheikh mashaallah
@omanmct135
14 сағат бұрын
Mashalllah
@saumuothman3588
14 сағат бұрын
Me swal moja kwa sheikh kishki samahan me nilikuwa nauliza hivi je ikitokea safr yako imekutana na swala zaidi ya mbili unafanyaje ?? Kwa mfano alfajir upo safarini na ukafika safar yako magharibi unafanyaje?? Hapa kdg kuna khitilaf alaf pia umeenda safarini kimasomo let say dodoma na ikafikia siku mnafanya mtihni may be swala ya alasir ikakutana na magharibi upo kweny mtihan unafanyaje????? Msaada please
@Yu-jr9uf
19 сағат бұрын
Assalaam alykum shekh, ukishafika huko safarini hauruhusiwi kukusanya swala??
@qwerqasd8597
21 сағат бұрын
Wangine tuna myaka 5 warabuni na sisi tusali safar?
@SaidHassan-ot3un
21 сағат бұрын
Kwani kabla ya sheikh kujibu muda wote huo munasali vipi?
@binseif2216
12 сағат бұрын
Sheikh hili limekaaje navyojua safar inaanzia km 13 mpka 15
@KhajimuloKhajimulomashaury
10 сағат бұрын
Shekhe hapo cjapaelewa kwani siwezi kutayamamu nikiwa kwenye gar nikaswali
@9119-r4t
17 сағат бұрын
Rudi usome shekh unakosea sana
@binfarhan879
13 сағат бұрын
Kosa lake lipi hebu ainishi. Usionishi Chuki had apa.
@hassanmohdally5217
Сағат бұрын
Naombaa utuelekezee shekhee kakoseaa wapi tupate elimu na ss
@9119-r4t
59 минут бұрын
Hiyo kusema safari ni kilometres ngapi wapi dalili
Пікірлер: 32