mi nahisi walikuwa wamuwache yule yule mgunda shida ya timu yetu haikai na makocha ndo maan tunayumba sana
@maxmia100
3 ай бұрын
Sasa hivi mnasema mnatengeneza timu ila mwisho wa ligi hammtaki mangungu .. sema safari hii Simba isipochukua ubingwa mfukuzeni mo coz viongizi waliojiuzuru ndo wamerudishwa kwenye uongozi
@mtumenyagaly9217
3 ай бұрын
Ukweli ni kwamba sina imani sana na huyu kocha kama vipi timu angeachiwa Mgunda
@DadiIssa-t5z
3 ай бұрын
Hap hakuna mchambuz
@JonayMbelwa
3 ай бұрын
Mechi tano za kwanza kocha wa simba atakuwepo tena tz
@medardjustinemakonge9900
3 ай бұрын
Kimsingi huyu kocha nimodogo mno kwa simba: harafu historia yake hajawahi kichukua kombe lolote A,kusini,,Kila timu aliyowahi kifunfisha ilishuka daraja:: sasa sijajua viogozi wameona nn kwake:: ngoja tuone mda utaogea:
@richardvallerian1003
3 ай бұрын
Sina imani nae kabisa
@adventureernest5599
3 ай бұрын
Mbona Bayern Munich wamemchukua Vincent company kuwa kocha wao wakati timu aliyokuwa anafundisha england imeshuka daraja
@flova7022
3 ай бұрын
Arteta unamjua
@samwelchiamba6866
3 ай бұрын
Walitaka Simba iendelee na kundi Lile Lile la mamluki waendelee kutufunga tano wamekwamaaa
@emmanueliman7408
3 ай бұрын
Hujui chochote ww
@JosephJumbe-w6h
3 ай бұрын
Nakuhakikishia huyo kocha hatamaliza msimu mmoja tu chukua hii!!!!!!
@Esterkomba-ef7eb
3 ай бұрын
Hii chanel ya umbea sana hasa huyu dada
@ShabanMohamed-e9l
3 ай бұрын
Ndio maana ume ficha macho Kwa gras maana hina lolote
@MalikiKavindi
3 ай бұрын
Oruma mbona hanaga akili ni kigeu geu yaani malaya
Yaan huyu demu maswali yake yote na chombeza zake zote anatafuta/kulenga negative matters
@franccoz94
3 ай бұрын
SIMBA YA MANGUNGU HAIWEZI KUCHUKUA UBINGWAA MBELE YA YANGA NA AZAM, WACHEZAJI WANAOSAJILI HAWANA HIYO QUALITY
@sadih5333
3 ай бұрын
Hatuna haraka kombe lipo tu.
@samwelchiamba6866
3 ай бұрын
Wewe Nani pale Simba ? Tuacheni na timu yetu utopwinyo bhana kila wanalofanya Simba wanakosoa shoboo
@taseleli9181
3 ай бұрын
Timu inajengwa upya Sasa tulieni timu ijengwe kwanza muda utafika kila kitu kitakuwa sawa nyumba haijengwi siku moja
@franccoz94
3 ай бұрын
@@samwelchiamba6866 mm n shabiki kama ulivyo wewe, nawewe unahaki ya kutoa maoni yakoo
@Esterkomba-ef7eb
3 ай бұрын
Mweleweshe huyu dada kwani huja sikia viongozi wakisema wanatengeneza timu au masikio yako mabovu wametawala Africa wako nafasi ya ngapi Simba nafasi ya 6 Africa twambia yanga yangapi
@samwelchiamba6866
3 ай бұрын
Wote hao Ni utopwinyo wanaulizana kuhusu Simba unafikiri kuna majibu ya maana hapo?
@emmanuelnkwabi8610
3 ай бұрын
Hakuna mchambuzi apa
@williamreuben4866
3 ай бұрын
Daah yaan nimekuelewa vyema,haujui kabisa
@gorettimtungwe9011
3 ай бұрын
yaani wewe umesoma kwa misaada ndiyo maana akili yako inaishia puwani hapo, kwani lazima uchambue Simba? Hilooo
@lucymsheshi5871
3 ай бұрын
Eti oruma nae mchambuzi 😂😂😂😂😂😂 ngoja ni unsubscribe
@AbrahamChengula
3 ай бұрын
HHAKUNA MCHAMBUZI WA MPIRA HAPI,HUYO NI BONGO WAZII TUU
@selemaniSalumu-p2e
3 ай бұрын
Hivi mchambuzi huyu ameajiriwa au anajitolea mana kama Yuko field vile
@gorettimtungwe9011
3 ай бұрын
Amesomeshwa kwa misaada ndiyo maana karukia kazi A watu jioni hata ongea yake
@nadilhassan6414
3 ай бұрын
Yan wachambuzi wengine mmesoma nini Simba nitaasi huko kusajili nimapng isaha
Пікірлер: 35