Kwani wasimuhoji yeye sio mtu? Ameongea hadi mie nimeli anavo ongea anaongea kwa uchungu kama wengine
@AsungaSteven
4 күн бұрын
Mwanaume chozi huwa halitoki ......Shetani yupo sawa
@malietamaliet
4 күн бұрын
mnaomcheka shetani wa yanga mnaona anaigiza ila mjue ako serious inauma mtu anakuaidi kukusaidia na anapoteza maisha nyie yasikie tu kwa jirani make 😢😢😢 hamuezi jua uyu anapitia wakati gani na alikua anampenda sana japo kimasiala
@NasraMichael-y7f
4 күн бұрын
pole sana jaman 😢😢daah inauma sana mpaka machozi yananitoka😢
@Cr.Ronaldo.jr7
2 күн бұрын
Pole sana mzee yanga
@HanifaJuma-z4w
3 күн бұрын
Kweli kaumia jamani 😢😢 pole utapata mwingine atakusaidia
@Tz0216Elctnkuhungu
20 сағат бұрын
Achana na jina hilo la shetani wa Yanga. Umeachiwa ujumbe huo. Usipuuzie. R.I.P. DIDA
@samwellucas2906
4 күн бұрын
Jamaa kaumia kweli wala siyo utani hataniii...
@Hamis-ks1sy
7 сағат бұрын
Daaah! Sema hii nchi 🤔🤔
@ThomasAlute
3 күн бұрын
Yaani shetani wa yanga anaongea kwa uchungu kwa sababu tayari alikuwa ameahidiwa kitu lakini mungu kampenda zaidi
@fatmakhanii1676
3 күн бұрын
Yani maumivu yote hayo eti naumia sjanywa chai 😂😂😂muandishi nae hajapoa eti pole shetani 😂😂
@HawaAkida
Күн бұрын
😂😂😂
@Ommyblacktz13
4 күн бұрын
Hivi Nani aliyewatuma muhoji shetan😂😂😂😂😂😂😂
@Ayshernasolo
4 күн бұрын
Uliaji gani sasa huo isitie zambi
@KinanaSantosy
4 күн бұрын
Mungu Ampe kauli thabiti huko Aendapo 😢 R.I.P dida daaah kifo ni fumbo kubwa 😭😭😭😭
@meryamreally2768
4 күн бұрын
😭😭😭 pole Sana kaka Aaaah pole dada 😭😭😭😭
@frankmlinda1181
2 күн бұрын
Kwaiyo mlikuwa mnataniana shetani
@abdallaselemani
3 күн бұрын
Dah 😂😂😂
@elizabethchabluma-zw5qz
3 күн бұрын
Pole kaka muombee dada yako
@husseinbachwa8372
4 күн бұрын
Na serikari isiingilie kulia kwako Shetani...
@annodaboy
3 күн бұрын
😂😂😂nimecheka kama mazur daa sorry
@TausiAlly-d8e
4 күн бұрын
Pole 😢😢😢😢
@rahmazahor4333
4 күн бұрын
Pole jamani dahhh
@abubakarykivo7366
4 күн бұрын
Et pole sana shetani😂😂😂
@kichefuchefu2382
3 күн бұрын
Huyu yupo serious
@alfredmtatina9318
4 күн бұрын
Tuko kwenye maombolezo tafadhari,acha kuvunja watu mbavu😂
@FrenkMushi-i7f
4 күн бұрын
Pole sana shetani wa yangaaa 😂😂😂😂😂😢😢
@CcC-lf7on
4 күн бұрын
pole
@farajasospeter9668
4 күн бұрын
Shetani nae analia😂😂😂😂
@KisaMax
4 күн бұрын
Uyu kweli shetan kitambaa chake chakizaman😂
@madisonjonathan4112
4 күн бұрын
😂😂😂😂hatarii sana
@madisonjonathan4112
4 күн бұрын
😂😂😂😂anasema et hajanywa chai
@AnasaMaliki
4 күн бұрын
😅😅😅😂😂😂😂Alii kweli huyu 😂😂nyinyi mwangalieni vizuri Kila msiba lazima mtu ucheke
@evansmoshi1923
3 күн бұрын
Jamaaa anaongea kwa ugwadu sana😢😢
@franccoz94
4 күн бұрын
Ila shetani bwanaa ni Miyayushoo
@anastahiliutawala3879
4 күн бұрын
Shetani leo kalia
@halidimgonza5945
3 күн бұрын
shetani ndo kulia gn ht choz hkn
@salmamlokela1987
4 күн бұрын
Huyu bwana wenzie tumefiwa yeye anatuchekesha unalia hta choz una😅😅
@HunguZambia
4 күн бұрын
Pole Afrique
@jazzjeff8431
4 күн бұрын
Itakuwa shetani WA bongo movie huyu
@songombingo108
4 күн бұрын
Shetani huwa halii bhana😂😂😂😂😂😂😂
@Shamol-l8l
4 күн бұрын
Mkwe jamani
@hamzaibrahimu
4 күн бұрын
😢😢inahuzunisha ila huyu jamaa fala kweli
@SalhaSasha
4 күн бұрын
Uenda maisha na baba yake akuwa na mapenz nae ndo mana ajaumia
@yahfatmudswiddiq2271
3 күн бұрын
Aisee atakayeishi miongoni mwenu ataona
@makischocho4613
3 күн бұрын
Uliwai kuona shetani amelia akitoa machozi kweli?
