Maulamaa walitukataza kitambo juu la jambo la maandamano. Shari ilioko ndani yake ni kubwa sana kuliko manufaa. Tukae mbali na maandamano ndugu zangu hayana kheri bali madhara makubwa ndani yake.
@zakiaqasim5312
10 күн бұрын
Subhaana Allah viongozi lazima wafikirie hasara inakuŵ ni kubwa sana
@fatmam8365
10 күн бұрын
Allah awahifadhi nyote. Alhamdulillah ala salama
@hassankinuthia758
8 күн бұрын
Sio sawa, tafuta msaidizi
@elishamwambo6565
10 күн бұрын
Abu tafuta kijana akusaidie kaz si Sheria na nihatari kuendesha Gari na SIM mkononi
@hafidhabrishaabrisha848
10 күн бұрын
Aaa sasa imezidi Wana choma magari nakuvunja cafe, hii namaduka, hii kweli hii mandamano
@hateebjrpresenter001
10 күн бұрын
Alhamdulillah
@jimjam-xg7rv
10 күн бұрын
Maa Shaa ALLAH 💚
@ismailibrahim6616
10 күн бұрын
Shukran sana Sheikh wangu kwa update zote unayotuletea ya Mji wetu, wa Mombasa tunamuamba Allah akulinde na akuhifadhi, Ukumbusho ndogo tu maaalim ukiendesha gari tafadhali vaa seat belt na usizungumze na ma simu na mike inakua bad example kwa watu wanaokufuata video zako na ni kinyume ya sheria.
@user-nx7jd3cf1m
10 күн бұрын
INNA LILLAHI WA INNA ILAIHI RAAJI'UUN.
@shukridida
10 күн бұрын
Yani hii ni jasho ya MTU hawa mbwa wameharibu ivi.
@muktarkassim6647
10 күн бұрын
Pahali popote panapokuwa na kheri haikosekani shari tatizo ni kiongozi SI mwananchi ukiwa mwenye dhulma ww kiongozi hujali maraia basi nao watakuwa hivo hivo ...
@MahamudEggeh
10 күн бұрын
Turudi kwa Mwenyezi Mungu jamani . Yaani binadamu aweza kuwa Mashetani hivi?
@gamarmahsan8254
10 күн бұрын
Ni kuomba mngu kila tukaapo lakini duniya ya leo hakuna ukweli wote ni gora moja
@user-cz6hi6cb6s
10 күн бұрын
Sasa imekuwa ni uwizi na si tena mandamano.
@hafidhabrishaabrisha848
10 күн бұрын
Nasema Hawa Viongozi wakae chini na Wana nchi wayazugumze haya mambo bila hivyo hiichi inadidimia, Sii school, Sii sipitali,Wala wafanyi Kazi wote wanaumia kwahio waokowe jahazi,Sisi ndio tuliwachagua.,
@ARNOLDKARISA-fs3ht
10 күн бұрын
viongozi waache urongo hapo ndio matatizo yalipoanza
@khadijaali6
10 күн бұрын
Ni wapi huku
@sarahmuhammed6872
8 күн бұрын
Mombasa kenya
@gamarmahsan8254
10 күн бұрын
Mwachekesha
@user-rn1xk1yr5j
10 күн бұрын
Fungua madrassa usomeshe usikae mahotelini
@chozilasamakikachumbari6705
10 күн бұрын
😂😂😂😂 wacha ninyamaze
@khalfaanjeilaan3922
10 күн бұрын
Wewe madrasa yako iko wapi tuje tusome?
@user-rn1xk1yr5j
10 күн бұрын
@@khalfaanjeilaan3922 kwanza muache kuenda mahotelini Kisha ntawambia wapi
@sarahmuhammed6872
8 күн бұрын
@@khalfaanjeilaan3922hahaha kwa hiyo mashekhe na maustadh bi marufuku kwendA mahotekini??hiyo ni bidah ya 2024
@sarahmuhammed6872
8 күн бұрын
Kwani mtu hafai kurefresh mind kwa kua ni shekh au ustadh ?kuna time ya kuoumzika na time yakusomesha
@priscaakinyi1383
10 күн бұрын
Shk Yusuf ni nani? na kwa nini walenge gari zake?
@sarahmuhammed6872
8 күн бұрын
Sio gari zake ,yeye akikua hapo place palipotokea huo uharibifu
Пікірлер: 33