Nimechukua hii❤ Mimi nakaa sehemu ya kushinda sikai sehemu ya kushindwa
@allyhasani3750
4 сағат бұрын
Kachawa kanajiita shekh mnafiki mkubwa wwe
@UswegeJohn-ov3ym
6 сағат бұрын
Yaani huyu jamaa ni kigeugeu sana!!
@VitalisMmassi-oh4jb
52 минут бұрын
Mashehe njaa kali
@babazungu3180
2 сағат бұрын
Mbona una mwita mwenzio mtoto kama vile unaweza kumzaaa au ni mwanao,achaa dharau brother
@HusseinHassan-gt3nn
5 сағат бұрын
SWAFI SANA SHEYKH WANGU.WACHANE HIVYHIVYO HADI WASHIKE ADABU ZAO HA.NGURUWE WAKUBWA.NA MWAKA HUU HAWAPATI HATA NFASI MOJA.
@FadhiliMakasi-g5m
4 сағат бұрын
Piga kazi Mwapopo hatutaki mambo ya Ribiya kumuua Gadafi bila kosa. Mnatumwa Kuichafua nchi mnaleta Uchochezi udini viva Mama Simia
@reginaldmapunda6702
7 сағат бұрын
Chadema mnasema serikali inahusika, Sheh anasema Chadema nao wanateka watu. Sasa unaitaka serikali imkamate sheh na lakini Mbowe asikamatwe. Ungekuwa sahihi kama ungesema sheh na Mbowe wakamatwe na kuhojiwa. Chadema mmekusanya wachungaji, manabii, mitume, wabarikiwa na maaskofu na mnashinda nao mbarabarani kutwa kucha bila kujali hao wanatakiwa wawe kwenye mimbari zao ila unamshangaa sheh kueleza kila anachoamini.
@kijitamfyomi5598
6 сағат бұрын
Wewe unakumbuka uliwasema kina sheikh Chizenga kuhusu isue ya sheikh Alhady.baadae ukapigwa pini njaa ikakushika ukageuka na kuanza kumchamba sheikh Alhady ili upate Radhi za kina chezenga,yani hata huelewekagi,
Apo ulipo umevunjwa mikono na unaukilema Cha kupigwa na polic mshamba wa mambo
@kijitamfyomi5598
6 сағат бұрын
Ila ufahamu watu wote wanakuona we ndo bogus na ndio maana watu wamekushtukia hata mafuta yako feki hawanunui tena sasa tafuta biashara nyingine tena watu wanajua we ni njaa ndo inakusumbua, hata wewe si sheikh umepata wapi elimu ya dini hadi unasema unauwezo wa kuombea watu ama unataka kuwalia watu pesa zao kwa dhulma
@fatmafatu1128
2 сағат бұрын
Mashehe njaa wakamatwe kama wanaleta uchonganishi
@Sobo740
44 минут бұрын
Mwaipopo ktk wapumbavu naww upo
@johngerald4677
8 сағат бұрын
Kumbe ili ni nzi la kijani
@gabrielmzomkunda4881
3 сағат бұрын
ACHANA NA CHADEMA WEWE MMBWA KAZI KUPAYUKA TU ...WEWE MALA UMEMVAMIA MWAKA ,MALA UMEMVAMIA SHEKH WA MWANZA MALA MAMA B MALA SHEKH MAZINGE , WEWE NDIYO NJAA INAKUSUMBUA ...WEWE UISLAM WAKO NI NJAA TU
@kijitamfyomi5598
6 сағат бұрын
Uliwatapeli wakenya ukafikiri wamelala kama cie wakakutupa korokoni ulikua unalia usiku na mchana,sharifu majini ndie aliekupigania kutafuta pesa ili utoke na ulivyotoka tu ukamgeuka yule alokusaidia na kuanza kumsema vibaya sasa wewe una akili kweli?
@joezeno8
3 сағат бұрын
Sasa hivi Mwaipopo anaacha uganga anakuwa Msemaji wa Serikali na Polisi!
@kijitamfyomi5598
6 сағат бұрын
Sasa hivi unawaogopa bakwata kama ukoma.juzi msiba wa dida masheikh wa bakwata walikuwepo na walitoa mawaidha,lakini ulivyokua huna inswaaf ulimvaa sheikh Mazinge eti kafanya kosa kubwa sana kutoa mawaidha kwenye msiba wa Dida halafu unajiita msema haki Mwaipopo muogope Allah wewe
@marionoti5760
3 сағат бұрын
Na wewe ni mmoja ya wenye njaa umehadaa wangapi ili kujaza tumbo bilajasho?Mara mkristo, mara mchungaji, mara shehe, sasa unahangaika, na kukosa usingizi na chama cha siasa. si shangai yawezekana uliko umeshitukiwa , unatafuta pa kujishikiza. wanafiale huwa sio machawa, we mbegu ya wapi hata ukubali uchawa?acha kuweweseka,na utapeli Unatuaibisha. Fanya kazi halali utabarikiwa.
@allyhasani3750
4 сағат бұрын
Nataman nikuchape viboko mpuuzi wewe
@fatmafatu1128
2 сағат бұрын
Sawa chawa kwenye ubola wako samia akupe hata ubalozi wa nyumba kumi wewe mwenyewe sio shekhe acha kujipa cheo cha ushekhe
@fatmafatu1128
2 сағат бұрын
Uwe unatua makuhozi yako kabla hujaja live unatukela kutoa makohozi hadharani
Hivo jua kutajwa kwake ni kwa kutaka Allah aliyetuumba
@WazirBoy-fe5ew
8 сағат бұрын
Yaani ili lijamaa sijui mtu wa aina gani, mbona hukumuambia msiba alivyomuambia john mnyika kuhusu alivyotoa ripoti ya mzee ally kibao, mpumbavu sana wewe mwaipopo
@emmanuelnganya9722
7 сағат бұрын
@@WazirBoy-fe5ew Jamaa anatumia ya njombe 🤣🤣🇮🇱🇮🇱
@fatmafatu1128
2 сағат бұрын
Kadogoo ananjaa kama wewe halafu hajasema wewe kasema shekhe tena shekhe mwenyewe ni mziwanda nae anaropokwa kama wewe hakusema wewe unamjibu wa nini kama sio kutafta kiki
Пікірлер: 31