Unafikiri ni kwanini imekuwa ngumu sana Simba kumsajili mchezaji kutoka vilabu vyetu hapa nyumbani? Wasipoondoa udhamini wa Mtu mmoja kwa vilabu vingi kwenye ligi haya hayataisha kwa Simba.
@Mumlion2624
3 ай бұрын
Binafs namuonea hurum lawi anakipaji lkn costalunion wanambania mno ..cecafa hajacheza yan wananikera muachen dogo aende kaonen changamoto mpya
@DaudSlungwe
3 ай бұрын
Lawi awai tu mazoizini simba
@halimalachpat1927
3 ай бұрын
Ubaya ubwela
@jonamnyone8014
3 ай бұрын
Coastal imejaa wahuni wanafikiri uuzaji wa mchezaji ni sawa na kuuza ndizi
@AnnoyedDove-oo3kk
3 ай бұрын
Hapo UKute kuna kakiongozi ni kayanga ndo kanatia ugumu
@elibarikigideon6677
3 ай бұрын
Acheni upumbavu Kama hamna Cha kuandika nyamazeni
@iddykamona8917
3 ай бұрын
Sisi Kama Simba,akibainika kuwa ni Kweli Simba walimsajili.na mchezaji na cost wameamua kuleta zengwe. akae nje miezi 6 baada ya hapo atapelekwa kwa mkopo ligi daraja la kwanza
@ismailhassan5209
3 ай бұрын
We kama unamtakia mema Lameck au kumpandisha daraja feadha zimewekwa kwenye account unashida na hela unajua anpokwenda kwa nini mashindano ya kumharibia. Simba ingemu expose Lameck kimataifa Coastal mna hatihati kwemda group stage mkishindwa Lameck kwisha na Simba itaendelea na vijana wengine siyo Lameck tena. Hivi hamsomi? Subiri dua ya Lameck atakayo waombea kukataa pesa za Simba.
@ismailhassan5209
3 ай бұрын
Ikiwa timu za nje zinakubali wachezaji wao wazuri waende Simba ninyi na Asec au Vita nani mjuzi zaidi Lameck akiprove Simba anaenda nje msijidanganye hmna hadhi ya kutamiwa wachezaji wenu kuliko Simba. Simba ni daraja kimataifa kwa wachezaji toka nje ya Tanzania Karaga baho mtakula kiporo.
Пікірлер: 12