safi sana haya ndio mawazo chaya ! kwani leo umeleta mipango nyeti sana,😂😂
@danielmuro5707
10 ай бұрын
Good idea bwana nkumbi.
@yapukahassan
10 ай бұрын
Wamekalia kuwapromote dp world hakiri mgando. Umenena vema bro
@hakiyangu
10 ай бұрын
Umesema safi sana ila Tz yetu viongozi akili ndogo japo wengine wana elimu kubwa.
@malizeniengibethi5295
7 ай бұрын
Nondo mzito hizi Tanzania ni Bongo land lakini sasa ni bongo lala
@gracemima5234
10 ай бұрын
Vijana Kama Jeremy serikali hawaoni. Tuna vijana Wenye akiri lakini surname zawo sio Kikwete , Munaule ama Makamba. Vijana wanateuliwa sio kwa maarifa, akiri wala elimu zawo bali kwa majina yawo. kuendelea kwa uongozi wa ubaguzi tulio nawo
@user-pd1kk3xd4u
10 ай бұрын
Joram wote tuna Mawazo hayohayo vijana wote lakini aya majambaz ya Karam kam akina samia ndo kikwazo
@Hassan-bq8bg
7 ай бұрын
Kwa Tanzania yetu haiwezekani
@yubraTV
10 ай бұрын
Hakika mlumbi umetoa madini adhwim sana
@goodramamwanyombo6756
10 ай бұрын
😂😂
@bertinkimati2674
10 ай бұрын
Umesema jambo muhimu sana ndugu. Tatizo tulilonalo nchini ni kuwa na viongozi wabinafsi. Unapoongelea kuona technology Tanzania Ina watanzania wengi sana walionahatika kusoma nje ya nchi na ni maprofesa na wengine ni engineers. Na mnaweza kukumbuka hata ndege tulizonunua aliyeleta ni mtanzania baye ukiachia urubani yeye ni engineer wa ndege. Tumekuwa tukiomba urais pacha ili kuleta technology nyumbani tukiangalia kuwa tunaweza kurudi nje tulikojiendeleza lakini kwa sababu ya viongozi wabinafsi wanakataa waliogopa challenges za wasomi tulio nao nje ya nchi.
@user-mh5mx1kn8j
10 ай бұрын
Tumechoka porojo zenu kila mtu bandar bandar hamna shughuri nyinyi
Пікірлер: 16