Kuna jamaa mmoja ana manywele kibao na mandevu mengi amevaa kanzu fulan hivi sijui anaitwa Tanna sijui nan Dah Jamaa anaigiza vizur kinoma,Ana composer sana mwamba maua yake❤❤❤ 🔥 🔥
@sirviadominick
2 ай бұрын
Namm nampenda
@HubaMsangi
2 ай бұрын
Tanu
@ZaylinahNindae
2 ай бұрын
Tanuuu❤❤❤ msaliti 😅
@HamisiMatipura
24 күн бұрын
ijawai kutokea movie kali Kama ih nchini kwetu ponqezi apewe clam❤❤❤❤❤❤❤❤❤
@KizaRachid
2 ай бұрын
Namimi leo naombeni like zangu vipenzi vya snake boy japo nimechelewa dakika 40 tu a boy from 🇱🇷🇱🇷
@Watisarecaps
2 ай бұрын
Aaaah noma sana
@rebekamathayo3833
2 ай бұрын
Uzipeleke wap hizo like jamn
@kingcicero1708
2 ай бұрын
Nilisema kwamba NTANZI ajamezwa na nyoka ile ilikuwa ni ndoto, kumbe ni mawazo na MWASI, leo mmeona acheni kuomba likes tu, muda mwingine toeni maono ndugu zangu. One love from Mozambique 🇲🇿🇲🇿
@milliardere9177
2 ай бұрын
Ndo naelewa sasa
@Jackymomanyi
2 ай бұрын
Kweli🎉
@bellrajkachafuo7813
2 ай бұрын
Wametucheza nilidhn n ndoto bana kumbe wazo
@irenekaro2848
2 ай бұрын
Mbn hiii hatari
@SwabrinanurdhinSwabrinanurdhin
2 ай бұрын
Kabsa watu hukumbilia kuomba likes tuu
@AdrianodePaul
2 ай бұрын
Hongera snake boy ina views weng kuliko nyimb za bongo flavour wapi team clam🎉🎉🎉
@janviernzosaba7145
2 ай бұрын
Big up sana clam vevo unakipaji ca hali ya juu sana
@Mr.D.N.A
2 ай бұрын
Unajisahau sana wew,sensema siku Moja ilikua na viewers 1M
@aishasyala1547
2 ай бұрын
Siku bila akikufa naacha kuangalia snake boy....."waachaaa".....nampenda sana bilaa
@jacksonmassato8017
2 ай бұрын
Tunaosubiria vita ya zinga na chief, gonga like hapa
@Kingmbayo
2 ай бұрын
😂
@CandyLoud
2 ай бұрын
😂🤣🤣😂😂 ila yahitaji wanao ona mbali ndo wataelewa nini umemaanisha😜
@bashirunakona2945
2 ай бұрын
Zinga kaenda kujipanga
@jescahaule4802
2 ай бұрын
😂😂😂😂😂😂😂
@hamisichipa9008
2 ай бұрын
Na inapoelekea Zinga atashirikiana na Ntanzi. Itakuwa noma
@pkcamlesh2465
2 ай бұрын
Hivi hizi likes mnaombaga huwa mwazipeleka wapi,Clam much love from Kenya 🇰🇪nakukubali sana
@julzproperties3744
2 ай бұрын
Nimekuwa wa kwanza leo Director Kasoso nipe like zako from Kenya 🇰🇪 twawatazama
@MtiliCharles
2 ай бұрын
Tangu nianz kufuatilia snake boy sijai pat like at moj from🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮🇧🇮
@ArafaKajoki
2 ай бұрын
Nilikuwa nasoma comment tu lkn niwambieni kuwa naipenda sana snake boy, mungu awabaliki wahusika nawafatiliaji poa❤️🔥
@mauaharun5564
2 ай бұрын
From Kenya kama wakubali snake boy gonga like tukipita🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇶🇦🇶🇦🇶🇦
@holykidke
2 ай бұрын
From kenya 🎉🎉clam snake boy the best
@GilbertKasina
2 ай бұрын
Nakubali
@mtasha5886
2 ай бұрын
😂 😂 Ruto must go..... Anguka nayo
@ShuaybAlly
2 ай бұрын
Ww uliekuepo kenya unapata angalau kuanglia snake boy naona mupo vitani saivi sizan kam munaweza shuhulikia filam
@joshuasakwa1548
2 ай бұрын
@@ShuaybAllyTuko Kwa vita na nani wakati mandamano yenyewe tuko na simu na power bank data ikiwa on
@shebbylegrand
2 ай бұрын
