Tina alikuwa masomoni India na baada ya kumaliza masomo yake anaamua kurudi nchini Tanzania, hakuwa na baba lakini mamaake akawa amepata mwanaume mwingine ambaye yupo vizuri sana kifedha,, sasa Tina anaingia kwenye vita ya kumtoa mamaake kwa huyo mwanaume ili aolewe yeye, akadiriki hadi kumpa mamaake upofu ili yeye aolewe na babaake..
ungana nami LUCAS LUMBASI mwanzo mpaka mwisho katika simulizi hii ya LAZIMA MAMA AWE MKE MWENZANGU
KAMA UMEPENDA SIMULIZI ZANGU LIKE, SHARE, COMMENT, SUBSCRIBE NA USISAHAU KUBONYEZA ALAMA YA KENGERE ILI USIPITWE NA SIMULIZI MPYA
Pia Tembelea kurasa zangu za mitandao ya kijamii
INSTAGRAM: / lucaslumbasi_tz
FACEBOOK: / mrlumbasi
TIKTOK: / lucaslumbasi
Негізгі бет SIMULIZI FUPI: LAZIMA MAMA AWE MKE MWENZANGU (WAKUBWA TU)
Пікірлер: 145