Nauliza swali liwafikie hawa wasanii wawili: hivi huwa wanacukua mda wa kuangalia hii video ili wajue wapi walipotoka?? Wanao swali kama hili langu nipeni like
@PreygodMariki-pm1ym
Жыл бұрын
P0ppp0pp0🎉😢
@maulidysaidy9925
4 жыл бұрын
tunaoirudia tena hii 2020 like twende sawa
@athumaniselemani8877
4 жыл бұрын
Iko poa sana
@stellastellah8210
4 жыл бұрын
Penda sana huu music
@kaningoacerp6264
4 жыл бұрын
👍🏼
@benedictmasigo3802
5 жыл бұрын
Daaaaah maisha yangu hayana swagga kama maasai wa njiro gonga like kama bado ngoma hii inasumbua masikio yako
@shukuruizrael2058
4 жыл бұрын
Hat iyo ngm
@julianojulius4031
4 жыл бұрын
2020
@mohamedomary1096
4 жыл бұрын
Kali sna for life change
@laddykitogo4806
4 жыл бұрын
kka atar sana km imetoka jana vile
@saidgazo4170
4 жыл бұрын
Fresh
@buildertanzania4801
4 жыл бұрын
Alie skiliza tena kwa mala ya kwanza 2020 hii ngoma tujuane hap like kama bado upo hai kama mimi toka nyimbo ilivyotoka
@atupelemwakatika5039
4 жыл бұрын
Ngoma kali sana hi mm naisikiliza mwaka 2020
@manenolugendo6396
5 жыл бұрын
Nyimbo kama hii kama ni Marekani inakupa utajiri kabisa Ngoma inavina inamdundo napia ina ujumbe Safi sana Stamina & Mavoko
@hidjadejong004
Жыл бұрын
Stamina hana mpinzani kwenye hii gemu ngoma imeshiba ujumbe wa kutosha hadi leo 2023🙌
@fredyalexkomba7910
2 ай бұрын
Aaaah we stamina mi nimekuja kuskiliza 2024
@mohammedseif1927
4 жыл бұрын
jamani hili goma kali san #STAMINA ft MAVOCO kama upo na mm gonga like 12/10/19
@chicharito4201
3 жыл бұрын
Tunaoangalia track hii 2021 gonga like za kutosha 🙌🏽🙏🏽🙏🏽
@ShattanandaRamadhaniMalute
27 күн бұрын
Daaah kuja kupata tena ngoma kali kama hizi sjui ni lini apa akina mbuzi nd wanatakiwa kijifunza sio kwa nymbo zao iz 2024 gonga lke apo
@chrisduffyniyokwizera
Жыл бұрын
Wale tunao bang hii truck 2023 nipeni likes
@yahyajarufu5893
2 жыл бұрын
Still banging 2022 Classic song🔥🔥 Massage, Rhymes zipo poa huu wimbo utaishi milele very inspired kwa wapambanaji
@arabianillusionsworld734
4 жыл бұрын
THIS IS PURE TALENT I love this song, nakumbuka nlikuwa ndo nimemaliza form 4 "if am not mistaken" nyimbo hii imetoka I used to really like it and till now naipenda.. now Am listening from Abu Dhabi UAE
@husseinremmy2834
4 жыл бұрын
Safi boss
@jayjay-yc8kb
8 жыл бұрын
pesa imekuwa adimu kama bikra kwa changu dowa..........mahn u nailed it team wakali wa hiphop
@fadhilamtunguru5834
4 жыл бұрын
Ip poa xan
@shairanadam1443
4 жыл бұрын
Tuende swa leo 13-10-2019
@jumaramadhan3380
5 жыл бұрын
Nani yupo hapa leo 2019 🖒🖒🖒🖒
@benjaminshinje5816
Жыл бұрын
Dah, kuleni bata kweli mlitoka mbali heshima kwenu❤❤❤❤
@kephasgembe9924
4 жыл бұрын
2020 bado naitzama hii nyimbo,ni my life favorite song,kuanzia mwanzo hadi mwisho ni point tupu hakuna mashudu
It's so sad, Hongera kwa utunzi mzuri, nimependa mistari iko poa.
@upendokawogo1840
5 жыл бұрын
Nataka kumuomba mungu shetan ananizid speed men
@medys1000
12 жыл бұрын
omg stamina we mkali kaka una risha alafu mavoko ndio kaua kabisaa kwenye upande wa voko kaka unatisha dude keep it up dudes
@salumusaid765
7 жыл бұрын
Medy Amoury yy Etty hr6r 4th
@josephshagembe4520
6 жыл бұрын
STAMINA HII NGOMA COZ NDO IMEKUFANYA UONEKANE #gonga_like
@futurekibingu69
Жыл бұрын
Still best 2023
@ghostsoul1111
4 жыл бұрын
who is watching this song in 2020 , alot of love from rwanda
@stevenmatano9930
Жыл бұрын
2023 still bado its a hit melody 🎉🎉🎉
@4weston4
12 жыл бұрын
Keep it up, the lines are wonderful, kijana alitulia. Endelea piga kazi... tunataka nyimbo za aina hiyo na lines nzuri.