Wakenya wenzangu wa Team Vevo,gonga likes zako hapa🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
This is the real meaning of series I never thought of return of SHAHIDI and his family Ngoma inazidi kunoga
@sivamusic2234
2 ай бұрын
Dah mbn mnabagua jamani ebu nipe like ata 1000 kama kweri ww mfatiliaji mzuri wa #snakeboy #sivamusic #mama #mamaamina
@muhiirwasadiki448
2 ай бұрын
Congratulations, may Allah protect you and guide you in your activities. I am Congolese I really like your talents 🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@SafariJamal
2 ай бұрын
Kumbukumbu zangu zinanambia wewe n Odama,,,,sio wageni machoni mwangu. Ziambie zikwambie zaidi.... 😢😢 Noma sana aisee. Big up VEVO from+254🇰🇪
@lemmyajabu8348
2 ай бұрын
Tangu nianze kufautilia snake boy sijai pata like ata moja... 254 fans let's gather here
@zeyruqhassan4629
2 ай бұрын
Tuko
@BarackZephania
2 ай бұрын
Huo ni ushamba kiwango cha lami
@SHEDDTz-k8g
2 ай бұрын
Weee ni mshamba
@Kabeya410
2 ай бұрын
Hovyo kenge manyoya inaomba like 😅utadhani kacheza 😅vya bure utauponza mk... We omba tu
@gracedzombo5772
2 ай бұрын
Huwa mkipewa hizi like munashiba ama😂😂😂😂
@abudailamy2577
2 ай бұрын
Huyu jamaa ni fala sana yaan ameigiza ufala sana yaani mkewe amekuwa dadake fala sana
@AminaSadallah-yi1dv
2 ай бұрын
Wee aseme ili afe kumbuka nabii Ibrahim na mkewe
@EnikahGeorge-fj6ow
2 ай бұрын
So sad
@jeremiapeter683
2 ай бұрын
@@AminaSadallah-yi1dv Ep iliyo pita mwanamke Ali mtoa Mumewe sadaka kwa mizimu ili Laaana itoweke kwa Hiyo jamaa yupo Sahihi tu..kusema huyo Ni Dada yake..una weza kuvimba mwishowe kifo ksicho na Faida yoyote..
@PetroMarko-x3g
2 ай бұрын
Kaka hiyo nizuri sasa ila unaichelewesha sana
@PetroMarko-x3g
2 ай бұрын
Kaka wahi kuitoa hiyo inayofuata
@djsonofficial5487
2 ай бұрын
Kazi nzuri sana clam👋ila director😂😂waliopenda namna singo(bubu) alivyoweza kuongea like zenu hapa😂👉
Clam unakitu baba utafika mbali Kaz nzuri sana mungu akuongezee ubunifu🎉🎉🎉🎉🎉
@nyamiziramadhani4232
2 ай бұрын
Anajua yaan katoa kitu cha kipekee sanaaaaa
@sergesntunzwenimana
2 ай бұрын
Leo ndohuu Mimi snake boy 2ep27 nigonge like
@ErickEzekiel-lj8mu
2 ай бұрын
Clamo vevo na timu nzima hakika mmeuwa sana snake boy bonge la movie haijawahi tokea yani inafatiliwa na Africa nzima pig up sana kaka clam 🔥👍🙌
@BacarDaudo
2 ай бұрын
Eu só de Moçambique mais essa história gosto manique boa história bata palmas para Tanzânia❤
@FitinaWilondja-m7c
2 ай бұрын
🎉🎉🎉
@BRARITOHCOMEDY
2 ай бұрын
Nimeingoja kwa hamu sana na kwa hakika imefika.asante sana group wa clam vevo..wap likes zangu kutoka kenya kisii
@charlespatrick8632
2 ай бұрын
Ubuntu botho Leo tupo pamoja nipeni like nikupe like bega kwa bega
@khalifkhalidsalah
2 ай бұрын
Achilieni mara mbili kwa wiki jameni hii inachelewa sana kama mnaniunga nipe like❤
@LewiiBrizy
2 ай бұрын
Pia na kubaliana na wewe .....msichukue mda mrefu kuwachilia iyo sehemu ingine.....sinema zote za kakoso na zipenda Sana ..asanteni wausika wote ..