@SaimonMwambe
4 күн бұрын
😂😂😂😂😂 ila huyu jamaa ety ata kuwa maarufu Kama diamond na harmonaize
@songombingo108
4 күн бұрын
Acha weeeeeee Shetani analia??????😂😂😂😂😂😂
@rwechungurajohn3592
4 күн бұрын
Haaaaaa Leo umekana eti umekuwa utani wakati ulisema unamaanisha kuwa unataka kumuona
@JoelTeti-q3w
4 күн бұрын
Sasa hapaa mtu acheke au alie?😅😢
@esthermakelemo2864
4 күн бұрын
Ila SHETANI bwana,alimtaka dida hata nauli alikuwa Hana?Aki Wanaume nimajasiri sijapata kuona
@omaryadam6884
4 күн бұрын
😂ndio uanaume huo,
@tuikezeezra1315
4 күн бұрын
Yaani mmhhhhhh
@IssackJackson-r7k
4 күн бұрын
du inauma aisee kama nikweli ndyo usione hivyo tu
@Shamol-l8l
4 күн бұрын
Hapa naona shetani wawili
@evansmoshi1923
3 күн бұрын
Jamaa linaongea kwa uchungu utafikiria halina mke kumbe lina mke lishindwe na lilegee pata picha mke wake akiangalia hii video anapata picha gan, limwanaume linalia iv yan kwel dunia imefika mwisho, mara P didy yan tunaomba mtuache kwanza maana sasa hii ni zaid ya movie.
@EdwardAnthony-c7u
4 күн бұрын
😂😂 tupo kwenye maombolezo ila huyu mwamba anatuchekesha 😂😂
@alfredmtatina9318
4 күн бұрын
😂😂😂😂
@JescaRabson
3 күн бұрын
😂😂😂 kweli nikajua ni mm tu
@devothaignatius5256
4 күн бұрын
😭😭😭😭😭😭
@AbuuAyubu-t7c
3 күн бұрын
Huyu dida hadi shetani kaja kuzika
@KinonoJuniorkinono
4 күн бұрын
Wewe jamaa ni komedy mkubwa😂😂😂
@abdulmalikmassoud2229
4 күн бұрын
Dida baba usitochekeshe tuna msiba shetani wa yanga
@CleyKobelu-j8n
4 күн бұрын
katika watu wauni hakika mtu wa kwanza kwa uhuni ni uyu anae jiita shetani
@AgnesAbel-b1i
4 күн бұрын
Huyu jamaa miyeyusho sana aisee imebidi nicheke
@lewismpangala927
4 күн бұрын
Hili jamaa😂😂 niburudani sana
@veronicacharles2427
3 күн бұрын
Maskin😢
@LabiloWabikongo
4 күн бұрын
shetani ww ni hatarsan leo nimeamin ww ni shetan kwel ila unafurahishasan tunamsiba ila ww kiboko innalilahi wainna lilahirajiun
@DadiIssa-t5z
4 күн бұрын
Huo shetan kwel ni wamchong maana haelewek ila utopolo wamferisha
@daudysanga8492
4 күн бұрын
Choko hili kama unataka kuwa maarufu nenda kwa piddy
@husseinbachwa8372
4 күн бұрын
We jamaa muhunibsaaana unaandaa Tena kichekesho baada ya kuzika....
@esthermakelemo2864
4 күн бұрын
SHETANI Rudi kwa mama rabiati,huyo ndo wako wakufa nakuzikana
Пікірлер: 94