@saphielymtaita1110
8 жыл бұрын
Kama kawaidaaah - pesa imekuwa adimu kama bikira kwa changudoaa daaaaah iko pouwaa sana h song
@saphielymtaita1110
8 жыл бұрын
Me nadhani haya maisha yana raman ila aliyemchorea maskn penn ilimgomea njian umefikiria saaaaaaaana ma broo
@LouiseERne98
11 жыл бұрын
Well , Nakukubali sana Mr. Stamina , you make me love you man ... keep up your good work .
@MrTabasamu
11 жыл бұрын
Punchline baada ya nyingine Napenda nyimbo zake zooote! Nani kama Stamina?!!!
@Omariogibow
2 ай бұрын
Hii ngoma inanikumbusha south africa 2013 nikiwa bado nasota ALLAHAMDHULILAH🎉
@johnmacharia24
4 жыл бұрын
Very sentimental 🔥🔥... #2020 from the +254 🇰🇪
@KakaDolla
4 жыл бұрын
Wenye tumefika huku 2020 na corona mko wapi 😂😂
@panduhaji1893
4 жыл бұрын
Dahh nikiwa na huzuni napenda kusikiliza hii nyimbooo
@jamilfuad6847
9 ай бұрын
Nakumbuka mbali nkiskiza hili goma old good days
@shebelezatv1809
4 жыл бұрын
Enzi izo cna cm Hii ngoma niliikopi kwny daftar ili niikalili yote 😢😂😂😂
@EdisonEvarist
5 ай бұрын
Nyimbo yangu pendwa enzizoo
@Dropshipping102
Жыл бұрын
Sasa hivi ndio naelewa maana ya huu wimbo baada ya kuanza utafutaji Mimi mwenyewe
@flova7022
2 жыл бұрын
Verse ya tatu nyoko sanaaaa ..daah fundi
@user-el7og1qs8c
5 ай бұрын
Nipo hapa 2024
@festuskatana7376
14 күн бұрын
Diamond alimharibia Talanta Mavoko
@sabrisaid3602
3 жыл бұрын
UZURI WA NYIMBO ZA TZ. HUA NAZIPENDA SANAA.SABABU ZINA MAFUNZO PIA ZA KIMAISHA.CONGRATULATION'S BROTHERS. 10/07/2021.
@mustaphahussein538
4 жыл бұрын
2020 gonga like
@davidchesco52
4 жыл бұрын
Daaah vya kale dhahabu tutawakumbuka sana baada ya kuondoka legend
@Cheche_Boy
4 жыл бұрын
Dec 2019 Naskilza hii ngoma gonga like twende Sawa
@frankgeorge9903
3 жыл бұрын
Niko hapa 2021 kuwaangalia jinsi walivyokuwa wasanii wetu kabla hawajawa wasanii wa kamera🤔🤔🤔🤔🤔🤔
@samuelkatama3068
4 жыл бұрын
Waah, ni ngoma 100 kwa 100 bana.
@mariamjuma1429
4 жыл бұрын
Master vina na punch zako ni balaaaaaaaa
@DINGOSTARMWANAMAMBO-rl5np
Жыл бұрын
since day1 ulikua mnoma sana
@walivyojuma7095
4 жыл бұрын
izi ndo nyimbo uyu ndo mavoko wa ukwel ila si wasasa
@godblexxgyunda6060
Жыл бұрын
Mavoko uliuwa sana
@halidihemed1006
4 жыл бұрын
2/12/2019 naomba like hapa
@rosemollel2118
4 жыл бұрын
sijwahi kuichoka hii ngoma......mistari inayoishi
@lawmaina78
3 жыл бұрын
Nani mwenye lyrics za wimbo wote, naomba tafadhali.