@saidathmurekatete938
2 ай бұрын
Kweli wanatukawiza sana
@Merry-ek5mj
2 ай бұрын
Kabisa yani wanachelewesha sana angalau kwa wiki mara mbili
@AugustinNduwayezu
2 ай бұрын
Nikweli
@iqttanzania
2 ай бұрын
❤
@SarahWanjiru-d5w
2 ай бұрын
Wenye hawakwamini mtanzi alimezwa na nyoka mpo,hongera sana Clamvevo❤❤❤
@yassinmuoki9982
2 ай бұрын
Nilikua Nisha Anza kusema Kama jamaa kamezwa Sito angalia tena. Leo nime enjoy nika mkoko umeanza UPYAAA😂😂😂
@mash02canada
2 ай бұрын
Mimi ni wa kwanza leo mnipe likes from Canada 🎉
@AsiaOmar-mr7bk
2 ай бұрын
Ilikua nimeacha kuwangalia muvi za kiswahili baada yakumfuwatilia clam saiv siwezi kosa kuangalia waswahili wamerudi kwa moto kuna clam " rk & kp mungu awape maisha marefu na afya njema wazidi kutuburudisha
@BeatriceEmanuely-ow9bj
2 ай бұрын
Fatilia ata mbwela media yuko vizur
@mohammedkidody5618
2 ай бұрын
Kabisa yn wote hawa wana vipaji wameamua kurudisha tasnia ya filamu Tz wanastahili tuzo❤🎉
@Krod23-p8s
2 ай бұрын
Uyo jamaa aliye mkana mke wake aseee💔🥺
@mwarabumbarak4342
2 ай бұрын
Kwa sababu angesema ni mkewe chifu angemuua.
@LovelyBabynino
2 ай бұрын
Ndio
@DuniaMayombo
2 ай бұрын
Nikweli lakini inaumiza sn😂
@EleutonDiaz
2 ай бұрын
Bom trabalho pessoal 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Cabo Delgado_Mueda...🎉🎉🎉🎉🎉🎉Moçambique❤❤
@DinnaMalali-w4f
2 ай бұрын
Utawa wa kibabe kwenda mbele jaman mtu anatetemeka had mke Anasema dada kwa uwoga ama kweli snake boy inafunza sana clam pokea🎉🎉🎉 yak
@mapromovies
2 ай бұрын
Waliogundua camera ya Leo ina balaa weka like
@luluelia-yo2rg
2 ай бұрын
😂😂😂
@mohammedkidody5618
2 ай бұрын
😂😂😂
@zephbaraka
2 ай бұрын
Very amazing..... following this episode all the way from Kenya .
@MwanamisiBakari-xh3jo
2 ай бұрын
Nakubali kazi nzuri clam n timu yote kwa kutuletea kazi nzuri ❤❤❤❤
@rachelpaul460
2 ай бұрын
Wanaoumia kuona snake boy wanachelewa kutoa vipande wa like ili watuwahishie kaz
@Rigobertpanga9
2 ай бұрын
Nimeisubiria hii snake boy Kwa mda mrefu sana nimeukubali sana na wewe kama umeikubali mwaga like yako apa😂😂😂
@alfredbaraha9244
2 ай бұрын
Kila mtu wa kwanza mmh jaman nyie vipi bandugu , hongera VEVO boy❤❤❤❤
@sweetbabymwangi8373
2 ай бұрын
Maskini Ntanzi. Nakuhurumia. Hii Snake Boy inazidi kuwa tamu. Ama kwa hakika mna ubunifu wa hali ya juu. Much love from Mombasa Kenya 🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@RehemaPestiny-j7n
2 ай бұрын
Woyooo mamb ni 🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥🔥👌🔥👌🔥👌🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉🎉👌👌👌👌👌👌👌gonga like hapa kama waipenda hii kazi❤❤❤❤❤❤
@SinemaZaChina
2 ай бұрын
safi mkuu kiliochangu ni kile kile muweke subtitle ya lugha ya kiingereza
@h.ghoyaa1110
2 ай бұрын
Kwa ajili yako ama ndio world wide
@SobiTz
2 ай бұрын
Wazo Zuri pia
@BushiriLouis
2 ай бұрын
Shaidi 😂😂😂 wewe ndie kiboko, nakukubali sana mshikajiwangu🎉🎉🎉
@MayaOuthman-bd8bg
2 ай бұрын
Kama umefurahi kumuona Shahidi nipe lnk❤❤❤
@HappyNicholas-be2yn
2 ай бұрын
Nikisema wakwanza nitakua nawadanganya naomben like team vevo❤
@JUMAschibwanaChibwana1234
2 ай бұрын
Juma chibwana umetisha san
@ChingaKenboy-fz8yr
2 ай бұрын
Twende nalo big up kwa washirika wote🎉🎉🎉#ChingaKenboy
@NailahNassor-j9m
2 ай бұрын
Aliowaza sanura yupo kwe kipande kijacho gong like❤🎉
Snake boy nikama haitawai isha kila siku iko tofauti, mko sawa sana
@AsiaNassor-u7s
2 ай бұрын
Inaba sana
@johnrogeo2161
28 күн бұрын
@@AsiaNassor-u7s kabisa
@TwoniorMalimi
2 ай бұрын
Na Mimi Leo niombe like Moja wakubwa
@EMANUELKibelenge-wr2ep
2 ай бұрын
Nice job ❤ God bless more work that mnayo fanya 👏👏
@ibrahimamissi613
2 ай бұрын
Yani sichoki kutazama filamu hii clam unajua Hamisi from South Afrika 🔥 🔥🔥🔥
@AlgaWazamba
2 ай бұрын
Number one from DRC je t'adore clam🇨🇩🇨🇩🇨🇩
@DamarisDammie
2 ай бұрын
Wakwanza mie nimengojea xn snake 🐍 boy nimekuwa nikingojea Kwa hamu enjoying from 🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@ryankoech
2 ай бұрын
Tuko pamoja 😊
@kipkiruibrian
2 ай бұрын
🎉😂❤ wakenya mko wapi GENZ mnifollow 😮
@OmarJeshi
2 ай бұрын
Imagine Mimi tangu snake boy ianze sijapata likes ata mia😢bs acheni roho mbaya kiasi hicho maana nyie na mandug 5:32 u❤
@Pazijr
2 ай бұрын
Natumai na mm leo nitapata like maana kila siku mnaomba nyie tu😢
@Mzalendotanzania
2 ай бұрын
Kama unamkubali clam weka like hapo
@IsackDevidiMc
2 ай бұрын
🎉
@Sempai_Adui
2 ай бұрын
Mwambie awaishe kaziiii,asikae muda mrefu
@Maunya530
2 ай бұрын
Tunasubr hd tunasahau matukio yaliyopita.