@johnmhanga7479
7 ай бұрын
Nataka nimuombe Mungu shetan anazid speed men DAAAH NI HATALIII
@ericksaid5327
Жыл бұрын
Kazi nzuri sana
@emmanuelchristopher5479
4 жыл бұрын
Ulianza poa sana hujawah toa wimbo Makin Kama huu man
@mitto3496
4 жыл бұрын
this song gave me hope today 2019 LOL BROS
@mabenzimabenzi4348
5 жыл бұрын
kweli huyu ndo mavoco hahah hatukati tamaa ipo siku na sisi tutajishangaa
@martinmwambu5369
5 жыл бұрын
Pia wewe uko hapa #2019
@donaldmhulula6888
Ай бұрын
Chorus ili nyongwa mpaka ika kata roho❤😊
@LouiseERne98
11 жыл бұрын
I like the way ya rap ,,, it pretty cool , keep up your good job guys
@lameckluwanda3506
2 жыл бұрын
Stamina nae aliaza kuwa mzee kabla ya kuwa kijana .... hahahahaaaaa
@ngabo786
3 ай бұрын
naaam 2024 still ni hit song
@kakag5940
4 жыл бұрын
Heheheheee huyu huyu Stamina mmoja ndo huyu huyu wa ASIWAZE ??
@tatuhongeranurushaus485
4 жыл бұрын
😂😂😂😂
@josephthiago2137
4 жыл бұрын
leo nimepat kesho nimekosw daaaaa
@bongoflevakitambo9995
4 жыл бұрын
Kama tuko pamoja moro stend up OLD IS GOLD MZIKI MZURI UNAISHI MIAKA 💯💯💯💯
@susanmmeri9380
5 жыл бұрын
STAMINA bado Young 😉
@AbeidiOmary
3 ай бұрын
Pesa imekua ngum kama bikra kwa changudoa😢😢😢
@mussabinford9872
Жыл бұрын
Nataman kula baga lkn naishia viaz vy gairoo
@Maduakanyamanza
2 жыл бұрын
naona alama za mlango ila sion pakutokea
@davidmloge7277
4 жыл бұрын
Am here💥
@barakamichael1985
8 жыл бұрын
iko poa sana
@bukurunestory3540
4 жыл бұрын
Wimbo ulionipa hamasa yakuhaso na uvumilivu 2013/2014
@daliusmahela2237
3 жыл бұрын
Kitambo san kwl hakuna mwmbamb ni har tu kabwer
@salimmussa9719
9 жыл бұрын
This is my best tz rap song ever
@babaismat6946
8 жыл бұрын
BEST HIPHOP EVER
@babyancaful
12 жыл бұрын
aaaawwww stamina good job keep it up u can do it.
@melbournechurch234
4 жыл бұрын
Stamina pls work with Nigerian musicians like Diamond Respect Godbless
@m.fidele1743
4 жыл бұрын
2020 tuna pambana tu !!
@Mahonda8080
4 жыл бұрын
Me nazani aya maisha yana ramani ,na aliyewacholea maskini peni iligomea njiani , jamaa unafikiria sana
@PEMBANKWETU7
4 жыл бұрын
Kama unaginga huchi kitu mpaka 2020 bc like zenu
@hawangulunge1925
4 жыл бұрын
Kama unalo 2020 nonga like
@alahstamuzackayo5509
4 жыл бұрын
Wimbo 2019 bado nasikiliza
@phizmsag7824
3 жыл бұрын
Dunia yambalabovu ambeauwewa huu msitali weka laki
@arexmerck2324
4 жыл бұрын
kama unamkubali sitamina gonga like apa twende sawa 2020
@deusjosephat8554
6 ай бұрын
natamani kula baga naishia viazi vya gailo dah
@allykutenga2862
4 жыл бұрын
Mi nadhani haya maisha yana ramani ila alowachorea maskini peni ilimgomea njiani Daaaahh..,, (JAMAA ANATISHA KWA (MISTARI KUSEMA LA UKWEKI).
@ngumbanehemia9016
3 жыл бұрын
2021 ngoma bado naiskiliza
@yoramdemas3633
3 ай бұрын
2024 hapa like
@salminisaleh9249
Жыл бұрын
Mavoco Mavoco Mavoco Nmekuita Mara Tatu Dah
@bossmanjibakari5904
4 жыл бұрын
Naikubali kuliko ngoma zote za stamina Vikombe vya umaminifu nisha vivunjia mtahani na vijiko vya ualifu nimeviweka kwenyesani daaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa)
@husseinnadhari2449
4 жыл бұрын
2020 good music never die
@saidtembele3070
7 ай бұрын
Nostalgic, Dah 2012 nilikuwa form two 🙌🙌 Today 26.12.2023
@frankelias4042
4 жыл бұрын
19/02/2020 naicheki ngoma kwa mala ya 20
@neemachawe9601
7 жыл бұрын
kwel maisha yanaenda kasi, huyu co mavoko wa KOKORO WCB
@johnmsigwa3508
5 жыл бұрын
2k19 gonga like
@dasilvajr9647
Жыл бұрын
2023 kabwela unique song
@latifaatendo8888
2 жыл бұрын
najisikia uchugu ca ninapockiliza hu wimbo yn cn usemi kwenu kwakweli nimewapenda bure
Пікірлер: 333