@nyereremkama3845
2 ай бұрын
Toa na wewe like na watu wakupe usiwe mchoyo wakati wewe unataka like
@hansmgaya4704
2 ай бұрын
Tuna sahau matukio ya nyuma
@JescaIrakoze
2 ай бұрын
Kazi nzuili lakini mbona mmepunguza tena dakika afu munayuacha njia panda kuwa munawahi bana gonga like basi hap
@ZahraTz-k7u
2 ай бұрын
Ila Sengo et mama eeh inatoka mama weeeeeee😂😂😂😂😂😂🙌
@SharifuAlbughuli
2 ай бұрын
Mbn kam adama kam Ana love bite 😂😂😂😂😂
@eviepretty2646
2 ай бұрын
Inaonekan kabla ya kuingia location alipigw shoo Kali Jana yake🤣🤣
@ZulfaMjege
2 ай бұрын
Tulokuwa tunaisubri kwa ham snake boy tujuan kweny like ❤❤
@patrickkalu4477
2 ай бұрын
Mmmmmmh
@LinaahSangah-ec2zw
2 ай бұрын
Mimi.hapa kipenz changu❤❤
@Kwaricha
2 ай бұрын
Boa noite amigo
@silviaalphonce
2 ай бұрын
Nanii nae amekua wamwisho jmn 😎😊
@JUMAschibwanaChibwana1234
2 ай бұрын
Snake boy inatisha san alafu haina mpimzan viwaz nyingi san John Martin
@KlintonOwenss
2 ай бұрын
This guy is a genius 🎉,If you agree press a like button all the way from kenya 🎉❤
@BLACK-BOYKIBAMBA-cm5kc
2 ай бұрын
Tellement kitoko vraiment 🙏🇨🇩👊👊
@DavidJoseph-u1e
2 ай бұрын
Saizi naona mawenge mambo mengi manina 🙌
@BeatriceMussa-y4b
2 ай бұрын
mmh sasa baba ao na odama si alijinyonga akafa jaman 😂😂 kafufuka !!
@hashimuomary4569
2 ай бұрын
Tuliosema mwasi alikuw anaota ni kwel jaman msiwe mnalilia like nyie tuone mawazo na ushauri kuhusu tamthilia yetu
@madownloadionlinetv759
2 ай бұрын
🎉🎉🎉🎉
@madownloadionlinetv759
2 ай бұрын
Wanaoamini snake boy ni isidingo ya KZitem tupa like mjue haitaisha daima na clam ataendelea kupiga hela
@makindamathew8273
2 ай бұрын
Watu wanalilia like tu
@OmegaMwakitalima-e5l
2 ай бұрын
Naombeni nam laik ata 5
@directorjey4915
2 ай бұрын
Much love from +254 🇰🇪🇰🇪🇰🇪 Kazi safi saana 😊
@kipendimusic6859
2 ай бұрын
Hii ya mfalme mpya kunyang'anywa mke imeni pain sana. Clam and your team mna akili nyingi atari. Big up!
@mohammedkidody5618
2 ай бұрын
Kabisa yn❤🎉
@JamesReuben-gt8up
2 ай бұрын
Daaahh kama angemezwa kweli mda ulee movie ingepoa san
@AgostinhocosmeNambanga
2 ай бұрын
Hiiiii guys Mozambique 🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿🇲🇿 Leo imekuwa ya kwanza please I want my like
@sirngetich1815
2 ай бұрын
Kwani mnakuja wote kuomba likes....why don't you guys comment where team Clam should rectify....All East Africa countries should gather here❤❤🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪🇰🇪
@AugustinhoManyangaunitedboetz3
2 ай бұрын
Sanura is back kama unamkubali sanura gonga like kwa cram v❤❤
@NaaMakanu
2 ай бұрын
Mm wa mwixho naombeni like zangu❤❤❤❤❤
@LylahMrombo
2 ай бұрын
❤❤❤😂😂😂😂hyo ndo Ile wanasema mbuzi kafia kwa mwenye supu sio
@ruqaiyiddy5534
2 ай бұрын
Ngoja nifunge dimba la comments 500🙌🏻🥰🥰🥰🥰
@ruqaiyiddy5534
2 ай бұрын
Hakuna sehemu ya kulike mara mbili jamani🙌🏻 Naona Snake boy niki,,,like Mara 1 Siitendei haki kabisaaah😊
@dullysoo9231
2 ай бұрын
Leo nimekuwa wa mwanzo mm naomba like zangu jaman
@jaffariomar4250
2 ай бұрын
Hata kama kuigiza lkn hicho kipande cha kumkataa mke wangu hilo haliwezekani
@al-bleproshooteur1922
2 ай бұрын
Hii Kali caméra ya Léo daah nipeni like zangu wazee From m23
Пікірлер: 2,6 М.